Una maelezo yoyote au hujui chochote na hupendi kuona mwenzako anafanikiwa.
Connection ipi? Sio roho mbaya ila wabongo nao ni mtihani ukimkaribisha wakati anasoma ramani ili ajichanganye kimaisha.diaspora people kama hawaoni uzi vile, roho mbaya tu shenz! Toeni connection kwa mwamba!
Changamka, hakuna atakayekuletea ulaji bila ya wewe kuchacharika.Nimekusoma kiongozi. Asante sana
DuhSio kweli. Hiyo ni bajeti ya vibopa wa huko. Acha kuikuza US kiasi hicho.
Acha aje ajionee, baada ya muda ata-cope mazingira, hatakumbuka kurudi kwao tena.Inatosha ku:
Ukijipanga:
1. Tafuta chuo cha mchongo.
2. Kupata visa.
3. Nauli....
Ukifika huko: Mapambano yako counts.....
1. Ndoa fake kupata green card $3500.
2. Usizarau kazi, chinja hata Kuku....
3. Usiendekeze starehe....
Swali: Kwa nini usumbuke kwenda Marekani au Canada? Kuna ka upweke na maisha siyo mepesi......
Kila la heri.
🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 Imebidi tu nichekeUsiende huko Urusi inampango wa kuzifumua hizo Nchi
Mmojawapo wewe una roho mbaya. Mimi nilianzia maisha Iowa kama 2 years nikahamia kwa wajanja zaidi wa ulimwengu, mitaa karibu ya skid row down town.Watanzania ni watu wenye roho mbaya sana. Ndio maana tupo wachache diaspora. Walobahatika kwenda wanataka wabaki kama mashujaa kuja kusema wabongo tumelala hatuchangamkii fursa za nje. West Africa wapo vizuri kwenye kuinuana.
Kuna upweke zaidi ya Bongo weekend wenzako wako beach Kidimbwi wewe hata pesa ya bundle huna?Hivi upweke upo kweli maana nalisikia Sana hili me nilijua Wana enjoy life tu
Noted Mkuu 👍Comment yako ni ya 60, umesoma comments za juu?
Unataka watoe connection gani zaidi ya comments 59 zilizopita?
Hapa JF Kuna nyuzi zaidi ya 100 zinazojadili jinsi ya kwenda nje a quick search angepata majibu yote na bado watu wamechangia hapa. Unataka connection gani zaidi? Unataka diaspora wawatafutie Hadi passport au?
EBM anatoa free knowledge on YouTube na bloggers wengine jinsi ya kwenda nje, hiyo sio connection?
Kimsingi kwenda nje is as easy as ABC. Nilienda bila connection yeyote ile maelezo yote yapo kwenye websites za nchi husika na bado watu tunachangia mawazo yetu, bado mnalalamika. Unataka diaspora wakupe hela kabisa au connection gani?
Wabongo punguzeni kulalamika kiboya maisha yako ni jukumu lako, kusaidiana kupo ila sio wajibu.
Sawa MkuuConnection ipi? Sio roho mbaya ila wabongo nao ni mtihani ukimkaribisha wakati anasoma ramani ili ajichanganye kimaisha.
Utaletewa kesi mpaka utajuta za makosa ya kuvunja sheria za nchi kwa mgeni wako mbongo (ingawa sio wote vimeo).
Sent from my CPH2127 using JamiiForums mobile app
Haiwezekani uondoke Tanzania wakati tulikubaliana kuwa namba tutaisoma wote 🥹