Simon Adebisi
JF-Expert Member
- Aug 7, 2018
- 1,224
- 2,337
Safi sana mkuu tuko safari moja... Mungu atusaidie kwa kweli
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hujui maana yake kiongozi, kwahiyo wewe ndo mjingaID yako tu inaonyesha wewe ni mtu mjinga mtu unaitwaje Bodhichita
Mawazo ya mwafrika haya, anawaza uchi tuKomaa mkuu
Ila Cha ajabu unaweza kuwa na hofu kwenye kufanya jambo lako la maendeleo ...ila kwenye tundu pale mnakuwa hamna hofu mwatumbukiza rumbu popote..Sad
Pamoja kiongoziSafi sana mkuu tuko safari moja... Mungu atusaidie kwa kweli
Mwaka kesho kutwa 2026 ukitaka kufanya jambo fanya KIMYAKIMYA.Mwaka 2025 hutafanikiwa kwakua umeshaanza kuattract bad energies.Ndio Bado Nina hofu, lengo langu sio kuiondoa hofu hapana nikuifanya hofu yangu inifanye nifanye hayo mambo ninayotaka kuyafanya
Vizuri mchinaMawazo ya mwafrika haya, anawaza uchi tu
Ndo nimeanza mkuu,Usiogope. Anza sasa
Hii kimyakimya mkuu unajua wewe tu huku niliko sijawaambiaIngependeza ungeyafanya kimya kimya ..hapo hofu tayari anakutafutia mbinu nyingine...
Pole sana mkuu, Mungu azidi tubariki
Asante saana kiongozi, umenipa nguvu saaanaHakuna kitu kinashindikana miaka 33 bado ni kijana mdogo unaeweza fanya makubwa tu.
Kweli mkuukwa miaka 33 ni sawa mechi second leg ya away halafu 1st leg home ulipigwa 2-0
ko inabidi usawazishe kulevel aggregate +kushinda.
Acha kudanganya mwenzakoHakuna kitu kinashindikana miaka 33 bado ni kijana mdogo unaeweza fanya makubwa tu.
Unatusimulia Ili iweje hasa?Aslaam,
Kuna wakati kama binadamu unatakiwa ujitafakari.
Mim binafsi nimejitafakari na kugundua nimechelewa saana katika maisha. Na Moja yakitu kilichonichelewesha ni hofu.
Asikuambie mtu hii kitu(hofu) ni ya kijinga saana, nakama hujaiugundua mapema inaweza kukumaliza mpka uzeeni.
Nimechelewa kugundua hili mpaka namaliza miaka hii(32).
Nataka niutumie mwaka wangu wa 33 kufanya Yale ambayo nimeshindwa kufanya Kwa sababu ya hofu. Kama nitaendelea kuwa na afya na uhai.
Mungu wangu nisimamie.
Mjomba usijidogosheeInspiring , kumbe Mimi 24 nina bado nina nafasi kubwa ya kujipanga nilidhani nimechelewa mpaka sasa sina hata kaFerari na nyumba.