Nina miaka 32, nataka niutumie mwaka wa 33 kurekebisha makosa yangu yote ya nyuma

Nina miaka 32, nataka niutumie mwaka wa 33 kurekebisha makosa yangu yote ya nyuma

Inspiring , kumbe Mimi 24 nina bado nina nafasi kubwa ya kujipanga nilidhani nimechelewa mpaka sasa sina hata kaFerari na nyumba.
FB_IMG_17338614553938065.jpg
 
Nataka kutisha kiongozi, yaan hapa nimeorodhesha mambo yote niliyoogopa kuyafanya huko nyuma

Natakiwa kuweka misingi nakufanya ndani ya huu mwaka..eidha nifanye au nife kiongozi.

But death is much bitter, I'm going to deal with all those
kukamilisha new year resolutions ni kazi mno

tunapenda upya, novelty, kwahiyo zile 'nitaanza kesho' 'mwakani itakuwa hivi' zinatuvutia sana

2025 Dec 24 nitarudi hapa unipe feedback, na usidanganye
 
Mwaka kesho kutwa 2026 ukitaka kufanya jambo fanya KIMYAKIMYA.Mwaka 2025 hutafanikiwa kwakua umeshaanza kuattract bad energies.

##KUFANYA MABADILIKO NA MAMBO MAKUBWA KUNAHITAJI UWE NA MDOMO MZITO NA KABA KOO!!!!
Hili unalijua wew tu! Kama uzima upo lazima nifanikiwe hakuna Cha bad energies Wala nin
 
Hongera.
Kwa kuanzia, ishinde hofu ya mungu uliyopandikizwa na wale jamaa.
Aslaam,

Kuna wakati kama binadamu unatakiwa ujitafakari.

Mim binafsi nimejitafakari na kugundua nimechelewa saana katika maisha. Na Moja yakitu kilichonichelewesha ni hofu.

Asikuambie mtu hii kitu(hofu) ni ya kijinga saana, nakama hujaiugundua mapema inaweza kukumaliza mpka uzeeni.

Nimechelewa kugundua hili mpaka namaliza miaka hii(32).

Nataka niutumie mwaka wangu wa 33 kufanya Yale ambayo nimeshindwa kufanya Kwa sababu ya hofu. Kama nitaendelea kuwa na afya na uhai.

Mungu wangu nisimamie.
 
Jitajidi, kila siku ni ya kujifunza, kwa umri huo usiseme unarekebisha yooote ya nyuma.hujafika 40 wewe😎umri wa kujitahidi kufanya kwa usahihi😎.Mungu akutangulie. NB:hujachelewa maisha....Fanya unachoweza kwa mipango.
 
Imani na jitihada ndio jambo la msingi, maisha yana changamoto sana.

Mwaka huu ulivyoanza kila mtu alikuwa na malengo | mikakati mizuri kabisa.

Lkn tunamaliza mwaka kuna waliopiga hatua na kuna walioshindwa huku wakiwa na madeni ya kutosha.
 
Mjomba usijidogoshee
Huo ndio ukweli , kwa ambao tumezoeana nje ya Jf na ambao wanaona mpaka status zangu wanalijua hilo . Jf nilijiunga niko form 3 sasa nipo chuo mwaka wa mwisho.
 
Back
Top Bottom