Nina mil 12. Je, inatosha mimi kuhamia Marekani au Canada?

Mkuu mimi natafta m5 niende, mhimu tafta sehemu ambayo ukifika ni rahisi kupata vibarua, kuna wana wapo huko wameenda kwa kulipia kiasi kidogo cha hela ya chuo ili kupata admission kama njia ya kuingia huko walipofika walianza kujisomesha binafsi nataka nitumie cha form four niombe certificate ili ada iwe ndogo nijilipie ya kuanzia nikifika kitaeleweka
 
Mkuu shilingi milion 12 ni kama dola 5000 tu za kimarekani, kama utafikia kwenye majiji makubwa kama New york, Toronto, LA n.k sidhani kama inaweza kukutosha, ngoja wanaoishi huko waje kukusaidia.

Kiranga msaada tafadhali.
Kwa maisha ya huku, hela hiyo ni ndogo sana.Ungesema walau 25 au 30 milioni inaweza kusogeza siku.



Sent from my CPH2127 using JamiiForums mobile app
 

Hata wangu ni ushauri tu ndugu. Kumtia shime mleta mada kusonga mbele. Yote niliyoandika yamelenga huko Kwa kila mwenye akili zake kuona.

Mamburula mburula yanihusu vipi miye mjomba?

Usipoelewa hilo kwamba ni tatizo lako, inihusu mimi vipi?

Mshauri ananyong'onyea vipi ndugu?

Hiiiiiii bagosha!
 

Futafute travel History jaman, pia nakushauri uombe chuo hata training institute
 
Hiyo ni kama pesa ya kuishi kwa mwezi mmoja na nusu. Rent, food, public transport, matibabu ndiohutaweza nk. Baki bongo jipang e. Nauli is not inlusive
 
Bufa uje huku mkuu

To answer his question, inatosha kabisa.

Unahitaji pesa ya process za kuja kama visa na nauli tu, mambo mengine yatafunguka mbele ya safari msitishane.

Watu wamefika hawana hata hela ya bus kuwatoa airport sembuse wewe mwenye 12M.

Apply visa, kata ticket, sepa don't overthink.
 
Sawa mkuu hapo utakua umemfungua akili walau amepata Mwanga,
 
Asante sana kwa ushauri. Unashauri niombe visa ya namna gani ili kupunguza ugumu?
 
Ok nimekusoma kiongozi. Utaomba chuo kikuu au hivi vya vocational? Unaweza nisaidia baadhi ya vyuo na course nazoweza kuomba inbox? Maana hapa naona roho za kwa nini zimetawala uzi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…