Nina miaka 32 nina watoto 7, wa nane yupo njiani (miezi saba)

Nina miaka 32 nina watoto 7, wa nane yupo njiani (miezi saba)

Sikuamini Mimi mwenyewe mwanzo, lakini Sayansi (DNA test) inasema ni watoto wangu, na ninawalea mkuu. Kiukweli mkuu nimekuwa na wanawake wengi sana, hivyo basi, kwa hao watoto wanne wakati nina miaka 27 naamini kwa 100% ni wanangu.
Kwa mujibu wako mwenyewe, kwa unavyopiga kavu hivyo, HIV umepima?
 
Kwa mujibu wako mwenyewe, kwa unavyopiga kavu hivyo, HIV umepima?
Ndiyo mkuu, niko negative, napima kila baada ya miezi michache. Ingawa my pull out game "weak". Hahaha!
 
Wingi wa mara unazopima haukusaidii kama huachi kucheza peku.

Ukiukwaa, kupima baadaye hakutakusaidia usiwe nao.
Ni kweli mkuu, natakiwa niwe makini sana kwa wakati huu.
Naamini HIV siyo utani, wengi tumeshawazika.
 
Yaani watoto nusu dozen ndio unakuja kututambia huku usikumani...🤨
Hivi huko Daslam wanaume mpoje lakini...!!
Umepata wapi wazo, nipo hapa kuwatambia mkuu? Umejuaje nipo Dar?
Wewe ni poster wa muda mrefu, lakini mbona unapost kama umekatwa kichwa mkuu?
Grow up!
 
Rafiki yangu akinihadithia, kaka yao mkubwa alizaa na wanawake tofauti, watoto wengi walikua na shida mara viatu, nguo, uniforms za shule, ada, wakiugua. Chakula nk maana wengi walikimbilia kwa bibi mzaa baba.

Sasa wamekua na wengi ni waajiriwa, wamejipanga kila mtoto anarusha pesa kila mwezi kwa baba yake. Jamaa anaishi kama king sasa hivi. Wala mashangazi hawakumbukwi.
 
Rafiki yangu akinihadithia, kaka yao mkubwa alizaa na wanawake tofauti, watoto wengi walikua na shida mara viatu, nguo, uniforms za shule, ada, wakiugua. Chakula nk maana wengi walikimbilia kwa bibi mzaa baba.

Sasa wamekua na wengi ni waajiriwa, wamejipanga kila mtoto anarusha pesa kila mwezi kwa baba yake. Jamaa anaishi kama king sasa hivi. Wala mashangazi hawakumbukwi.
Kwa hilo unatushauri je sass?
 
Watunze kwa chochote ulichojaliwa na Mungu, waonyeshe upendo, jitahidi wamjue Mungu.
Tatizo ni mama zao tu, hawaishiwi vitimbi na kuwagawa watoto kwa kuwatia vimaneno maneno
 
Niliwapa wanawake wanne ujauzito kwa mpigo nikiwa na miaka 27, mpaka nimefikisha miaka 30 nilikuwa na watoto 6.

Juzi naongea na mwanamke niliye-date naye kwa miezi sita akaniambia ana ujauzito wangu. I guess wa nane anakuja.

Sipo hapa kuomba ushauri bali kuwashauri wanaume wenzangu, get one woman, kuwa na mahusiano na wanawake wengi si mambo ya mchezomchezo.
Hongera baharia wewe ndo unafanya kazi ya kujaza dunia sio kama sisi tunakaribia kuzeeka bado mtoto mmoja. Mimi mwenyewe naanza kufyatua wengine mwaka huu
 
Bora ya wew ndugu yangu!! Nna miaka 30 tayar nna watoto tisa,wawili vijacho!! Katika watoto hao.wawili tu n mma mmoja wengine wote Kila mtu kivyake!! Mtoto wa kwanza ndio ana miaka 10 so you can imagine!! Mda mwingine nawaza kujihas
 
Back
Top Bottom