Nina miaka 32 nina watoto 7, wa nane yupo njiani (miezi saba)

Nina miaka 32 nina watoto 7, wa nane yupo njiani (miezi saba)

Niliwapa wanawake wanne ujauzito kwa mpigo nikiwa na miaka 27, mpaka nimefikisha miaka 30 nilikuwa na watoto 6.

Juzi naongea na mwanamke niliye-date naye kwa miezi sita akaniambia ana ujauzito wangu. I guess wa nane anakuja.

Sipo hapa kuomba ushauri bali kuwashauri wanaume wenzangu, get one woman, kuwa na mahusiano na wanawake wengi si mambo ya mchezomchezo.
Hongera! Kupanga ni kuchagua, Pole kwa viumbe visivyo na hatia, kujikuta katika maisha yasiyoeleweka, inasikitisha!
 
Nawapenda sana watoto wangu, sitompa mtu yeyote nafasi ya kuwatumikisha.
Aisee...Sasa unakazi nao Gani ??!!
Sana sana watakuwa wanakumalizia uji uji na ugali wako wa Dona + MAHARAGE meusi .....[emoji57]
Joke ww zalisha tu
 
Niliwapa wanawake wanne ujauzito kwa mpigo nikiwa na miaka 27, mpaka nimefikisha miaka 30 nilikuwa na watoto 6.

Juzi naongea na mwanamke niliye-date naye kwa miezi sita akaniambia ana ujauzito wangu. I guess wa nane anakuja.

Sipo hapa kuomba ushauri bali kuwashauri wanaume wenzangu, get one woman, kuwa na mahusiano na wanawake wengi si mambo ya mchezomchezo.
wachache sanaa kwa umri wako, ilitakiwa angalau 15 hivi ndo urudi humu
 
Mwanangu inabidi uende kwenye kipindi cha salama na ukatuwakilishe mabaharia.
 
Niliwapa wanawake wanne ujauzito kwa mpigo nikiwa na miaka 27, mpaka nimefikisha miaka 30 nilikuwa na watoto 6.

Juzi naongea na mwanamke niliye-date naye kwa miezi sita akaniambia ana ujauzito wangu. I guess wa nane anakuja.

Sipo hapa kuomba ushauri bali kuwashauri wanaume wenzangu, get one woman, kuwa na mahusiano na wanawake wengi si mambo ya mchezomchezo.
Kuna kitu nilijifunza kwenye maisha, wewe ndiyo unaweza kuamua kufurahia maisha yako ama kuwa na sonona, cha msingi jiandae mkuu, mpaka unazeeka bado una miaka mingi sana, kwa hiyo tafuta hela, wape maisha bora.
 
ukisikia watu wa pwani wanaimba "mwanaume mashine" ujue ndio mashine yenyewe!. 32 vs 8?, hatari na hongera sana kwako, hakikisha watoto wako wanapata huduma kamili na safi yaani chakula, malazi na mavazi. Ukishindwa hapo wanakuwa machokolaa na ombaomba, kama hujiwezi kiuchumi tafadhali jicontrol hasa hicho kiungo kojozi maana bado una safari ndefu sana. Kama bado hujaoa chagua mama watoto wako mmoja wapo umuoe kwa ndoa usije ukaoa mwanamke mwengine ambae hujazaa naye...mm nakushauri tu!
 
Mbona wachache sana?Ukiwapanga wanawake hata kumi kwa siku ambao wanaweza kushika mimba ina maana kila siku watoto kumi.

Usihesabu mapacha. Sasa, turudi kwa umri wako kuanzia miaka 18,mpaka leo ungekuwa na watoto wangapi? Tulia.
Yajayo yatakupatia furaha hadi uwehuke.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Back
Top Bottom