Nina miaka 32, nataka niutumie mwaka wa 33 kurekebisha makosa yangu yote ya nyuma

Nina miaka 32, nataka niutumie mwaka wa 33 kurekebisha makosa yangu yote ya nyuma

Bodhichitta

JF-Expert Member
Joined
Jul 1, 2015
Posts
315
Reaction score
762
Aslaam,

Kuna wakati kama binadamu unatakiwa ujitafakari.

Mim binafsi nimejitafakari na kugundua nimechelewa saana katika maisha. Na Moja yakitu kilichonichelewesha ni hofu.

Asikuambie mtu hii kitu(hofu) ni ya kijinga saana, nakama hujaiugundua mapema inaweza kukumaliza mpka uzeeni.

Nimechelewa kugundua hili mpaka namaliza miaka hii(32).

Nataka niutumie mwaka wangu wa 33 kufanya Yale ambayo nimeshindwa kufanya Kwa sababu ya hofu. Kama nitaendelea kuwa na afya na uhai.

Mungu wangu nisimamie.
 
Aslaam,

Kuna wakati kama binadamu unatakiwa ujitafakari.

Mim binafsi nimejitafakari na kugundua nimechelewa saana katika maisha. Na Moja yakitu kilichonichelewesha ni hofu.

Asikuambie mtu hii kitu(hofu) ni ya kijinga saana, nakama hujaiugundua mapema inaweza kukumaliza mpka uzeeni.

Nimechelewa kugundua hili mpaka namaliza miaka hii(32).

Nataka niutumie mwaka wangu wa 33 kufanya Yale ambayo nimeshindwa kufanya Kwa sababu ya hofu. Kama nitaendelea kuwa na afya na uhai.

Mungu wangu nisimamie.
Maneno haya sio mageni mjini.....

Hasa mwisho na mwanzo wa mwaka..
 
Komaa mkuu
Ila Cha ajabu unaweza kuwa na hofu kwenye kufanya jambo lako la maendeleo ...ila kwenye tundu pale mnakuwa hamna hofu mwatumbukiza rumbu popote..Sad
 
Back
Top Bottom