Sehemu ya 2.
Pesa ya ujenzi imekata mamilioni yamekwisha kazi bado hata hatua ya usafi haijafikia robo. Hapa naamisha baada ya kupandisha kuta zote, gebo kuezeka, plasta nje na ndani, kujaza vifusi, kupiga floor(rough) blundering, zungushia fishaboard nyumba nzima mwisho skimming ndani hapo ndio kazi imeishia, madirisha bado ikiwa ni pamoja na milango.
Wakuu, haya mambo ni ile inaitwa tumia haina mwenyewe, wajenzi na wasimamizi hapo hawana maumivu ya matumizi ya pesa. Kias hiki cha pesa ni kikubwa sana. Ramani ya nyumba ni master 1, nyumba vingine vitatu vya kawaida, stoo, public toilet, jiko na stud room, hii nyumba ni ya kawaida.
Ilifikia hatua ndani hakuna sh mia mpaka niingie mfukoni. Okay kama mwanaume ni wajibu wangu, lakini ni nani amesema mwanamke asisaidie? Haya maneno kwenye komenti mbalimbali siyaafiki ukiwa mwanaume ni lazima usimamie kila kitu, style ya maisha yake, vaa yake, mashoga zake, nk nk. Kila pale inapobidi, vinginevo sio ndoa hiyo.
Kwa sasa utaratibu umegeuka, ni lazima kutii. Upikaji, muda wa kulala, kuamka, kutoka, kurudi nyumbani, ratiba za watoto, kuoga, uvaaji, ulaji, content za menu. Yaani kiufupi nyumba ina ratiba mpya na mamlaka.
Miaka 5 iliyopita wakuu, kama mwanaume nilijiona mume. Hata baada ya tunda mwenzio anasema asante. Miaka Michache ya ndoa nilipata tunda kwa shida njia ilikuwa ndogo(virgin), nilipata shida na yeye akilalamika kuumia sana. niliamua miaka hii kuepukana na michepuko. Na kwa sisi wanaume hatupendi vilivyokufa, tunapenda rough sex. Na ndio maana tunapenda mwanamke akikataa kataa au akikupa kwa kumlazimisha. Kwa hili namshukuru Mungu, nilikata utepe mwenyewe.
Nimeresha hali ya hewa na mashart yanafatwa, anatii japo naona kuna ukiburi upo bado,.... zamani nilitegemea maneno kama nisamehe mume wangu. Hiyo kitu sasa hiv hakuna. Kwa kuwa ndio nimesha komaa nimejiwazia kujishusha, niwe down, lkn sijajua madhara yake yatakuwaje najua kuna madhara makubwa kwenye ndoa ila yatanikosti, nimeamua nijishushe kwa tahadhari kubwa.
Hii ni mara yangu ya kwanza naona nina mlima mrefu sana kuupanda. Kuna sababu nyingi za mwenza wangu kujenga tabia hii. Lazima nikubali, kuchokana kupo, kuupeleka moto sina hakika kama hii ni factor japo nina midundo minene japo haifikii ya wakati ule 26th 27th to 35 huko. Ila najua labda kama wapo wanaojilia.
Nimepata na wazo muhim sana wkt huu umri ukiwa bado niandike usia. Usia nitauandika na kwa umakini mkubwa sana.
Wkt mwingine tunafanya haya mambo kutokana na matukio. Kwa mwanamke kama huyu ambaye akili yake haijakomaa inatakiwa umakini sana. Anaonekana kuwakubali kaka zake, si ajabu siku wakilala kwangu sipp nyumbani wakalala karib na watoto wa kike. Ni hatari sana, na hili soma la hatari kwa mtoto wa kike nalifundisha sana kwa familia yangu.
Kwa ufupi nina sheria mpya nyumbani na kwa akili