Ndiyo shida ya JF watoto sijui mnafata Nini huku. Pumbavu sana!Wakati unaenda kuutafuta mgogoro huo ulimhusisha nani? Na iweje umeburudika mwenyewe huko,af shida ulete hapa. Si uliyataka mwenyewe?
Unless iwe kiwanja ni cha baba yake huyo mwanamke. Ushauri wako mzuri sanaChukua ninachokwambiaa! Hiyo nyumba ni ya mkeooooo anakupiga changalamacho kwa kigezo anamjengea mzazi! Jaribu kuulizia jina la hati.
Sasa mtani ushauri wako ni upi?Ndani ni kuchuniana. Najuta sana kuoa mwanamke huyu.
Niko puzzled. Epuka kusomesha mchumba.[emoji3064][emoji848][emoji2827]
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndiyo maana nakupenda wewe jobless wanguNdiyo maana watu wanawashauri muoe wanawake wasio na kaz ili muwadhibiti mtakavyo....sasa wewe mwanamke anatumia pesa zake tayari unataka ziwe zako....aisee kwa manzi wa kibongo ndoa lazima ikushinde
Nipo kwenye ndoa nimekuwa nikisoma tu lakini naona na mimi limenikuta.
Iko hivi wife na mimi tulifahamiana kijijini. Nilikuwa f6 yeye akiwa f4 leaver. Nilimsaidia akapata chuo cha takwimu akaenda akafanya akapata cheti. Wakati akiwa chuo nliamua kudate nae tukaoana (marriage) nikiwa nafanya kazi na yeye akiwa chuo.
Miaka mitatu baadae tulijaaliwa watoto wazuri. Maisha yaliendelea nikiwa kazini na yeye akiwa ofisi moja masuala ya takwimu nchini.
Mambo ya ndoa yalikuwa safi sana nilii injoi ndoa labda kwa sababu ilikuwa ya kusafiria. Maana yeye mkoa mimi mkoani.
Nilifanikiwa kumuhamishia mkoani kwangu yeye na watoto. Tuliishi vizuri kwa wastani wa miaka 5. Baadae mzazi wake yaani mkwe aka experience wakati mgumu (code). Tukashauriana tumjengee kibanda. Kwa kuwa wapo watoto wakubwa wakaona washirikiane wote. Kwa kuwa wife nde mwenye kipato kizuri akakopa banki 27M lakini nyumba haijaisha.
Kero ikaanza sasa. Kila wakati anataka pesa ya ujenzi kwa mama mkwe. Kumbuka yule ni mzee ile nyumba watakuja kugombana watoto nikamwambia ujenzi hauishi siku moja. Buy time.
Majuzi alipata bingo ofisini kwao 20 Mil ni pesa ya offer ya Serikali yenye riba kidogo.
Lahaulaaa si akaipeleka yote kwenye ule ujenzi.
Wana JF wenzangu, kumbuka si kwamba sisi na watoto wetu hatuna mahitaji, hapa ada, nyumba haijaisha asilimia Mia. Why apeleke 20 kwao? Mwanamke kiumbe wa ajabu sana.
Hivi? Hajui ile nyumba hawataishi watoto wake? Hivi hajui ile nyumba watagombea vidume?
Ndani ni kuchuniana. Najuta sana kuoa mwanamke huyu.
Niko puzzled. Epuka kusomesha mchumba.
Yah watu hujifunza zaidi kwa makosa kwa kivitendo na sio kwa nadhariaKwa sababu wewe unaona ambacho yeye haoni...wewe tulia Tu ...subiri mda ufike ajifunze mwenyewe.
Nenda nae taratibu...ukifika wakati anagombea nyumba na ndugu zake ndo umwambie nilikuonya Sana unaona?
Kwa sasa subiri Tu mda utatoa majibu
Umeongea kwa uchungu sana pole sana, Mungu wetu ni Mungu wa haki, nimependa ulivyo postivePole mkuu, nakushauri tu muache mkeo ajenge kwao! Na wewe Jenga kwako! Mwanaume hudumia familia yako kwa kuhakikisha wanaishi pahala pazuri na panapofaa!
Acha na hela ya mkeo maana SIYO YAKO
Mimi nilikopa fedha nikajazia ujenzi wa nyumba anayojenga mume wangu maana ni familia moja, matokeo yake amekuja kunitemgenezea maneno ya kashfa machafu yasiyo faa!
Mkopo ukiisha, nachukua mwingine na NITAJENGA KWETU ili siku tukiachana niende kwetu kwa raha! Wanaume mna matatizo sana ACHA MKEO AJENGE KWAO, wewe Jenga KWAKO.
