Nina Mil 30, nifanye biashara gani kurudisha pesa na kupata faida ndani ya mwezi?

Nina Mil 30, nifanye biashara gani kurudisha pesa na kupata faida ndani ya mwezi?

Ndani ya mwezi ni kuigawa mafungu 30! Ingiza 1M kwenye account ya 1XBet na uhakikishe kila siku una odds 2.3 katika mchezo wowote ule!

Ukiweza ku maintain odds hizo kwa siku 30 utakuwa umeshafikia lengo tayari!
Ana taka kuDouble 30 M tumpe odds 2 tu huyu lakini awe na Moyo wa kustake iyo 30M yote ili apate 60M
 
Kanunue viwanja viwili sehemu potential kama Goba Kulangwa.. hapo kwa 30m unapata viwili. Baada ya miezi miwili hapo unakula 60 safi.
 
Sasa hapi pesa unakuwa.unaipataje? Ama kwa kila malipo wa dem anaenunuliwa kuna % yako
Unauliza makofi polisi.?
Ww ndio unakuwa unapokea malipo yote hao machangu unawalipa kwa mishahara ya serikali kutokana na utendaji kazi.
Unawapa malazi ,vipozi na chakula,kazi ni moja tu kuuza mbususu..!
 
Ununue Kiwanja na Kisha Ujenge Nyumba ya Maana Kwa Mtaji wa Milioni 30 Tanzania ya leo? Usimdanganye ndugu Aisee.
Mkuu km hii hapa kwa haraka haraka kwa makadirio yako itakua imekula km kiasi gani
Screenshot_20210813-155418.jpg
 
Kanunue goverment bonds hukosi hata tuvilaki kadhaa inategemea na rate kwa mwezi huo mmoja utakayopewa na BOT
 
Wadau, salaaam?

Nina 30m, nataka kuingiza katika biashara ambayo itanirudishia hiyo pesa ndani ya mwezi na kunipata faida juu.

Ushauri pls..
Mkuu km hii hapa kwa haraka haraka kwa makadirio yako itakua imekula km kiasi ganiView attachment 1890856
Kwa haraka haraka hapo ni kama 18 million hivi kuijenga. Huyo mtu ana shida tu na anauza bila kujali faida.
Na hapo bado kabisa. Kuna ukuta wa fensi. Shutters za madirisha. Shutters za milango. Plumbing. Wiring. Boards na mbao za ceiling nimeona hajafanya. Floor tiles. Majiko na mabafu kuweka fixtures kama toilets, Sinks. Heaters nk. Kufanya system ya maji safi. Mfano tenki la maji nk. Na mengineyo. Jipsam boards za nyumba ya 400sq meters zinahitajika 16x8=128. Kwa shs 15,000 kila moja ni almost 2 million. Bado ufundi, jipsam powders. Tapes. Paint nk. Mbao sa drafting. Kwa hio ceiling tu hapo sio chini ya 3.5 million.
 
Haraka haraka utapoteza hela,ni bora uache tu hiyo pesa inusurike,kuna machimbo ya migodi midogo kuna fursa nyingi sana za chapchap kufanya biashara kama una mtaji wa kiasi hicho,ila kwasabu hujui mambo ya huko,ukiingiza hela itazama tu.
 
Unauliza makofi polisi.?
Ww ndio unakuwa unapokea malipo yote hao machangu unawalipa kwa mishahara ya serikali kutokana na utendaji kazi.
Unawapa malazi ,vipozi na chakula,kazi ni moja tu kuuza mbususu..!
Unaweza kufuga ndege wa aina yoyote ile🐦🦜🕊️🦢🦩🦃🦚🦅🐓🐔, ila siyo kunguru 🐧 au Bundi 🦉
 
Wadau, salaaam?

Nina 30m, nataka kuingiza katika biashara ambayo itanirudishia hiyo pesa ndani ya mwezi na kunipata faida juu.

Ushauri pls..
nakushauri fanya kitu icho icho ambacho kimefanya upate iyo hela.
 
Back
Top Bottom