Usher-smith MD
JF-Expert Member
- Jul 7, 2015
- 9,558
- 12,335
Acha blah blah weka picha tukuone [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uzi bila picha ni kujifariji tu. Ushazeeka hadi vuzi eti 25 😂😂😂😂Ni sehemu kibao kwa watu tusiojuana hudhania mimi ni kijana mdogo wa miaka 25 kumbe ni mtu mzima nina 33 mwakani mapema tu naingia 34.
Mwili, Ngozi na sura bado vinawachanganya wengi kuhitimisha bado ni kijana mdogo ila huanza kuujua utu uzima wangu tukianza kuongea ama wakijua nina familia.
Mtindo wangu wq maisha;
- Naoga maji yabaridi kipindi cha joto na vuguvugu kipindi cha baridi, nachoamini maji yamoto ukitumia kwa muda mrefu sana yanaharakisha ngozi kutepea.
- Nakunywa lita 1 mpaka 2 za maji kila siku bila kukosa.
- Vilevi natumia kwa kiasi na ni baada ya kumaliza majukumu ya kazini, kifamilia, mazoezi, n.k. Kilevi sio kipaumbele ila ni jambo la ziada tu, natumia kwa kiasi mara 2 kwa wiki kwa kiasi kidogo tu.
- Mazoezi ni lazima nikimbie kila siku asubuhi na hii naifanya tangu nikiwa na miaka 16, sijaanza ukubwani.
- Supendi kuwa mtu wa masikitiko ama mawazo na stress, pale mambo mabaya yakiniandama sipendi kujifungia, nipo radhi niende hata viwanja vya mazoezi ama mtaani nipige stori hata ziwe za siasa ilimradi akili isimezwe na majonzi.
- Chakula pekee nachokula ni cha nyumbani tu, ni aidha nirudi nyumbani kula, nikibebe ama niletewe kazini, binafsi hata kiwe chakula cha hoteli sinaga imani nacho sana na huwa ni mara chache kukitokea dharura.
- Watu wote kwangu ni sawa tu, sina ile kwamba nimdharau fulani kisa anauza nyanya gengeni ama nimheshimu sana flan kisa ana maghorofa mengi, nami naishi kawaida japo naweza kuishi maisha ya juu kimtindo, namheshimu anaeniheshimu bila kujalinhali yake.
😄😄😄na vuzi ndio linaanza kuota au zishakomaaaMimi nina miaka 30 ila niko kama miaka 12 ndio nabalehe.
Yaani nimepita wengi kumbe humu kwa uchanga wa mwili.
sawa ila utazeeka tu ndugu.Ni sehemu kibao kwa watu tusiojuana hudhania mimi ni kijana mdogo wa miaka 25 kumbe ni mtu mzima nina 33 mwakani mapema tu naingia 34.
Mwili, Ngozi na sura bado vinawachanganya wengi kuhitimisha bado ni kijana mdogo ila huanza kuujua utu uzima wangu tukianza kuongea ama wakijua nina familia.
Mtindo wangu wq maisha;
- Naoga maji yabaridi kipindi cha joto na vuguvugu kipindi cha baridi, nachoamini maji yamoto ukitumia kwa muda mrefu sana yanaharakisha ngozi kutepea.
- Nakunywa lita 1 mpaka 2 za maji kila siku bila kukosa.
- Vilevi natumia kwa kiasi na ni baada ya kumaliza majukumu ya kazini, kifamilia, mazoezi, n.k. Kilevi sio kipaumbele ila ni jambo la ziada tu, natumia kwa kiasi mara 2 kwa wiki kwa kiasi kidogo tu.
- Mazoezi ni lazima nikimbie kila siku asubuhi na hii naifanya tangu nikiwa na miaka 16, sijaanza ukubwani.
- Supendi kuwa mtu wa masikitiko ama mawazo na stress, pale mambo mabaya yakiniandama sipendi kujifungia, nipo radhi niende hata viwanja vya mazoezi ama mtaani nipige stori hata ziwe za siasa ilimradi akili isimezwe na majonzi.
- Chakula pekee nachokula ni cha nyumbani tu, ni aidha nirudi nyumbani kula, nikibebe ama niletewe kazini, binafsi hata kiwe chakula cha hoteli sinaga imani nacho sana na huwa ni mara chache kukitokea dharura.
- Watu wote kwangu ni sawa tu, sina ile kwamba nimdharau fulani kisa anauza nyanya gengeni ama nimheshimu sana flan kisa ana maghorofa mengi, nami naishi kawaida japo naweza kuishi maisha ya juu kimtindo, namheshimu anaeniheshimu bila kujalinhali yake.
