Nina miaka 27, bado nina ndoto ya kuwa Daktari (Médical Doctor)

Nina miaka 27, bado nina ndoto ya kuwa Daktari (Médical Doctor)

Na uwezo wa mtu unajidhihirisha tu.

Form 4 alipata Div 3. Unategemea Advance tena PCB ang'ooke?

Wanaaomshauri apige QT wanampoteza. Advance ule ni mziki mwingine.

Mimi ni Daktari kwa sasa, ila elimu ambayo ninaipa salute ni ya form 5&6. Miaka miwili yenye vitu vingi sana.

Mkuu, usidanganyike. Utachora 0. Miaka 10, ujiandae kwa miezi sita ufanye mtihani wa form 6? Usipoteze muda Mkuu.

Nini haswa kinakuvutia kwenye Udaktari? Kama ni kuhudumia watu wapone, hata Tabibu (CO) anafanya hivyo. Soma Diploma ya Clinical Medicine miaka mitatu.
@DR Mambo AMP asipokusikia hapa,kiama kinamtafuta huyu dogo,afuatishe ushauri wako asipotezwe na wazee wa QT,advanc mwaka mmoja??dahhh,hatajutia mda wake akienda kusoma diploma in clinical medicine tena anaweza kua anapata mda wakufanya biashara zake kama alivyosimulia hapa.
 
At the end of the day is money!
Kule shule tulipandikizwa propaganda za kijinga.
I'm grown man who went to higher school very late.
I'm good mentor for late people.
Haifai kabisa kuendelea kukosea.
Nilijiunga kusoma BS in physics nikiwa 32 yrs old.
Unaishi chuoni for survival of DISCO.
Akili inakataana kabisa( intelligence it depreciate with time).
Science ni ya kusoma teenagers na aerly 20+, miaka hio mtu una fast memory and fast retrieval of informations.
Ni mateso makubwa sana na ni jambo la kujutia kutumia muda vibaya.
Kwa nini umri huo bado hujui maana ya maisha( kamsome erikson juu ya maana ya maisha)?
Life is all about living.
Nadhani chagua trend inayofanya vizuri sokoni kwa sasa achana na ile akili ya peer group.
Hivi kuwa DR. wa meno kuna maana gani? huzioni course nzuri za wewe kuwa comfortable ktk ofisi nzuri badala ya kwenda kushika vinywa, nyuchi, Vidonda, maiti.
What is so special ktk udaktari?
Akili tulizopewa tungekuwa tuna direct kwenye innovative things tungekuwa mbali sana.
Watu waliosoma sayansi ni watu wenye akili sana tena GIFTED most of them lakini wanaishia maisha ya kufanya routine(hakuna innovation yoyote wanafanya) , why do you want to go that direction?
Unataka sifa tu eti wewe ni daktari ?
Kama ni sifa sawa ila kama kazi basi soma finance, art and craft, na nduguze ili umudu maisha na uishi bila stress.
Imagine kuna watu wanafanya kazi bank kuu wewe unaenda hospitali ya kyela kutumbua majipu! Kazi ya kujitolea na kukosa furaha( unaishi na watu waliokata tamaa za maisha )
Life is the game, play it entelligently !
Kwa nini hatuna ndoti za kuwa na kampuni bali vyeti vya kujiumiza !
Una nini special utakachobadilisha katika sekta ya udaktari ?
Au utagundua new medical procedure?
@Tangantika watu mna nondo naishia kuwaheshimj,jamii forum kisiwa cha maarifa.
 
Nimekuwa topper kuanzia nursery mpk form 4, nikichukua vyeti vya outstanding performance katika kila level, sijawahi kuona elimu ngumu kabisa, level zote nimepiga A,A na div I respectively. Upande wa advance, Mambo ni mengi mno, concepts nyingi Sana kwa muda wa miaka miwili, Kwa shule yetu watu kupiga msuli Hadi kuzimia ni Jambo la kawaida...😅
 
Advanced PCB yamoto Sana ila watu hawawezi wakakupa maelezo ya uhalisia haswa huo ugumu upo wapi mpka uende kwanza ukajaribu hata miezi 4 tu, then uone mwenyew, me ingawa nilifaulu, Ila ni kwa mbinde sana...na ufaulu wenyewe 1.7 niliapply doctor of medicine, vyuo vyote vimenitema mpaka SUZA ya Zanzibar, niliapply vyuo vya serikali vyote vitatu, na vya private vitano, nikaja kupata chuo dirisha la mwisho, chuo chenyewe Kampala, ambapo Ada ya udaktati ni 7.2M kwa mwaka,ndio nipo hapo mpk leo maisha yanaenda hivohivo.. na mkopo wenyewe Sikupata 🙂.....

