Contraband
JF-Expert Member
- Nov 14, 2021
- 1,036
- 2,807
- Thread starter
- #21
Future yao ni ya uhakika mkuu namshukuru Mungu napambana.Hakikisha unawaandalia future iliyobora..sio tu unatuhesabia hapa..
Hongera
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Future yao ni ya uhakika mkuu namshukuru Mungu napambana.Hakikisha unawaandalia future iliyobora..sio tu unatuhesabia hapa..
Hongera
Ndiyo nina uhakika, hawa wakubwa watano ni wangu, scientifically proven.Hongera sana mkuu ila una uhakika wote ni wako?
Mimi ni Baba mwema nawatunza vema mkuu. Wanne wapo kindagaten.Anzisha day care mapema
Wamama hawana shida, lakini wananishangaa tu. Sanaaa!!Tupe experience unadeal vipi na hao wamama wote, maana mmoja tu huwa ni pasuakichwa
Nawapenda sana watoto wangu, sitompa mtu yeyote nafasi ya kuwatumikisha.Niuze WAWILI......wakikua wanisaidie kulima njegere na kuchunga mbuzi weusi na wakijivu
Sikulipia abortion, najivunia kuwa Baba.Daddy day care[emoji2]
Kwa watoto hao wakasome bure shule za magu s/m had sec , then kesho jitu lije lidai maendeleoNiliwapa wanawake wanne ujauzito kwa mpigo nikiwa na miaka 27, mpaka nimefikisha miaka 30 nilikuwa na watoto 6.
Juzi naongea na mwanamke niliye-date naye kwa miezi sita akaniambia ana ujauzito wangu. I guess wa nane anakuja.
Sipo hapa kuomba ushauri bali kuwashauri wanaume wenzangu, get one woman, kuwa na mahusiano na wanawake wengi si mambo ya mchezomchezo.
Inawezekana kuwapa wanawake wanne mimba kwa mpigo, lakini probability yake ni ndogo.Niliwapa wanawake wanne ujauzito kwa mpigo nikiwa na miaka 27, mpaka nimefikisha miaka 30 nilikuwa na watoto 6.
Juzi naongea na mwanamke niliye-date naye kwa miezi sita akaniambia ana ujauzito wangu. I guess wa nane anakuja.
Sipo hapa kuomba ushauri bali kuwashauri wanaume wenzangu, get one woman, kuwa na mahusiano na wanawake wengi si mambo ya mchezomchezo.
Unamaanisha nini mkuu? sijakuelewa vizuri.Inawezekana kuwapa wanawake wanne mimba kwa mpigo, lakini probability yake ni ndogo.
Hao wanne hawakai Tanzania, kwa hiyo hawatasoma elimu ya bure mkuu. Na sina uhakika kama unafahamu kiasi gani cha ada nalipa kwa mwaka ndugu.Kwa watoto hao wakasome bure shule za magu s/m had sec , then kesho jitu lije lidai maendeleo
Wakati maendeleo tunayaweka viunoni, elim ingekua inalipiwa tz isinge kuwa masikini kiasi Hiki
Na kwa akili za watanzania watoto wengi wasingeweza kusoma hata darasa moja ,
Ashukuriwe Mungu tumesoma bure otherwise hata ku type hata nisinge weza ,
Lakin tumesoma bure baada tulitumikie taifa kwa Hali na Mali anakuja kiongoz wa upinzan anakujaza maneno eti nchi haijafanya kitu, wakat Kuna watoto wanasoma bure na walim wanadai kulipwa na kupandishwa mishahara daily,
Always mim napiga Sana Hawa chadema walio kuwa wanamsema Sana magu,
Kama ingekua unalipa Ada apo ilibidi ulipe 8mil per year, Ila nothing you will pay and they will graduate up to advance level , wakutane na mkopo Tena huko,
Asee mm napenda kiongozi shupavu mwenye element za dictetar kias flan na sio uongoz peke yake wa kupka rangi ,
Karibu mwenye povu
Probability ya mwanamme mmoja kuwapa mimba wanawake wanne kwa wakati mmoja ni ndogo.Unamaanisha nini mkuu? sijakuelewa vizuri.
Sikuamini Mimi mwenyewe mwanzo, lakini Sayansi (DNA test) inasema ni watoto wangu, na ninawalea mkuu. Kiukweli mkuu nimekuwa na wanawake wengi sana, hivyo basi, kwa hao watoto wanne wakati nina miaka 27 naamini kwa 100% ni wanangu.Probability ya mwanamme mmoja kuwapa mimba wanawake wanne kwa wakati mmoja ni ndogo.
Wanakua vema mkuu. Ninashukuru sana.Hongera Sana waombee wakue vema
Mbona unefurahi mkuu?!
Mimi nina watoto 9 kwa wake wawili. Nina miaka kama yako.Niliwapa wanawake wanne ujauzito kwa mpigo nikiwa na miaka 27, mpaka nimefikisha miaka 30 nilikuwa na watoto 6.
Juzi naongea na mwanamke niliye-date naye kwa miezi sita akaniambia ana ujauzito wangu. I guess wa nane anakuja.
Sipo hapa kuomba ushauri bali kuwashauri wanaume wenzangu, get one woman, kuwa na mahusiano na wanawake wengi si mambo ya mchezomchezo.
Si kweli mkuu, watoto ni baraka.Mimi nina watoto 9 kwa wake wawili. Nina miaka kama yako.
Namaanisha hujielewi kijana.