Nina miaka 27, bado nina ndoto ya kuwa Daktari (Médical Doctor)

Nina miaka 27, bado nina ndoto ya kuwa Daktari (Médical Doctor)

Attachments

  • 169766FC-0D45-4D7A-A897-8E4B064ADFD2.jpeg
    169766FC-0D45-4D7A-A897-8E4B064ADFD2.jpeg
    114.5 KB · Views: 10
Pcb ninayo ijua mm ,mm nikihisi ungekuwa serious more than. Kuandika huu uzi
 
It's note about money mkuu, It's about dream
Dreams nyingine ni illusion unapambana unakipata alaf unakuja kugundua ni scam...
Tuna Chase dream Ili tue na maisha Bora hayo mengine nikujidanganya tu..
May be tungekua first world countries sawa ila sisi Tupo third world countries 😊

Nenda kasome

1 Wakorinto 11;23-29
 
Umri bado mkuu pambania ndoto yako, usikubali kukatishwa tamaa.
 
Kwa miaka 27 upo katika umri sahihi Sana , After six years utakuwa na 33 na kwa Huwezo wake Mungu utakuwa unaitwa doctor MD.

Fanya hivi sajiri mtihani kwa mwaka mmoja means ufanye mtihani mwakani mwezi wa tano then Kama upo dsm tembelea michikichini huko Utakutana na waalimu na wabobezi wa hizo Kazi za private Candidate .



Ukisoma kwa kumaanisha hata miezi mitano unatoboa vizuri tu so hapo nunua review zakutosha then vitabu na solve Sana Maswali Naamini hautokosa B tatu katika paper la six

Usisikilize maneno yenye negativity kuwa hautaweza au huwezi stay away with negativity
Miez mitano? Hivi unaijua pcb kweli?
 
Mimi ni kijana wa kiume miaka 27 'nilimaliza Form 4 2013 nikapata division 3 lakini nikakosa nafasi form 5
Since day one ndoto yangu ilikuwa ni kuwa DAKTARI +Business man 2014 nikachomoka Moshi Kuja Dar ku strugle

Nimepambana from 2014 up to this moment MUngu akanibariki kiuchumi kwa kiasi fulan [emoji120][emoji120][emoji120]

Sasa nahisi ni Muda mwafaka wa kutimiza ndoto yangu ya pili japo umri umenitupa mkono

Nimeona Bora nifanye mtihani wa form 5 kama private candidate (PC) kwa combination ya PCB mwakani.

1-Je, wapi naweza Pata center tulivu au mwalimu mzuri wa Physics, Chemistry na Biology ya F5&6?

2-Nitumie trick gani nimudu kusoma sababu ni miaka 10 imepita toka nimeachilia mbali masuala ya shule?
Oya mzazi kapige certificate na madplo tu mwisho utaendea degree , achana na PCB najua kwasasa una vimajukumu changanya na vile mkeo ni msumbufu nakuambia utakufa [emoji3]

Karibu sana udaktari ni mzuri sana hasa ukiupenda ila ni mbaya kama yalikuwa ni maoni na mavision ya wazazi wako sio yako .

Oya niko zangu hapa mochwari napunga upepo najiandaa kumkata utepe mwanakijiji mmoja namsikia yuko analia tu ndani huko .
Wacha nimalizie bapa langu kutoa wenge kwanza

Ma assistant wangu nawasikia wanavyommwagia mitusi kama yote .
 
Mimi ni kijana wa kiume miaka 27 'nilimaliza Form 4 2013 nikapata division 3 lakini nikakosa nafasi form 5
Since day one ndoto yangu ilikuwa ni kuwa DAKTARI +Business man 2014 nikachomoka Moshi Kuja Dar ku strugle

Nimepambana from 2014 up to this moment MUngu akanibariki kiuchumi kwa kiasi fulan [emoji120][emoji120][emoji120]

Sasa nahisi ni Muda mwafaka wa kutimiza ndoto yangu ya pili japo umri umenitupa mkono

Nimeona Bora nifanye mtihani wa form 5 kama private candidate (PC) kwa combination ya PCB mwakani.

