Nina mil 12. Je, inatosha mimi kuhamia Marekani au Canada?

Nina mil 12. Je, inatosha mimi kuhamia Marekani au Canada?

Wakuu mimi nna ndoto ya kuishi nje ya nchi haswa Marekani au Canada.
Nimepambana kwa muda mrefu nipate scholarship za huko ila ni tough haswa kwa sisi wenye GPA za lower second.

Nna million 12 fulani kibindoni vipi inatosha kutimiza ndoto? Njia ya kwenda huko nyepesi ni hipi?
Kuamia ndio mdudu gani? Tuanzie hapo kwanza.
 
Mkuu shilingi milion 12 ni kama dola 5000 tu za kimarekani, kama utafikia kwenye majiji makubwa kama New york, Toronto, LA n.k sidhani kama inaweza kukutosha, ngoja wanaoishi huko waje kukusaidia.

Kiranga msaada tafadhali.
 
Nilitegemea kwa wazo lako utakua umesoma makala nyingi za wazamiaji, walioenda bila hata pocket money waliwezaje ku survive huko na wakaweza kubaki huko. Sasa wewe una hela ya mtaji unahangaika hivyo ?

Usihangaike kutafuta muongozo hapa, sana sana utapotea na kuishia jela za mabeberu, halafu uje na mrejesho kwamba heri, kuishi jera ughaibuni kuliko kua mtu huru nchini kwako
 
Mkuu shilingi milion 12 ni kama dola 5000 tu za kimarekani, kama utafikia kwenye majiji makubwa kama New york, Toronto, LA n.k sidhani kama inaweza kukutosha, ngoja wanaoishi huko waje kukusaidia.

Kiranga msaada tafadhali.
Milioni 12 ni kama dola za Kimarekani 5124 kwa rate za leo, hiyo hela kwa bajeti za miji mikubwa si kubwa kama Tanzania.

Milioni 12 kutegemea na maisha yako inaweza kukusaidia, lakini si sana, inabidi ujiongeze.

Lakini kuna watu wamekuja wameanza maisha na hela ndogo sana zaidi ya hiyo na sasa wako vizuri tu.

Kwa hivyo ni kujipanga.

Kitu muhimu ni kuiona hiyo hela kama kitu cha kukusaidia kufika unapokwenda, nauli, gharama za kufuatilia scholarships etc. Mengine utaweza kupata kwenye hatua za mbele.
 
"Mtoto, ni mtoto tu" -- Dr. Remmy.
"Limbukeni ni Limbukeni" -- OG Syllo
Connection ni connection tu hata iwe ya gari, nyumba au ugali wa kizungu...
Ha ha. Nimemkatisha vipi tamaa?

Na maneno ya Lema?, tena kwa majibu yako hakuna tabu, ila kwa vile Syllo kasema imekuwa nongwa.

Umetoa dukuduku lote lakini?

Kumbe huwa mnaelewa ulimbukeni ni ulimbukeni tu.

"Mtoto, ni mtoto tu" -- Dr. Remmy.

Connection ni connection tu hata iwe ya gari, nyumba au ugali wa kizungu.
Sasa nawe, nilichosema si ni hicho hicho? Unachotaka kubisha ni nini?
Usimkatishe tamaa mdau maisha ni popote ndiyo uraia wa ulimwengu unavyoanza huo.
Unatamani ningekuwa nimefanya hivyo, ili uwe ndio mkweli zaidi
Leo Rusesabagina yuko huru toka kwenye meno ya pk shukurani kwa kuwa raia wa ulimwengu. Makapuku wangapi madhila yao hayatakaa yajulikane?
me no know umeleta hayo ya nini wakati mada inadai ushauri.
Aende kamanda yeye ni hazina.
Hakuna lelote lile nililobandika lenye kushawishi asiende huko. Aende tu akirudi atatuhadithia kama Lema.
 
We unakuja kutuambia hapa kila mtu ana ndoto ya kwenda huko na hana kianzio kama chako, anaamua kukatisha tamaa. Kama umepata makaratasi we sepa utajua mbele kwa mbele muhimu ni karatasi tu
 
"Limbukeni ni Limbukeni" -- OG Syllo

Ha ha. Nimemkatisha vipi tamaa? Na maneno ya Lema?, tena kwa majibu yako hakuna tabu....ila kwa vile Syllo kasema imekuwa nongwa....

Umetoa dukuduku lote lakini?

Kumbe huwa mnaelewa ulimbukeni ni ulimbukeni tu.

Pole mjomba kwa povu lote la OmO lililokutoka. Nipende kukufahamisha ninasimama na bandiko langu.

1. Lema amekuwapo Canada kwa miaka 3 sasa.

2. Lema hivi sasa yupo Tanzania.

3. Ndugu hawa wanapokuwa na uraia wa nchi vigogo hizi ni hazina kubwa kwenye mapambano na madikteta uchwara wa Afrika.
Rusesabagina anaingia hapa moja kwa moja.

4. Kulikoni kujimwambafy hivi kutokea Nanjilinji huko? Kwani wewe ndiyo mwenye ufunguo wa mwamba kuondokea?

Hiiiiiiii bagosha!
 
4. Kulikoni kujimwambafy hivi kutokea Nanjilinji huko? Kwani wewe ndiyo mwenye ufunguo wa mwamba kuondokea?

Hiiiiiiii bagosha!
Mada imeomba ushauri. Nimetoa ushauri niwezavyo, tena kwa kutumia maneno yako mwenyewe, unanuna!

Wewe ndie unadai 'mwambi nini sijui' mara Rusebagosha mie na hao kina Ruse wapi na wapi?
Yaani umejaa dukuduku....haya basi maliza hizo dukuduku chini hapa👇

tuendelee kutoa ushauri atakao elewa mleta mada. Vinginevyo usinyong'onyee.
 
Sijajua watu wana tatizo gani aisee why wakisikia US au nchi zilizopiga hatua wanakuwa wakali sana? Maana sijaona mantiki ya watu kunikejeli.
Wivu, Chuki na Husda.

Wengi wanaokukatisha tamaa na wao wameshakikatia tamaa ya maisha.

Ukiamua kitu amua kwa 100%. Kamwe usiwasikilize watu wanaokukatisha tamaa.

Pambania Ndoto zako. Hakuna kitu kisicho na faida Wala hasara.
 
Sijajua watu wana tatizo gani aisee why wakisikia US au nchi zilizopiga hatua wanakuwa wakali sana? Maana sijaona mantiki ya watu kunikejeli.
Ndivyo wabongo walivyo hawako serious na lolote.

Vsa process: 2.5m
Nauli: 6m
Nyumba 3 months: 6m
Chakula 3 months: 3m
Mengineyo 3 months: 3m

Total: 20.5m

Ukichukua tourist visa unapaswa uwe na hiyo 20m tena hapo upate pa kushukia pa bei rahisi sana, kama una ndugu au rafiki basi ondoa gharama za nyumba. Ubalozi unataka kuona salio kwenye bank yako angalau USD 10. Hivyo kiuhalisia 12m ni ndogo unapaswa kuwa na >20m.
 
Back
Top Bottom