Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndani ya mwezi? Hahahaha!Wadau, salaaam?
Nina 30m, nataka kuingiza katika biashara ambayo itanirudishia hiyo pesa ndani ya mwezi na kunipata faida juu.
Ushauri pls..
Kama hio ndio investment yako ya kwanza kubwa.. haijalishi una milion 30 au million 100. Most likely utaipoteza tu. Business success ni zaidi ya kuwa na mtaji. Na pia ww uko passionate na kitu gani? Utanunua coaster.. na utapata hasara tu. Kujenga.. haitoshi.Wadau, salaaam?
Nina 30m, nataka kuingiza katika biashara ambayo itanirudishia hiyo pesa ndani ya mwezi na kunipata faida juu.
Ushauri pls..
Ndani ya mwezi ni kuigawa mafungu 30! Ingiza 1M kwenye account ya 1XBet na uhakikishe kila siku una odds 2.3 katika mchezo wowote ule!Wadau, salaaam?
Nina 30m, nataka kuingiza katika biashara ambayo itanirudishia hiyo pesa ndani ya mwezi na kunipata faida juu.
Ushauri pls..
Tumia milion 2 ufanye biashara ndogo ya chakula.. halafu uone kama itakuingizia faida yeyote. Usiewekeze yote.. na hata nusu usiwekeze. Wekeza maximum 5 million kwanza. Utapata hasara na utajifunzaWadau, salaaam?
Nina 30m, nataka kuingiza katika biashara ambayo itanirudishia hiyo pesa ndani ya mwezi na kunipata faida juu.
Ushauri pls..
My withdraw kisanga mpaka benkNdani ya mwezi ni kuigawa mafungu 30! Ingiza 1M kwenye account ya 1XBet na uhakikishe kila siku una odds 2.3 katika mchezo wowote ule!
Ukiweza ku maintain odds hizo kwa siku 30 utakuwa umeshafikia lengo tayari!
Ku withdraw unatoa kwa wakalaMy withdraw kisanga mpaka benk
Anzisha m pesa tigo pesa halopesa na airtel money usaidie serikali kukusanya makato [emoji23][emoji23][emoji23]
Point wewe puuuza hii haijawahi kupoteza mtaji
Chukua hizo hela,nenda benki kuu kanunue hati fungani,utapata faida ya uhakika na hela zako zitakuwa salamaWadau, salaaam?
Nina 30m, nataka kuingiza katika biashara ambayo itanirudishia hiyo pesa ndani ya mwezi na kunipata faida juu.
Ushauri pls..
Acha utani mzee, unataka niozee ndani??Ndani ya mwezi? Hahahaha!
Kauze madawa ya kulevya.
Ok, kwa hiyo nisi invest popote?Kama hio ndio investment yako ya kwanza kubwa.. haijalishi una milion 30 au million 100. Most likely utaipoteza tu. Business success ni zaidi ya kuwa na mtaji. Na pia ww uko passionate na kitu gani? Utanunua coaster.. na utapata hasara tu. Kujenga.. haitoshi.
Serious chief? Nipe mwanga, hata ikibidi ni-pm.Kauze majeneza wiki 2 hela imerudi na faida 500%