Nina miaka 33 lakini naonekana nina miaka 25. Huu ndio mtindo wa maisha yangu pengine unaweza kukusaidia usizeeke haraka

Nina miaka 33 lakini naonekana nina miaka 25. Huu ndio mtindo wa maisha yangu pengine unaweza kukusaidia usizeeke haraka

Sasa
Ni sehemu kibao kwa watu tusiojuana hudhania mimi ni kijana mdogo wa miaka 25 kumbe ni mtu mzima nina 33 mwakani mapema tu naingia 34.

Mwili, Ngozi na sura bado vinawachanganya wengi kuhitimisha bado ni kijana mdogo ila huanza kuujua utu uzima wangu tukianza kuongea ama wakijua nina familia.

Mtindo wangu wq maisha;

- Naoga maji yabaridi kipindi cha joto na vuguvugu kipindi cha baridi, nachoamini maji yamoto ukitumia kwa muda mrefu sana yanaharakisha ngozi kutepea.

- Nakunywa lita 1 mpaka 2 za maji kila siku bila kukosa.

- Vilevi natumia kwa kiasi na ni baada ya kumaliza majukumu ya kazini, kifamilia, mazoezi, n.k. Kilevi sio kipaumbele ila ni jambo la ziada tu, natumia kwa kiasi mara 2 kwa wiki kwa kiasi kidogo tu.

- Mazoezi ni lazima nikimbie kila siku asubuhi na hii naifanya tangu nikiwa na miaka 16, sijaanza ukubwani.

- Supendi kuwa mtu wa masikitiko ama mawazo na stress, pale mambo mabaya yakiniandama sipendi kujifungia, nipo radhi niende hata viwanja vya mazoezi ama mtaani nipige stori hata ziwe za siasa ilimradi akili isimezwe na majonzi.

- Chakula pekee nachokula ni cha nyumbani tu, ni aidha nirudi nyumbani kula, nikibebe ama niletewe kazini, binafsi hata kiwe chakula cha hoteli sinaga imani nacho sana na huwa ni mara chache kukitokea dharura.

- Watu wote kwangu ni sawa tu, sina ile kwamba nimdharau fulani kisa anauza nyanya gengeni ama nimheshimu sana flan kisa ana maghorofa mengi, nami naishi kawaida japo naweza kuishi maisha ya juu kimtindo, namheshimu anaeniheshimu bila kujalinhali yake.
Sasa picha mbili ikiwepo enzi una 25 na ya sasa ukiwa na 33 ziko wapi?
 
Mimi nina 36 lakini naonekana nina 25.Sijui kwanini inakuwa hivi?
 
Ni sehemu kibao kwa watu tusiojuana hudhania mimi ni kijana mdogo wa miaka 25 kumbe ni mtu mzima nina 33 mwakani mapema tu naingia 34.

Mwili, Ngozi na sura bado vinawachanganya wengi kuhitimisha bado ni kijana mdogo ila huanza kuujua utu uzima wangu tukianza kuongea ama wakijua nina familia.

Mtindo wangu wq maisha;

- Naoga maji yabaridi kipindi cha joto na vuguvugu kipindi cha baridi, nachoamini maji yamoto ukitumia kwa muda mrefu sana yanaharakisha ngozi kutepea.

- Nakunywa lita 1 mpaka 2 za maji kila siku bila kukosa.

- Vilevi natumia kwa kiasi na ni baada ya kumaliza majukumu ya kazini, kifamilia, mazoezi, n.k. Kilevi sio kipaumbele ila ni jambo la ziada tu, natumia kwa kiasi mara 2 kwa wiki kwa kiasi kidogo tu.

- Mazoezi ni lazima nikimbie kila siku asubuhi na hii naifanya tangu nikiwa na miaka 16, sijaanza ukubwani.

- Supendi kuwa mtu wa masikitiko ama mawazo na stress, pale mambo mabaya yakiniandama sipendi kujifungia, nipo radhi niende hata viwanja vya mazoezi ama mtaani nipige stori hata ziwe za siasa ilimradi akili isimezwe na majonzi.

- Chakula pekee nachokula ni cha nyumbani tu, ni aidha nirudi nyumbani kula, nikibebe ama niletewe kazini, binafsi hata kiwe chakula cha hoteli sinaga imani nacho sana na huwa ni mara chache kukitokea dharura.

- Watu wote kwangu ni sawa tu, sina ile kwamba nimdharau fulani kisa anauza nyanya gengeni ama nimheshimu sana flan kisa ana maghorofa mengi, nami naishi kawaida japo naweza kuishi maisha ya juu kimtindo, namheshimu anaeniheshimu bila kujalinhali yake.
Kuna kitu hujui......
Usile chakula usiku......
Usile tumbo likajaa.....kula kidoogo
Asubuhi kunywa maji kabla ya kupiga mswaki....
Fanya ibada....
Pombe usiguse kabisaaaaa
Kula mboga za majani na matunda mixer
USITOMBE
 
Aliyeanzisha uzi yuko wapi jamani 🙌🙌
 
Kawaida nina 35 nakataliwa wanadai nina 27
 
Back
Top Bottom