Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yeah.. If things work out. It is a gamble, you may lose it all too. Ajiandae kisaikolojia akifanya ivyo.Higher risk higher return....ishike kwanza hyo.
Ndio maana nimempa jibu jepesiUna amini anazo au mtu kaota usiku anazo halafu asubuhi ana post?
HahahaNdio maana nimempa jibu jepesi
Hati fungani za serikali hazipatikani kwa utaratibu huo mheshimiwaChukua hizo hela,nenda benki kuu kanunue hati fungani,utapata faida ya uhakika na hela zako zitakuwa salama
Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
Unawauzia watu wanaotaka kula mbususu,tena nenda kafungulie Dom utawapata maboss karibia wote wakati wa vikao.Mmmmh how does this work?
Ana taka kuDouble 30 M tumpe odds 2 tu huyu lakini awe na Moyo wa kustake iyo 30M yote ili apate 60MNdani ya mwezi ni kuigawa mafungu 30! Ingiza 1M kwenye account ya 1XBet na uhakikishe kila siku una odds 2.3 katika mchezo wowote ule!
Ukiweza ku maintain odds hizo kwa siku 30 utakuwa umeshafikia lengo tayari!
Unapishana na pesa..!Hii ni business idea ya kigaidi
Sasa hapi pesa unakuwa.unaipataje? Ama kwa kila malipo wa dem anaenunuliwa kuna % yakoUnapishana na pesa..!
Unauliza makofi polisi.?Sasa hapi pesa unakuwa.unaipataje? Ama kwa kila malipo wa dem anaenunuliwa kuna % yako
Mkuu km hii hapa kwa haraka haraka kwa makadirio yako itakua imekula km kiasi ganiUnunue Kiwanja na Kisha Ujenge Nyumba ya Maana Kwa Mtaji wa Milioni 30 Tanzania ya leo? Usimdanganye ndugu Aisee.
Wadau, salaaam?
Nina 30m, nataka kuingiza katika biashara ambayo itanirudishia hiyo pesa ndani ya mwezi na kunipata faida juu.
Ushauri pls..
Kwa haraka haraka hapo ni kama 18 million hivi kuijenga. Huyo mtu ana shida tu na anauza bila kujali faida.Mkuu km hii hapa kwa haraka haraka kwa makadirio yako itakua imekula km kiasi ganiView attachment 1890856
Tamasha la kitu gan sasaFanya tamasha
Unaweza kufuga ndege wa aina yoyote ile🐦🦜🕊️🦢🦩🦃🦚🦅🐓🐔, ila siyo kunguru 🐧 au Bundi 🦉Unauliza makofi polisi.?
Ww ndio unakuwa unapokea malipo yote hao machangu unawalipa kwa mishahara ya serikali kutokana na utendaji kazi.
Unawapa malazi ,vipozi na chakula,kazi ni moja tu kuuza mbususu..!
nakushauri fanya kitu icho icho ambacho kimefanya upate iyo hela.Wadau, salaaam?
Nina 30m, nataka kuingiza katika biashara ambayo itanirudishia hiyo pesa ndani ya mwezi na kunipata faida juu.
Ushauri pls..