Nina miaka 32, nataka niutumie mwaka wa 33 kurekebisha makosa yangu yote ya nyuma

Nina miaka 32, nataka niutumie mwaka wa 33 kurekebisha makosa yangu yote ya nyuma

Ndio Bado Nina hofu, lengo langu sio kuiondoa hofu hapana nikuifanya hofu yangu inifanye nifanye hayo mambo ninayotaka kuyafanya
Mwaka kesho kutwa 2026 ukitaka kufanya jambo fanya KIMYAKIMYA.Mwaka 2025 hutafanikiwa kwakua umeshaanza kuattract bad energies.

##KUFANYA MABADILIKO NA MAMBO MAKUBWA KUNAHITAJI UWE NA MDOMO MZITO NA KABA KOO!!!!
 
Do or die hofu ni kitu kibaya sana asee ile hatua unayoogopa kupiga ndo yenye mafanikio hakikisha unaipiga bila hofu ila ukiipga na hofu matokeo hayaji
 
Aslaam,

Kuna wakati kama binadamu unatakiwa ujitafakari.

Mim binafsi nimejitafakari na kugundua nimechelewa saana katika maisha. Na Moja yakitu kilichonichelewesha ni hofu.

Asikuambie mtu hii kitu(hofu) ni ya kijinga saana, nakama hujaiugundua mapema inaweza kukumaliza mpka uzeeni.

Nimechelewa kugundua hili mpaka namaliza miaka hii(32).

Nataka niutumie mwaka wangu wa 33 kufanya Yale ambayo nimeshindwa kufanya Kwa sababu ya hofu. Kama nitaendelea kuwa na afya na uhai.

Mungu wangu nisimamie.
Unatusimulia Ili iweje hasa?
 
Back
Top Bottom