Kennedy
JF-Expert Member
- Dec 28, 2011
- 54,894
- 64,043
Hao Wachache Wengine Wanao 18Hahaha.. chill bro. Nawalea vema tu. Kuja na huu ujumbe hapa haimaanishi siwatunzi.
Jamaa Alikuwa Akimwaga Tu Kulea Kazi Ya Mama
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hao Wachache Wengine Wanao 18Hahaha.. chill bro. Nawalea vema tu. Kuja na huu ujumbe hapa haimaanishi siwatunzi.
Asante sana.
Kivipi??Inawezekana kuwapa wanawake wanne mimba kwa mpigo, lakini probability yake ni ndogo.
Hongera! Kupanga ni kuchagua, Pole kwa viumbe visivyo na hatia, kujikuta katika maisha yasiyoeleweka, inasikitisha!Niliwapa wanawake wanne ujauzito kwa mpigo nikiwa na miaka 27, mpaka nimefikisha miaka 30 nilikuwa na watoto 6.
Juzi naongea na mwanamke niliye-date naye kwa miezi sita akaniambia ana ujauzito wangu. I guess wa nane anakuja.
Sipo hapa kuomba ushauri bali kuwashauri wanaume wenzangu, get one woman, kuwa na mahusiano na wanawake wengi si mambo ya mchezomchezo.
Hatua za nini?Sasa tuanze hatua zinazofuata..[emoji23]
Unacheka kama mazuri, mpe miongozo asije kuwehuka...
Ngoja aione shughuli ya kuleaUnacheka kama mazuri, mpe miongozo asije kuwehuka...
Kumbe somo halijaeleweka.😂Hatua za nini?
Aisee...Sasa unakazi nao Gani ??!!Nawapenda sana watoto wangu, sitompa mtu yeyote nafasi ya kuwatumikisha.
wachache sanaa kwa umri wako, ilitakiwa angalau 15 hivi ndo urudi humuNiliwapa wanawake wanne ujauzito kwa mpigo nikiwa na miaka 27, mpaka nimefikisha miaka 30 nilikuwa na watoto 6.
Juzi naongea na mwanamke niliye-date naye kwa miezi sita akaniambia ana ujauzito wangu. I guess wa nane anakuja.
Sipo hapa kuomba ushauri bali kuwashauri wanaume wenzangu, get one woman, kuwa na mahusiano na wanawake wengi si mambo ya mchezomchezo.
Kuna kitu nilijifunza kwenye maisha, wewe ndiyo unaweza kuamua kufurahia maisha yako ama kuwa na sonona, cha msingi jiandae mkuu, mpaka unazeeka bado una miaka mingi sana, kwa hiyo tafuta hela, wape maisha bora.Niliwapa wanawake wanne ujauzito kwa mpigo nikiwa na miaka 27, mpaka nimefikisha miaka 30 nilikuwa na watoto 6.
Juzi naongea na mwanamke niliye-date naye kwa miezi sita akaniambia ana ujauzito wangu. I guess wa nane anakuja.
Sipo hapa kuomba ushauri bali kuwashauri wanaume wenzangu, get one woman, kuwa na mahusiano na wanawake wengi si mambo ya mchezomchezo.
Jiwe uyo[emoji4]Ndugu Zangu Zaeni Elimu Ni Bure
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Mbona wachache sana?Ukiwapanga wanawake hata kumi kwa siku ambao wanaweza kushika mimba ina maana kila siku watoto kumi.
Usihesabu mapacha. Sasa, turudi kwa umri wako kuanzia miaka 18,mpaka leo ungekuwa na watoto wangapi? Tulia.
Yajayo yatakupatia furaha hadi uwehuke.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]