Mpandisha mishahara
JF-Expert Member
- Mar 1, 2014
- 1,742
- 1,558
Una tafuta mchumba au msaidizi wa kukusaidia kuwatunza na kuwalea wanao?π€Natafuta mume serious ninamiaka 29 ni maji ya kunde Mimi nimwalim shule ya private ila nina watoto wawili. Natafutaa mchumba kuanzia Miaka 30 kuendelea, akiwa serious mpaka kwenye ndoa.
Masingo faza. LolAlafu ukute ndo wanaongoza kukataa mimba wanajifanya kuuliza baba wa mtoto wakati ni waoπ
Tena wanaume wanaongoza Kwa kuwa na watoto kilamtu na mamaake πMasingo faza. Lol
KaribuNatafuta mume serious ninamiaka 29 ni maji ya kunde Mimi nimwalim shule ya private ila nina watoto wawili. Natafutaa mchumba kuanzia Miaka 30 kuendelea, akiwa serious mpaka kwenye ndoa.
Duh mimi ilimradi mwalimu maana yule mama pia kasema kwa kichwa changu mwalimu atanifaa .[emoji23]Inafuatana na kichwa ulichokutana nacho mkuu[emoji23]
Jitahidi bas kutafuta tafuta maana single wapo wengi mnoDuh mimi ilimradi mwalimu maana yule mama pia kasema kwa kichwa changu mwalimu atanifaa .[emoji23]
Umenena ukweli momMwalimu usipomakinika huku utapata zawadi ya mtoto mwingine.
Hapo akipatikana basi kulogwa nje njeUnaweza ukapata ila lazima atakuwa Na familia na yeye lakini Kwa ambaye hajaanzisha familia ni ngumu kidogo ila Kila la kheri KWENYE hitaji la moyo wako
Shida hunipi hizo connection za hao single ili tuanzishe maishaJitahidi bas kutafuta tafuta maana single wapo wengi mno
Nipe muda nitafanya mkuuShida hunipi hizo connection za hao single ili tuanzishe maisha
Wewe mjinga. Sikuiti mpumbavu kwa sababu mjinga anaweza kujifunza akaelewa na kubadilika.Mtu akisoma juu juu bila tafakuri anaweza kuona hujaandika kitu but kwa dunia ya sasa na status yake ilibidi hilo aliandike kabisa kwenye post yake hapo juu
mbona sifa umeweka chache?Natafuta mume serious ninamiaka 29 ni maji ya kunde Mimi nimwalim shule ya private ila nina watoto wawili. Natafutaa mchumba kuanzia Miaka 30 kuendelea, akiwa serious mpaka kwenye ndoa.
Wahuni watamjaza tena, ngoja tusubiri mrejeshoMwalimu usipomakinika huku utapata zawadi ya mtoto mwingine.