Nina miaka 27, bado nina ndoto ya kuwa Daktari (Médical Doctor)

Nina miaka 27, bado nina ndoto ya kuwa Daktari (Médical Doctor)

Twition = tuition, kwaiy = kwa hiyo, kipengere = kipengele, mnjin = mjini. Ngoreme sec ilikuwa lazima mfeli. Mlikuwa vilaza na wewe kwa uandishi huu umetuwekea ushahidi usiotia shaka. Huna uhalali wa kusema huyo mhitimu wa UDSM yuko empty wakati wewe ni mhitimu kilaza wa Ngoreme sec.
Sawa. Lakin si umeelewa ndo maana umeweka sahihi. Kiongozi

Ukweli utabaki pale Elimu ya Tz imeisha Thamani wahitimu wengi ni vilaza. Ndo maana unakuta mtu professor au ana degree lakin anaongea upumbavu afadhari hata mtoto Wa Lasaba wanawaita Machawa sijui na wewe umo
 
Kwa miaka 27 upo katika umri sahihi Sana , After six years utakuwa na 33 na kwa Huwezo wake Mungu utakuwa unaitwa doctor MD.

Fanya hivi sajiri mtihani kwa mwaka mmoja means ufanye mtihani mwakani mwezi wa tano then Kama upo dsm tembelea michikichini huko Utakutana na waalimu na wabobezi wa hizo Kazi za private Candidate .



Ukisoma kwa kumaanisha hata miezi mitano unatoboa vizuri tu so hapo nunua review zakutosha then vitabu na solve Sana Maswali Naamini hautokosa B tatu katika paper la six

Usisikilize maneno yenye negativity kuwa hautaweza au huwezi stay away with negativity
Ss
Na uwezo wa mtu unajidhihirisha tu.

Form 4 alipata Div 3. Unategemea Advance tena PCB ang'ooke?

Wanaaomshauri apige QT wanampoteza. Advance ule ni mziki mwingine.

Mimi ni Daktari kwa sasa, ila elimu ambayo ninaipa salute ni ya form 5&6. Miaka miwili yenye vitu vingi sana.

Mkuu, usidanganyike. Utachora 0. Miaka 10, ujiandae kwa miezi sita ufanye mtihani wa form 6? Usipoteze muda Mkuu.

Nini haswa kinakuvutia kwenye Udaktari? Kama ni kuhudumia watu wapone, hata Tabibu (CO) anafanya hivyo. Soma Diploma ya Clinical Medicine miaka mitatu.

Na uwezo wa mtu unajidhihirisha tu.

Form 4 alipata Div 3. Unategemea Advance tena PCB ang'ooke?

Wanaaomshauri apige QT wanampoteza. Advance ule ni mziki mwingine.

Mimi ni Daktari kwa sasa, ila elimu ambayo ninaipa salute ni ya form 5&6. Miaka miwili yenye vitu vingi sana.

Mkuu, usidanganyike. Utachora 0. Miaka 10, ujiandae kwa miezi sita ufanye mtihani wa form 6? Usipoteze muda Mkuu.

Nini haswa kinakuvutia kwenye Udaktari? Kama ni kuhudumia watu wapone, hata Tabibu (CO) anafanya hivyo. Soma Diploma ya Clinical Medicine miaka mitatu.
Ok
 
Hongera Sana mkuu sema hii kitu inahitaji Subira na utambuzi wa kiakili
Upo sahihi mkuu

Risk na lucky Hawa Ni ndugu ukimuogopa risk hauwezi kumpata lucky so na risk takers wengi ndo sisi huwa tunasema wana bahati


Then kitu kikubwa nilichojifunza katika Maisha nikutokuamini kuwa umefika au haujafika so hata ukipata position yoyote ruhusu kuendelea kujifunza kila siku .

destination disease - huu ni ugonjwa wa Kujiona umefika hivyo ukiruhusu huu ugonjwa ukuvae maane yake unaua potentiality uliyonayo Mfano mtoa mada Kama tayari amefanya Biashara ni kitu kizuri ila Kama ameona anaisikia sauti ya ndani kuwa anaweza kuwa MD akaitumikia jamii kwa upande huo pia ni kitu kizuri pia . Pia akishakuwa MD akahisi anaweza fanya kitu kingine pia afanye kuwa multi-purpose pia ni Jambo zuri .
 
Kwa Msuli wa PCB? Kidato Cha Nne ukapata Div 3? Hapo ni wazi Hesabu hauko vizuri.


Usome PCB mwaka Mmoja ?? Ufaulu usome Udaktari ?.


Nakushauri .

Kwakua una Uchumi mzuri ,

Tafuta chuo Cha Kati Cha Private kizuri kinachotoa Kozi ya Diploma ya Clinical Medicine.

Anza Kusoma hapo maliza Diploma, Unga MD.


Faida ..

Kwa namna ya Vijana naowaona wakija kufanya mafunzo ya vitendo.

Inaonekana huko vyuoni kwao, wanafaulishwa sana Kwa kupewa ufaulu mkubwa .

Hivo ufaulu wako utakua ni wa hakika kabisaa na utapata GPA nzuri ya Kusoma Udaktari mbeleni.


lakini Kwa njia hii Kinachoniumiza sana, Utakua Daktari kanjanja / Mchongo .


Sasa Ili uishi Kwa kufanya kazi na ili uwe Daktari mzuri Na sio Daktari, ukishaingia chuo, huo Uchumi weka pemben, Kisha soma ,soma ,soma Kwa bidiii ukiruhusu akili yako kukielewa kile unachokisoma.
 
