- Thread starter
- #21
Kanisa siwezi kupata faida ndani ya mwezi chiefFungua kanisa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kanisa siwezi kupata faida ndani ya mwezi chiefFungua kanisa.
Sina knowledge ya betting mkuuNdani ya mwezi ni kuigawa mafungu 30! Ingiza 1M kwenye account ya 1XBet na uhakikishe kila siku una odds 2.3 katika mchezo wowote ule!
Ukiweza ku maintain odds hizo kwa siku 30 utakuwa umeshafikia lengo tayari!
Ndio hivyo chief. Ila tunapambana tu..Hizi comments za humu mnatukatisha tamaa tunaotaka kurudi hme Tz kuja kuanza maisha na mitaji yetu, inaonyesha bado Tz life ni ngumu sana
Wazo zuri ila naona linahitaji miezi 6 hadi mwaka ndio uuze na kupata faida. Mimi nataka faida ndani ya mwezi mkuu..Nenda mbagala au cyanika,nunua uwanja jenga mjengo wako kwa bajet yako hiyo ya 30m utatoa kitu kikali sana,zingatia finishing iwe kali sana,kwenye tofali usiwaze unachukua hata za 700 au
800...ardhi ya maeneo hayo inaruhusu hata usipoweka mkanda wa chini,utapiga linta tu tena kokoto ubuyu,hela km ipo ndani ya huo mwezi mpaka umeme unapata kikubwa nguzo iwe jirani...maji unachimba kisima cha mkono tu mita 10 maeneo hayo unapata maji...ukiitia sokoni huwezi kosa chini ya 7m faida
N.b(zingatia sana finishing)
AiseeeeAnzisha m pesa tigo pesa halopesa na airtel money usaidie serikali kukusanya makato [emoji23][emoji23][emoji23]
Point wewe puuuza hii haijawahi kupoteza mtaji
Hii inatumia muda gani?Chukua hizo hela,nenda benki kuu kanunue hati fungani,utapata faida ya uhakika na hela zako zitakuwa salama
Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
Mmmmh how does this work?Tafuta dada poa 30 fungua danguro baada ya mwezi utakuwa na 45M.
Trust me.
Mkuu hili naona nitarudisha pesa baada ya miaka...Kanunue mashamba bagamoyo ulime hutojuta
Chukua hizo hela,nenda benki kuu kanunue hati fungani,utapata faida ya uhakika na hela zako zitakuwa salama
Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
Wadau, salaaam?
Nina 30m, nataka kuingiza katika biashara ambayo itanirudishia hiyo pesa ndani ya mwezi na kunipata faida juu.
Ushauri pls..
Aisee, wewe binafsi ulikuwa unafikiria biashara gani kabla kuileta mada hapa.?Wazo zuri ila naona linahitaji miezi 6 hadi mwaka ndio uuze na kupata faida. Mimi nataka faida ndani ya mwezi mkuu..
Hii ni business idea ya kigaidiTafuta dada poa 30 fungua danguro baada ya mwezi utakuwa na 45M.
Trust me.
Kwani hizo ulizipataje?Wadau, salaaam?
Nina 30m, nataka kuingiza katika biashara ambayo itanirudishia hiyo pesa ndani ya mwezi na kunipata faida juu.
Ushauri pls..
Una amini anazo au mtu kaota usiku anazo halafu asubuhi ana post?Ndani ya mwezi ni kuigawa mafungu 30! Ingiza 1M kwenye account ya 1XBet na uhakikishe kila siku una odds 2.3 katika mchezo wowote ule!
Ukiweza ku maintain odds hizo kwa siku 30 utakuwa umeshafikia lengo tayari!
Ununue Kiwanja na Kisha Ujenge Nyumba ya Maana Kwa Mtaji wa Milioni 30 Tanzania ya leo? Usimdanganye ndugu Aisee.Nenda mbagala au cyanika,nunua uwanja jenga mjengo wako kwa bajet yako hiyo ya 30m utatoa kitu kikali sana,zingatia finishing iwe kali sana,kwenye tofali usiwaze unachukua hata za 700 au
800...ardhi ya maeneo hayo inaruhusu hata usipoweka mkanda wa chini,utapiga linta tu tena kokoto ubuyu,hela km ipo ndani ya huo mwezi mpaka umeme unapata kikubwa nguzo iwe jirani...maji unachimba kisima cha mkono tu mita 10 maeneo hayo unapata maji...ukiitia sokoni huwezi kosa chini ya 7m faida
N.b(zingatia sana finishing)