witnessj
JF-Expert Member
- Mar 22, 2015
- 28,704
- 47,260
HaaaahaaaaaSoma vizuri sijaomba ramani bure mkuu. Kujenga ni maendeleo mtu anapofanya maendeleo ni dhahiri wewe ndo una roho mbaya
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HaaaahaaaaaSoma vizuri sijaomba ramani bure mkuu. Kujenga ni maendeleo mtu anapofanya maendeleo ni dhahiri wewe ndo una roho mbaya
Mkuu tupe updateIshu ni kufunika mvua isilowanishe ndani ukiwa na hela nyingi ndo unafanya choicese. I went for the cheapest product nlinunua kwa 26000 kwa pc
Unajenga vizuri tu japo kuna mengine itabidi uyafanye mwenyewe.Kwa hiyo nyumba ya vyumba viwili naweza jenga kwa mil 10?
Kama yapi mzee? Kubeba zege?Unajenga vizuri tu japo kuna mengine itabidi uyafanye mwenyewe.
Kusogeza maji, kuchimba shimo la choo, kufuata vifaa mwenyewe.Kama yapi mzee? Kubeba zege?
Shimo la choo sii kuna haya siku hizi wanasema huchimbi sanaKusogeza maji, kuchimba shimo la choo, kufuata vifaa mwenyewe.
Punguwani huyo, unapoteza muda wako tu.Kama yapi mzee? Kubeba zege?
Ingia king utakuja kutupa mrejesho hapa, naandika haya nikuwa ni mtu niliyeiishi real estate Tena low affordable houses.Kwa hiyo nyumba ya vyumba viwili naweza jenga kwa mil 10?
Hiyo mil 25 ni nyumba ya vyumba vingapi?Ingia king utakuja kutupa mrejesho hapa, naandika haya nikuwa ni mtu niliyeiishi real estate Tena low affordable houses.
Ukitaka nyumba standard tafuta million 25 au jenga kidogo kidogo kila ukipata pesa, ila kama shida yako ni anuwani ya makazi hata million 5 unajenga nyumba.
KimojaHiyo mil 25 ni nyumba ya vyumba vingapi?
DuhPunguwani huyo, unapoteza muda wako tu.
Na material inclusive..Hii bei na material inclusive ama ni ufundi tu mkuu. Ungenifafanulia hapo
Nipo safarini dar mkuu naondoka jumamos jion kurudi mwanza jumapili kinaumana finishing nina 5mil nafikiri nitamaliza kila kituMkuu type update
Hakuna nlichofanya mwenyewe nyumba imejengwa kwa ratio kali sana kuna renta 2 ya msingi na ya juuUnajenga vizuri tu japo kuna mengine itabidi uyafanye mwenyewe.
Maji nlikua nanunua boza kila siku kule maji yanatoka kwa mgao maramoja kwa wikiKusogeza maji, kuchimba shimo la choo, kufuata vifaa mwenyewe.
Mkuu tunaomba mchanganuo..Kama hutojaliHuamini mkuu nimeijenga hadi kupaua tena bati za rangi migingo mipana wanapaua jumamos. Nitaleta full mchanganuo hapa
Unataka vyumba vikubwa umekuwa Tembo!Hii inaonesha vyumba ni vidogo sana, ee!!!!
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23]Ingia king utakuja kutupa mrejesho hapa, naandika haya nikuwa ni mtu niliyeiishi real estate Tena low affordable houses.
Ukitaka nyumba standard tafuta million 25 au jenga kidogo kidogo kila ukipata pesa, ila kama shida yako ni anuwani ya makazi hata million 5 unajenga nyumba.
Hahahahahahahaha [emoji38][emoji38][emoji1787][emoji23][emoji23]Punguwani huyo, unapoteza muda wako tu.