Holly Star
JF-Expert Member
- Aug 25, 2018
- 4,327
- 8,142
- Thread starter
- #21
HahahaaaaRamani kubwa hivi kwa 10m ? hebu tupe mchanganuo kidogo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HahahaaaaRamani kubwa hivi kwa 10m ? hebu tupe mchanganuo kidogo
nasubiriHuamini mkuu nimeijenga hadi kupaua tena bati za rangi migingo mipana wanapaua jumamos. Nitaleta full mchanganuo hapa
Huamini mkuu nimeijenga hadi kupaua tena bati za rangi migingo mipana wanapaua jumamos. Nitaleta full mchanganuo hapa
Utamaliza ila haipauiRaman hii hapaView attachment 2312389
Jumapili namaliza kupaua nitatumaTupia na picha tujifunze
Million 10 toka msingi hadi kupau? Material plus ufundi?Jumapili namaliza kupaua nitatuma
kwa hela aliyotumia inawezekana kabisa sbb hiyo nyumba ni ndogo sana hajafika hata sqm 80. Lkn siku zooote kujenga boma sio tatizo saaana ila finishing ndugu yangu ni mziki kutegemea na aina ya finishing unayotaka. mf. unaweza weka tiles kwa tshs 5M lkn nyumba hiyo hiyo ukitaka zile za ukweli inaweza cheza mpaka tshs 16MRamani kubwa hivi kwa 10m ? hebu tupe mchanganuo kidogo
Maajabu haya,yaani hiyo ramani ndo umejenga Boma hadi kupaua kwa mil.10??????Wakuu mil 10 imejenga nyumba nimemaliza hadi kupaua. Baada ya hapo sasa natakiwa kujipanga kumalizia. Nasakanya 10mil zingine hopeful zitamaliza finishing
Huamini mkuu nimeijenga hadi kupaua tena bati za rangi migingo mipana wanapaua jumamos. Nitaleta full mchanganuo hapa
Mbele ni huku chiniMkuu hii raman mbele wapi nyuma wapi tho’ nimeipenda...
Kwa hii Ramani yako 10m kwa rukwa unaishi KABISA,japo finishing yake haitakuwa nzito kivile, Raman simple sanaRaman hii hapaView attachment 2312389
Hii house kuna sehemu,inajengwa hapa rukwa niliitamani sana, ila sijapata Raman yake, nimeitamani kwa sababu ni simple sana kuanzia kupandisha boma na kuezeka..!Picha yake hii hapaView attachment 2316456
Uko Rukwa sehemu gani?Hii house kuna sehemu,inajengwa hapa rukwa niliitamani sana, ila sijapata Raman yake, nimeitamani kwa sababu ni simple sana kuanzia kupandisha boma na kuezeka..! View attachment 2316784
Manispaa, nyumbani hiyo ni ya serikali,inajengwa maeneo ya mahakama ya Kanda, au anapoishi rpc kwa juu yake au pembeni ya Polisi mesi..!Uko Rukwa sehemu gani?
Ohooh ok! Mm nipo kalamboManispaa, nyumbani hiyo ni ya serikali,inajengwa maeneo ya mahakama ya Kanda, au anapoishi rpc kwa juu yake au pembeni ya Polisi mesi..!