Sawa. Lakin si umeelewa ndo maana umeweka sahihi. Kiongozi

Ukweli utabaki pale Elimu ya Tz imeisha Thamani wahitimu wengi ni vilaza. Ndo maana unakuta mtu professor au ana degree lakin anaongea upumbavu afadhari hata mtoto Wa Lasaba wanawaita Machawa sijui na wewe umo
Afadhari = afadhali, lasaba = la saba. Kwa huu uandishi wako hata mimi ninakubaliana kuwa kuna shida kubwa kwenye elimu inayotolewa. Kama wewe unayeita wengine vilaza huku ukichanganya herufi kubwa na ndogo kwenye maandishi hali ikoje kwa hao unaowaita vilaza? Inatafakarisha.
 
Zamani nilidhani madaktari wanamaisha mazuri sana pengine kuliko career zote...kumbe hapana, bora uwe katibu mwenezi wa ccm tu, huitaji kusoma sana but maslai yake utalisha ukoo mzima.
Mwanangu hata mimi nikirudi shule sisomi tena PCM.. Nitasoma vitu laini tu kwasababu hapa bongo wenye mpuga mrefu wengi hawajasoma vitu vigumu. Mtu kapita zake na HGE sasa hivi utakuta mhasibu mkubwa tu.
 
Ndugu jiandae vya kutosha PCB sio kazi ndogo! Unahitaji miaka sio chini ya 4 iliuweze kupata one ya advance
Ukweli mchungu huu,maana siku hizi ukipata division 2 au hata division 1 ya point 9 wanakutema kutokana na utitiri wa watu wanaofaulu
 
Kwa umri wake hii ndo njia rahisi..hiyo nyingine ngumu sana kutoboa Form 5&6 inahitaji utulivu sana.
Yes kama hakuna mtu wa kumsimamia mahitaji yake na malipo ya ada ni kitendawili advance haitakiwi kuchanganya mambo ya kusoma na kutafuta hela in the same time
 
dogo una wazo zuri la kujiendeleza ila nakuomba usijidanganye kusoma form 5&6 tena PCB. achana kabisa na hilo wazo litakuja kukugharimu sana .
kama lengo lako n kuwa md nenda kasome CO utajiendeleza ukihitimu na usiende kupambana na PCB .
nakuasa huyo jamaa anayeitwa PCB siyo rafiki mzuri sana kivile umdhaniavyo kuna mda wa ana uwezo wa kuumiza vichwa vya watu .
ten yrs uko nje ya shule c haba
 
Kwa miaka 27 upo katika umri sahihi Sana , After six years utakuwa na 33 na kwa Huwezo wake Mungu utakuwa unaitwa doctor MD.

Fanya hivi sajiri mtihani kwa mwaka mmoja means ufanye mtihani mwakani mwezi wa tano then Kama upo dsm tembelea michikichini huko Utakutana na waalimu na wabobezi wa hizo Kazi za private Candidate .



Ukisoma kwa kumaanisha hata miezi mitano unatoboa vizuri tu so hapo nunua review zakutosha then vitabu na solve Sana Maswali Naamini hautokosa B tatu katika paper la six

Usisikilize maneno yenye negativity kuwa hautaweza au huwezi stay away with negativity
NAKAZIA
 
Afadhari = afadhali, lasaba = la saba. Kwa huu uandishi wako hata mimi ninakubaliana kuwa kuna shida kubwa kwenye elimu inayotolewa. Kama wewe unayeita wengine vilaza huku ukichanganya herufi kubwa na ndogo kwenye maandishi hali ikoje kwa hao unaowaita vilaza? Inatafakarisha.
Sawa chawa.
 
naona wengine wanasema kwakuwa ulipata 3 form four hutoweza kutoboa PCB si kweli usiwasikilize me mwenyewe nilipata pia division 3 form 4 lakini advance nilipata division 2 ni mtu tu na juhudi zako
sikusapoti tu hapo kwenye kusoma kwa mwaka mmoja hautoweza mambo ni mengi halafu nina chandi ya chemia, BS na review ya chemia ukivihitaji bei sawa na bure karibu
 
Soma diploma ya clinical medicine anzisha hospitali yakoooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooo
 
Kwa miaka 27 upo katika umri sahihi Sana , After six years utakuwa na 33 na kwa Huwezo wake Mungu utakuwa unaitwa doctor MD.

Fanya hivi sajiri mtihani kwa mwaka mmoja means ufanye mtihani mwakani mwezi wa tano then Kama upo dsm tembelea michikichini huko Utakutana na waalimu na wabobezi wa hizo Kazi za private Candidate .



Ukisoma kwa kumaanisha hata miezi mitano unatoboa vizuri tu so hapo nunua review zakutosha then vitabu na solve Sana Maswali Naamini hautokosa B tatu katika paper la six

Usisikilize maneno yenye negativity kuwa hautaweza au huwezi stay away with negativity
Nasema hiviiiii. Hatobooooiiiii
 
Mimi ni kijana wa kiume miaka 27 'nilimaliza Form 4 2013 nikapata division 3 lakini nikakosa nafasi form 5
Since day one ndoto yangu ilikuwa ni kuwa DAKTARI +Business man 2014 nikachomoka Moshi Kuja Dar ku strugle
 

Attachments

  • 8A1218A2-FA31-49E8-A527-1742A705A687.jpeg
    8A1218A2-FA31-49E8-A527-1742A705A687.jpeg
    114.5 KB · Views: 13
Back
Top Bottom