Sent from my Infinix X683 using JamiiForums mobile app
Not easy as you suggested! Divorce is something very complex, it has some ambiguities that no one want itLet me put my advice in english may be you will understand
She simply does not care about you. I have more than ten years experience, so i know whereof i speak.You need to save yourself from yourself
Life is too short, there is no reason for you to be unhappy with a partner that doesn't want to cooperate when there a hundreds of women that will appreciate and cooperate with you on your goals. Dump her ASAP[emoji23]
Ndoa ni taasisi takatifu na iheshimiwe na watu woteWANAWAKE NI WABINAFSI
KATAA NDOA
NDOA NI GEREZA KWA ME
NDOA NI UPUMBAVU
NDOA NI UTAPELI
Ndoa ni kichaka cha upigaji na utapeli, ilaaniwe kwa nguvu zoteNdoa ni taasisi takatifu na iheshimiwe na watu wote
Umeliatazama kwa umakini sanaChukua ninachokwambiaa! Hiyo nyumba ni ya mkeooooo anakupiga changalamacho kwa kigezo anamjengea mzazi! Jaribu kuulizia jina la hati.
Ndoa ni uvumilivu ukisikia neno uvumilivu ujue kuna mateso ya aina yote[emoji2]I can't imagine kuishi na mtoto wa mtu for the rest of my life, hell NO. Kwa akili zangu ninavyoziona nikioa sidhani kama ndoa yangu itamaliza mwaka.
ILa mkuu si amepeleka hela yake?? Na huo mkopo kama ataulipa yeye mwenyewe hakuna tatizo.
Umemzalia watoto wawili bado unataka kulaumu kwamba umepata hasara kusomesha mchumba..Nipo kwenye ndoa nimekuwa nikisoma tu lakini naona na mimi limenikuta.
Iko hivi wife na mimi tulifahamiana kijijini. Nilikuwa f6 yeye akiwa f4 leaver. Nilimsaidia akapata chuo cha takwimu akaenda akafanya akapata cheti. Wakati akiwa chuo nliamua kudate nae tukaoana (marriage) nikiwa nafanya kazi na yeye akiwa chuo.
Miaka mitatu baadae tulijaaliwa watoto wazuri. Maisha yaliendelea nikiwa kazini na yeye akiwa ofisi moja masuala ya takwimu nchini.
Mambo ya ndoa yalikuwa safi sana nilii injoi ndoa labda kwa sababu ilikuwa ya kusafiria. Maana yeye mkoa mimi mkoani.
Nilifanikiwa kumuhamishia mkoani kwangu yeye na watoto. Tuliishi vizuri kwa wastani wa miaka 5. Baadae mzazi wake yaani mkwe aka experience wakati mgumu (code). Tukashauriana tumjengee kibanda. Kwa kuwa wapo watoto wakubwa wakaona washirikiane wote. Kwa kuwa wife nde mwenye kipato kizuri akakopa banki 27M lakini nyumba haijaisha.
Kero ikaanza sasa. Kila wakati anataka pesa ya ujenzi kwa mama mkwe. Kumbuka yule ni mzee ile nyumba watakuja kugombana watoto nikamwambia ujenzi hauishi siku moja. Buy time.
Majuzi alipata bingo ofisini kwao 20 Mil ni pesa ya offer ya Serikali yenye riba kidogo.
Lahaulaaa si akaipeleka yote kwenye ule ujenzi.
Wana JF wenzangu, kumbuka si kwamba sisi na watoto wetu hatuna mahitaji, hapa ada, nyumba haijaisha asilimia Mia. Why apeleke 20 kwao? Mwanamke kiumbe wa ajabu sana.
Hivi? Hajui ile nyumba hawataishi watoto wake? Hivi hajui ile nyumba watagombea vidume?
Ndani ni kuchuniana. Najuta sana kuoa mwanamke huyu.
Niko puzzled. Epuka kusomesha mchumba.
Kwamba amuabudu mke wake kisa ana pesa this is rubbish, mwanaume unakosaje sauti ndani ya familia yako kisa mwanamke amekuzidi kwa pesa, struggle kuwa nazo zaidi yake au kuweka misimamo yako zaidi atakuheshimu tuMke wako akiwa na "financial freedom" regardless umetemtengenezea mazingira au umemkuta hivyo .... lower your voice.
Pesa yake? Unamaanisha nini?Kama anajenga kwa pesa yake ni sawa,huo mkopo atalipa yeye..wewe pesa yako jenga hiyo yako,ingekua ni mimi ningemwacha ajenge kiroho safi
😂😂😂weee,nisijefukuzishwa haka kakibarua....samahani nina kaz mkuuNdiyo maana nakupenda wewe jobless wangu