Nina miaka 33 lakini naonekana nina miaka 25. Huu ndio mtindo wa maisha yangu pengine unaweza kukusaidia usizeeke haraka

Nina miaka 33 lakini naonekana nina miaka 25. Huu ndio mtindo wa maisha yangu pengine unaweza kukusaidia usizeeke haraka

Mimi nina miaka 30 ila niko kama miaka 12 ndio nabalehe.
Yaani nimepita wengi kumbe humu kwa uchanga wa mwili.
 
Ni sehemu kibao kwa watu tusiojuana hudhania mimi ni kijana mdogo wa miaka 25 kumbe ni mtu mzima nina 33 mwakani mapema tu naingia 34.

Mwili, Ngozi na sura bado vinawachanganya wengi kuhitimisha bado ni kijana mdogo ila huanza kuujua utu uzima wangu tukianza kuongea ama wakijua nina familia.

Mtindo wangu wq maisha;

- Naoga maji yabaridi kipindi cha joto na vuguvugu kipindi cha baridi, nachoamini maji yamoto ukitumia kwa muda mrefu sana yanaharakisha ngozi kutepea.

- Nakunywa lita 1 mpaka 2 za maji kila siku bila kukosa.

- Vilevi natumia kwa kiasi na ni baada ya kumaliza majukumu ya kazini, kifamilia, mazoezi, n.k. Kilevi sio kipaumbele ila ni jambo la ziada tu, natumia kwa kiasi mara 2 kwa wiki kwa kiasi kidogo tu.

- Mazoezi ni lazima nikimbie kila siku asubuhi na hii naifanya tangu nikiwa na miaka 16, sijaanza ukubwani.

- Supendi kuwa mtu wa masikitiko ama mawazo na stress, pale mambo mabaya yakiniandama sipendi kujifungia, nipo radhi niende hata viwanja vya mazoezi ama mtaani nipige stori hata ziwe za siasa ilimradi akili isimezwe na majonzi.

- Chakula pekee nachokula ni cha nyumbani tu, ni aidha nirudi nyumbani kula, nikibebe ama niletewe kazini, binafsi hata kiwe chakula cha hoteli sinaga imani nacho sana na huwa ni mara chache kukitokea dharura.

- Watu wote kwangu ni sawa tu, sina ile kwamba nimdharau fulani kisa anauza nyanya gengeni ama nimheshimu sana flan kisa ana maghorofa mengi, nami naishi kawaida japo naweza kuishi maisha ya juu kimtindo, namheshimu anaeniheshimu bila kujalinhali yake.
Uzi bila picha ni kujifariji tu. Ushazeeka hadi vuzi eti 25 😂😂😂😂
 
Sasa miaka 33 ndo unajiona umekuwa mtu mzima wakati bado unanuka maziwa mdomoni kwa andiko lako!
 
Ni sehemu kibao kwa watu tusiojuana hudhania mimi ni kijana mdogo wa miaka 25 kumbe ni mtu mzima nina 33 mwakani mapema tu naingia 34.

Mwili, Ngozi na sura bado vinawachanganya wengi kuhitimisha bado ni kijana mdogo ila huanza kuujua utu uzima wangu tukianza kuongea ama wakijua nina familia.

Mtindo wangu wq maisha;

- Naoga maji yabaridi kipindi cha joto na vuguvugu kipindi cha baridi, nachoamini maji yamoto ukitumia kwa muda mrefu sana yanaharakisha ngozi kutepea.

- Nakunywa lita 1 mpaka 2 za maji kila siku bila kukosa.

- Vilevi natumia kwa kiasi na ni baada ya kumaliza majukumu ya kazini, kifamilia, mazoezi, n.k. Kilevi sio kipaumbele ila ni jambo la ziada tu, natumia kwa kiasi mara 2 kwa wiki kwa kiasi kidogo tu.

- Mazoezi ni lazima nikimbie kila siku asubuhi na hii naifanya tangu nikiwa na miaka 16, sijaanza ukubwani.

- Supendi kuwa mtu wa masikitiko ama mawazo na stress, pale mambo mabaya yakiniandama sipendi kujifungia, nipo radhi niende hata viwanja vya mazoezi ama mtaani nipige stori hata ziwe za siasa ilimradi akili isimezwe na majonzi.

- Chakula pekee nachokula ni cha nyumbani tu, ni aidha nirudi nyumbani kula, nikibebe ama niletewe kazini, binafsi hata kiwe chakula cha hoteli sinaga imani nacho sana na huwa ni mara chache kukitokea dharura.

- Watu wote kwangu ni sawa tu, sina ile kwamba nimdharau fulani kisa anauza nyanya gengeni ama nimheshimu sana flan kisa ana maghorofa mengi, nami naishi kawaida japo naweza kuishi maisha ya juu kimtindo, namheshimu anaeniheshimu bila kujalinhali yake.
sawa ila utazeeka tu ndugu.
 
