Holly Star
JF-Expert Member
- Aug 25, 2018
- 4,327
- 8,142
- Thread starter
- #61
Ndogo ni sebule tuHii inaonesha vyumba ni vidogo sana, ee!!!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndogo ni sebule tuHii inaonesha vyumba ni vidogo sana, ee!!!!
Lete bei mkuuNaomba nikufanyie wiring ya Umeme nzuri ya kisasa kwa gharama nafuu 0767780909.. had wewe mwenyewe utafrahi
Weka wazi nasi tuvutiweNaomba nikufanyie wiring ya Umeme nzuri ya kisasa kwa gharama nafuu 0767780909.. had wewe mwenyewe utafrahi
Ok.. itakua hvLete pia makadirio
Kwa hiyo ramani yako makadirio yatakua hiviLete pia makadiri
Hii bei na material inclusive ama ni ufundi tu mkuu. Ungenifafanulia hapoOk.. itakua hv
Kulaza conduit ukutani 350,000
Wiring 1,100,000
Total Pamoja na ufundi 1,450,000
nb: wiring itakua standard ya kisasa material kuanzia wire, MainSwitch, earth rode, nk... vitakua Ni original.. so hapo itabaki installation ya sockets, switch, taa, na vifaa vingine vya umeme utavohitaji kufungiwa kwenye nyumba yako Kama heater nk...
Vyumba vingapi hii?Kesho nasign out mil 10 imekataView attachment 2318421
Kwa hiyo nyumba ya vyumba viwili naweza jenga kwa mil 10?Million 10 ni hela nyingi sana kwa hatua za awali za ujenzi.
Ni ndogo kwa kujengea ghorofa ila ni kubwa sana kwa nyumba ya vyumba viwili tu.
Nyumba imeisha hiyo kilichobaki ni kupiga grill na kuanza kuishiKesho nasign out mil 10 imekataView attachment 2318421
Bati za rangi,migongo mipana,...kampuni gani?Huamini mkuu nimeijenga hadi kupaua tena bati za rangi migingo mipana wanapaua jumamos. Nitaleta full mchanganuo hapa
Kampuni gani bossIshu ni kufunika mvua isilowanishe ndani ukiwa na hela nyingi ndo unafanya choicese. I went for the cheapest product nlinunua kwa 26000 kwa pc
Nyumba imeisha hiyo kilichobaki ni kupiga grill na kuanza kuishi
Katumia topeRamani kubwa hivi kwa 10m ? hebu tupe mchanganuo kidogo
Wanadmau huwezi wazuia kunena.[emoji28][emoji28]kuna wenye gelous watasema unaishi kwenye pagala