1-Je, wapi naweza Pata center tulivu au mwalimu mzuri wa Physics, Chemistry na Biology ya F5&6?

2-Nitumie trick gani nimudu kusoma sababu ni miaka 10 imepita toka nimeachilia mbali masuala ya shule?
Kusoma sidhani age kama ni tatizo.Kikubwa ni malengo yako.Ukibahatika kuingia chuoni utakutana na watu wazima wenye age sawa au kuwazidi wazazi wako,wanapiga book.Timiza ndoto yako,age doesn't matter at all...!
 
Watz bwana mpo too negative mnaamini katika umri na Muda bila kujua time and age is ILLUSION 5 months inatosha mtu ku-chase dream yake ya kufanya paper la six kwa Mtu aliyesoma shule Kama Feza au Kemebos anaelewa what I mean kuwa kufaulu na Muda ni vitu viwili tofauti


We are all strive for success
 
PCB sio mchezo ndugu yangu labda tafuta mchepuo mwingine au nenda diploma utaanza msingi wa udaktari tofauti na PCB utakaririshwa na kusoma vitu vingi visivyo na msaada
 
Ingia college chukua certificate au diploma ya pharmacy then Focus kwenye business kijana fungua maduka ya dawa , laboratories dispensaries etc
 
Watz bwana mpo too negative mnaamini katika umri na Muda bila kujua time and age is ILLUSION 5 months inatosha mtu ku-chase dream yake ya kufanya paper la six kwa Mtu aliyesoma shule Kama Feza au Kemebos anaelewa what I mean kuwa kufaulu na Muda ni vitu viwili tofauti


We are all strive for success
Ifikie hatua muwe mnaheshimu haya mawazo ya Watz, maana kuna muda yana uhalisia kuliko hayo mawazo yenu ambao sio Watz

Wewe ambae sio mtz, hebu tupe hesabu kidogo ya kumpa moyo ndugu yetu hapo juu, kuwa katika hiyo miezi 5 ambayo anayo ya kusoma PCB na kupiga pepa

Atatumia muda gani kufundishwa Physics+kujisomea+kusolve, atatumia muda gani kufundishwa Chemistry+kujisomea+kusolve, atatumia muda gani kufundishwa Biology+kujisomea+kusolve

Na mbaya zaidi sio kwamba ni Fresh from O-level, amekaa kitaa zaidi ya miaka 7, it means kuna basics kibao tu kichwani hazipo tena kichwani

Hapo tufanye hatuongelei BAM na GS, tulet X kuwa jamaa hayo masomo anayajua na hatohitaji kufundishwa
 
Ifikie hatua muwe mnaheshimu haya mawazo ya Watz, maana kuna muda yana uhalisia kuliko hayo mawazo yenu ambao sio Watz

Wewe ambae sio mtz, hebu tupe hesabu kidogo ya kumpa moyo ndugu yetu hapo juu, kuwa katika hiyo miezi 5 ambayo anayo ya kusoma PCB na kupiga pepa

Atatumia muda gani kufundishwa Physics+kujisomea+kusolve, atatumia muda gani kufundishwa Chemistry+kujisomea+kusolve, atatumia muda gani kufundishwa Biology+kujisomea+kusolve

Na mbaya zaidi sio kwamba ni Fresh from O-level, amekaa kitaa zaidi ya miaka 7, it means kuna basics kibao tu kichwani hazipo tena kichwani

Hapo tufanye hatuongelei BAM na GS, tulet X kuwa jamaa hayo masomo anayajua na hatohitaji kufundishwa
Kwakuwa serikali imeweka miaka mowili kusoma na wewe umekariri bila kujua kusoma na kufaulu ni mbinu
 
Kwakuwa serikali imeweka miaka mowili kusoma na wewe umekariri bila kujua kusoma na kufaulu ni mbinu
Kweli kusoma na kufaulu ni mbinu.
Sio lazima usome topic zote, unaangalia examination format, unachagua zile unazozielewa unakomaa nazo consistently basi.
Hakuna uchawi.
 
Back
Top Bottom