Namiaka 37 naonekana nina miaka 25 natomba sana na bia nakunywa nikipata elfu 10 ni nyama na maziwa
 
Mimi sinywi maji kabisa yaani nayaona kama dawa na maisha yanaenda na kustaafu nimekaribia
 
- Watu wote kwangu ni sawa tu, sina ile kwamba nimdharau fulani kisa anauza nyanya gengeni ama nimheshimu sana flan kisa ana maghorofa mengi, nami naishi kawaida japo naweza kuishi maisha ya juu kimtindo, namheshimu anaeniheshimu bila kujalinhali yake.
Kwamba hili nalo linasababisha uonekane una miaka 25 badala ya 33 uliyo nayo!!!!!

What a braggart
 
Ni sehemu kibao kwa watu tusiojuana hudhania mimi ni kijana mdogo wa miaka 25 kumbe ni mtu mzima nina 33 mwakani mapema tu naingia 34.

Mwili, Ngozi na sura bado vinawachanganya wengi kuhitimisha bado ni kijana mdogo ila huanza kuujua utu uzima wangu tukianza kuongea ama wakijua nina familia.

Mtindo wangu wq maisha;

- Naoga maji yabaridi kipindi cha joto na vuguvugu kipindi cha baridi, nachoamini maji yamoto ukitumia kwa muda mrefu sana yanaharakisha ngozi kutepea.

- Nakunywa lita 1 mpaka 2 za maji kila siku bila kukosa.

- Vilevi natumia kwa kiasi na ni baada ya kumaliza majukumu ya kazini, kifamilia, mazoezi, n.k. Kilevi sio kipaumbele ila ni jambo la ziada tu, natumia kwa kiasi mara 2 kwa wiki kwa kiasi kidogo tu.

- Mazoezi ni lazima nikimbie kila siku asubuhi na hii naifanya tangu nikiwa na miaka 16, sijaanza ukubwani.

- Supendi kuwa mtu wa masikitiko ama mawazo na stress, pale mambo mabaya yakiniandama sipendi kujifungia, nipo radhi niende hata viwanja vya mazoezi ama mtaani nipige stori hata ziwe za siasa ilimradi akili isimezwe na majonzi.

- Chakula pekee nachokula ni cha nyumbani tu, ni aidha nirudi nyumbani kula, nikibebe ama niletewe kazini, binafsi hata kiwe chakula cha hoteli sinaga imani nacho sana na huwa ni mara chache kukitokea dharura.

- Watu wote kwangu ni sawa tu, sina ile kwamba nimdharau fulani kisa anauza nyanya gengeni ama nimheshimu sana flan kisa ana maghorofa mengi, nami naishi kawaida japo naweza kuishi maisha ya juu kimtindo, namheshimu anaeniheshimu bila kujalinhali yake.


Miaka 34 kuonekana 25 sio maajabu

1697560594054.png
 
Ni sehemu kibao kwa watu tusiojuana hudhania mimi ni kijana mdogo wa miaka 25 kumbe ni mtu mzima nina 33 mwakani mapema tu naingia 34.

Mwili, Ngozi na sura bado vinawachanganya wengi kuhitimisha bado ni kijana mdogo ila huanza kuujua utu uzima wangu tukianza kuongea ama wakijua nina familia.

Mtindo wangu wq maisha;

- Naoga maji yabaridi kipindi cha joto na vuguvugu kipindi cha baridi, nachoamini maji yamoto ukitumia kwa muda mrefu sana yanaharakisha ngozi kutepea.

- Nakunywa lita 1 mpaka 2 za maji kila siku bila kukosa.

- Vilevi natumia kwa kiasi na ni baada ya kumaliza majukumu ya kazini, kifamilia, mazoezi, n.k. Kilevi sio kipaumbele ila ni jambo la ziada tu, natumia kwa kiasi mara 2 kwa wiki kwa kiasi kidogo tu.

- Mazoezi ni lazima nikimbie kila siku asubuhi na hii naifanya tangu nikiwa na miaka 16, sijaanza ukubwani.

- Supendi kuwa mtu wa masikitiko ama mawazo na stress, pale mambo mabaya yakiniandama sipendi kujifungia, nipo radhi niende hata viwanja vya mazoezi ama mtaani nipige stori hata ziwe za siasa ilimradi akili isimezwe na majonzi.

- Chakula pekee nachokula ni cha nyumbani tu, ni aidha nirudi nyumbani kula, nikibebe ama niletewe kazini, binafsi hata kiwe chakula cha hoteli sinaga imani nacho sana na huwa ni mara chache kukitokea dharura.

- Watu wote kwangu ni sawa tu, sina ile kwamba nimdharau fulani kisa anauza nyanya gengeni ama nimheshimu sana flan kisa ana maghorofa mengi, nami naishi kawaida japo naweza kuishi maisha ya juu kimtindo, namheshimu anaeniheshimu bila kujalinhali yake.
Mie nina miaka 70 lakini naonekana kama vile nina miaka 50 na hakuna la ajabu bali maumbile na majaliwa tu
 
Back
Top Bottom