Tangantika
JF-Expert Member
- Aug 12, 2018
- 5,586
- 7,087
At the end of the day is money!
Kule shule tulipandikizwa propaganda za kijinga.
I'm grown man who went to higher school very late.
I'm good mentor for late people.
Haifai kabisa kuendelea kukosea.
Nilijiunga kusoma BS in physics nikiwa 32 yrs old.
Unaishi chuoni for survival of DISCO.
Akili inakataana kabisa( intelligence it depreciate with time).
Science ni ya kusoma teenagers na aerly 20+, miaka hio mtu una fast memory and fast retrieval of informations.
Ni mateso makubwa sana na ni jambo la kujutia kutumia muda vibaya.
Kwa nini umri huo bado hujui maana ya maisha( kamsome erikson juu ya maana ya maisha)?
Life is all about living.
Nadhani chagua trend inayofanya vizuri sokoni kwa sasa achana na ile akili ya peer group.
Hivi kuwa DR. wa meno kuna maana gani? huzioni course nzuri za wewe kuwa comfortable ktk ofisi nzuri badala ya kwenda kushika vinywa, nyuchi, Vidonda, maiti.
What is so special ktk udaktari?
Akili tulizopewa tungekuwa tuna direct kwenye innovative things tungekuwa mbali sana.
Watu waliosoma sayansi ni watu wenye akili sana tena GIFTED most of them lakini wanaishia maisha ya kufanya routine(hakuna innovation yoyote wanafanya) , why do you want to go that direction?
Unataka sifa tu eti wewe ni daktari ?
Kama ni sifa sawa ila kama kazi basi soma finance, art and craft, na nduguze ili umudu maisha na uishi bila stress.
Imagine kuna watu wanafanya kazi bank kuu wewe unaenda hospitali ya kyela kutumbua majipu! Kazi ya kujitolea na kukosa furaha( unaishi na watu waliokata tamaa za maisha )
Life is the game, play it entelligently !
Kwa nini hatuna ndoti za kuwa na kampuni bali vyeti vya kujiumiza !
Una nini special utakachobadilisha katika sekta ya udaktari ?
Au utagundua new medical procedure?
Kule shule tulipandikizwa propaganda za kijinga.
I'm grown man who went to higher school very late.
I'm good mentor for late people.
Haifai kabisa kuendelea kukosea.
Nilijiunga kusoma BS in physics nikiwa 32 yrs old.
Unaishi chuoni for survival of DISCO.
Akili inakataana kabisa( intelligence it depreciate with time).
Science ni ya kusoma teenagers na aerly 20+, miaka hio mtu una fast memory and fast retrieval of informations.
Ni mateso makubwa sana na ni jambo la kujutia kutumia muda vibaya.
Kwa nini umri huo bado hujui maana ya maisha( kamsome erikson juu ya maana ya maisha)?
Life is all about living.
Nadhani chagua trend inayofanya vizuri sokoni kwa sasa achana na ile akili ya peer group.
Hivi kuwa DR. wa meno kuna maana gani? huzioni course nzuri za wewe kuwa comfortable ktk ofisi nzuri badala ya kwenda kushika vinywa, nyuchi, Vidonda, maiti.
What is so special ktk udaktari?
Akili tulizopewa tungekuwa tuna direct kwenye innovative things tungekuwa mbali sana.
Watu waliosoma sayansi ni watu wenye akili sana tena GIFTED most of them lakini wanaishia maisha ya kufanya routine(hakuna innovation yoyote wanafanya) , why do you want to go that direction?
Unataka sifa tu eti wewe ni daktari ?
Kama ni sifa sawa ila kama kazi basi soma finance, art and craft, na nduguze ili umudu maisha na uishi bila stress.
Imagine kuna watu wanafanya kazi bank kuu wewe unaenda hospitali ya kyela kutumbua majipu! Kazi ya kujitolea na kukosa furaha( unaishi na watu waliokata tamaa za maisha )
Life is the game, play it entelligently !
Kwa nini hatuna ndoti za kuwa na kampuni bali vyeti vya kujiumiza !
Una nini special utakachobadilisha katika sekta ya udaktari ?
Au utagundua new medical procedure?