Bado malaika wale. Yaani kila umri unavyozidi zinapotea nazo😂😂😂😄😄😄na vuzi ndio linaanza kuota au zishakomaaa
Sawa babuu nakubal [emoji16][emoji16]89 lkn naonekana na miaka 203 napiga nyeto sana
Kwamba hili nalo linasababisha uonekane una miaka 25 badala ya 33 uliyo nayo!!!!!- Watu wote kwangu ni sawa tu, sina ile kwamba nimdharau fulani kisa anauza nyanya gengeni ama nimheshimu sana flan kisa ana maghorofa mengi, nami naishi kawaida japo naweza kuishi maisha ya juu kimtindo, namheshimu anaeniheshimu bila kujalinhali yake.
Ni sehemu kibao kwa watu tusiojuana hudhania mimi ni kijana mdogo wa miaka 25 kumbe ni mtu mzima nina 33 mwakani mapema tu naingia 34.
Mwili, Ngozi na sura bado vinawachanganya wengi kuhitimisha bado ni kijana mdogo ila huanza kuujua utu uzima wangu tukianza kuongea ama wakijua nina familia.
Mtindo wangu wq maisha;
- Naoga maji yabaridi kipindi cha joto na vuguvugu kipindi cha baridi, nachoamini maji yamoto ukitumia kwa muda mrefu sana yanaharakisha ngozi kutepea.
- Nakunywa lita 1 mpaka 2 za maji kila siku bila kukosa.
- Vilevi natumia kwa kiasi na ni baada ya kumaliza majukumu ya kazini, kifamilia, mazoezi, n.k. Kilevi sio kipaumbele ila ni jambo la ziada tu, natumia kwa kiasi mara 2 kwa wiki kwa kiasi kidogo tu.
- Mazoezi ni lazima nikimbie kila siku asubuhi na hii naifanya tangu nikiwa na miaka 16, sijaanza ukubwani.
- Supendi kuwa mtu wa masikitiko ama mawazo na stress, pale mambo mabaya yakiniandama sipendi kujifungia, nipo radhi niende hata viwanja vya mazoezi ama mtaani nipige stori hata ziwe za siasa ilimradi akili isimezwe na majonzi.
- Chakula pekee nachokula ni cha nyumbani tu, ni aidha nirudi nyumbani kula, nikibebe ama niletewe kazini, binafsi hata kiwe chakula cha hoteli sinaga imani nacho sana na huwa ni mara chache kukitokea dharura.
- Watu wote kwangu ni sawa tu, sina ile kwamba nimdharau fulani kisa anauza nyanya gengeni ama nimheshimu sana flan kisa ana maghorofa mengi, nami naishi kawaida japo naweza kuishi maisha ya juu kimtindo, namheshimu anaeniheshimu bila kujalinhali yake.
Hahaaa umeuaMimi nafanya kama unavyofanya wewe,nina miaka 53 naonekana kama vile nina miaka33 yakwako![emoji2578][emoji2578][emoji2578]
Mie nina miaka 70 lakini naonekana kama vile nina miaka 50 na hakuna la ajabu bali maumbile na majaliwa tuNi sehemu kibao kwa watu tusiojuana hudhania mimi ni kijana mdogo wa miaka 25 kumbe ni mtu mzima nina 33 mwakani mapema tu naingia 34.
Mwili, Ngozi na sura bado vinawachanganya wengi kuhitimisha bado ni kijana mdogo ila huanza kuujua utu uzima wangu tukianza kuongea ama wakijua nina familia.
Mtindo wangu wq maisha;
- Naoga maji yabaridi kipindi cha joto na vuguvugu kipindi cha baridi, nachoamini maji yamoto ukitumia kwa muda mrefu sana yanaharakisha ngozi kutepea.
- Nakunywa lita 1 mpaka 2 za maji kila siku bila kukosa.
- Vilevi natumia kwa kiasi na ni baada ya kumaliza majukumu ya kazini, kifamilia, mazoezi, n.k. Kilevi sio kipaumbele ila ni jambo la ziada tu, natumia kwa kiasi mara 2 kwa wiki kwa kiasi kidogo tu.
- Mazoezi ni lazima nikimbie kila siku asubuhi na hii naifanya tangu nikiwa na miaka 16, sijaanza ukubwani.
- Supendi kuwa mtu wa masikitiko ama mawazo na stress, pale mambo mabaya yakiniandama sipendi kujifungia, nipo radhi niende hata viwanja vya mazoezi ama mtaani nipige stori hata ziwe za siasa ilimradi akili isimezwe na majonzi.
- Chakula pekee nachokula ni cha nyumbani tu, ni aidha nirudi nyumbani kula, nikibebe ama niletewe kazini, binafsi hata kiwe chakula cha hoteli sinaga imani nacho sana na huwa ni mara chache kukitokea dharura.
- Watu wote kwangu ni sawa tu, sina ile kwamba nimdharau fulani kisa anauza nyanya gengeni ama nimheshimu sana flan kisa ana maghorofa mengi, nami naishi kawaida japo naweza kuishi maisha ya juu kimtindo, namheshimu anaeniheshimu bila kujalinhali yake.
😁😁😁 FlexibilitySawa babuu nakubal [emoji16][emoji16]