Nakushauri tu kwa hayo matokeo yako ya form4, na jinsi ulikaa miaka 10 nje ya shule, na unataka upige advanced PCB kwa mwaka mmoja, NENDA DIPLOMA.

Hata ukisoma advance kwa miaka minne bado hutotoboa kupata div1.3-6
 
Advanced PCB yamoto Sana ila watu hawawezi wakakupa maelezo ya uhalisia haswa huo ugumu upo wapi mpka uende kwanza ukajaribu hata miezi 4 tu, then uone mwenyew, me ingawa nilifaulu, Ila ni kwa mbinde sana...na ufaulu wenyewe 1.7 niliapply doctor of medicine, vyuo vyote vimenitema mpaka SUZA ya Zanzibar, niliapply vyuo vya serikali vyote vitatu, na vya private vitano, nikaja kupata chuo dirisha la mwisho, chuo chenyewe Kampala, ambapo Ada ya udaktati ni 7.2M kwa mwaka,ndio nipo hapo mpk leo maisha yanaenda hivohivo.. na mkopo wenyewe Sikupata 🙂.....

Nakushauri tu kwa hayo matokeo yako ya form4, na jinsi ulikaa miaka 10 nje ya shule, na unataka upige advanced PCB kwa mwaka mmoja, NENDA DIPLOMA.

Hata ukisoma advance kwa miaka minne bado hutotoboa kupata div1.3-6
Unajuaje kama hatatoboa?
 
Zamani nilidhani kuwa daktari ndo kutoboa maisha, but fikra hazikuwa sahihi. Madaktari wanamaisha ya kawaida sana, wanashindwa ata na Niffer wa Kojie.
 
Zamani nilidhani kuwa daktari ndo kutoboa maisha, but fikra hazikuwa sahihi. Madaktari wanamaisha ya kawaida sana, wanashindwa ata na Niffer wa Kojie.
Hii taaluma imebase katika utoaji huduma na sio maslahi, huu ni wito sio sehemu ya kupata maokoto 🙂
 
Zipambanie ndoto zako, lakini always uwe realistic. Maisha sio kuwa MD tu, kuna mambo mengi ya kufanya. Kuna baadhi ya MD hawataki waitwe madokta huku mtaani, maana wanajuta walichosoma. Kimbilia ndoto zako, utafanikiwa. Maisha mafupi sana.

Mimi ni kijana wa kiume miaka 27 'nilimaliza Form 4 2013 nikapata division 3 lakini nikakosa nafasi form 5
Since day one ndoto yangu ilikuwa ni kuwa DAKTARI +Business man 2014 nikachomoka Moshi Kuja Dar ku strugle

Nimepambana from 2014 up to this moment MUngu akanibariki kiuchumi kwa kiasi fulan 🙏🙏🙏

Sasa nahisi ni Muda mwafaka wa kutimiza ndoto yangu ya pili japo umri umenitupa mkono

Nimeona Bora nifanye mtihani wa form 5 kama private candidate (PC) kwa combination ya PCB mwakani.

1-Je, wapi naweza Pata center tulivu au mwalimu mzuri wa Physics, Chemistry na Biology ya F5&6?

2-Nitumie trick gani nimudu kusoma sababu ni miaka 10 imepita toka nimeachilia mbali masuala ya shule?
 
Kwa tokeo la form 4, na amekaa muda mrefu bila kuwa academically active (almost miaka 10)...yeyote anayemshauri aende advance hamtakii mema na sio vizuri.. In addition anataka apige advance PCB kwa mwaka mmoja....
Umemwambi ukweli kwanz hata umri wake miaka 27 ni changamoto kumasta vitu vigumu kwa muda mfupi..maana huo ndo umri wa kujitafuta kijana.
 
Umemwambi ukweli kwanz hata umri wake miaka 27 ni changamoto kumasta vitu vigumu kwa muda mfupi..maana huo ndo umri wa kujitafuta kijana.
Watu wanasoma PhD wanamiaka 45 we unasemamea miaka 27?
 
Back
Top Bottom