Holly Star
JF-Expert Member
- Aug 25, 2018
- 4,327
- 8,142
- Thread starter
- #41
Kesho nasign out mil 10 imekata
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
umeupiga mwingi mzee, mi nna karamani ka room 2 na sebule sqm 88 nawaza namna ya kukaanzaKesho nasign out mil 10 imekataView attachment 2318421
Bora wewe unatutia moyo mana wengine wanatuogopesha.Kesho nasign out mil 10 imekataView attachment 2318421
Hapa Ni Mitaa gani?Kesho nasign out mil 10 imekataView attachment 2318421
Nitaleta mchanganuo wote soon nilikuwa safari bukoba ndo nipo ferry hapa busisi narudi mwanza. But niligonga mtu sengerema bana daaa so ninamsala polisiBora wewe unatutia moyo mana wengine wanatuogopesha.
Sasa ukiwa una hela ya mawazo kama mimi utaishia kujisemea bila kiasi hiki siwezi kumbe inawezekana.
Ubarikiwe Mkuu.
Ila tunausubiri mchanganua nadhani utakuwa msaada kwa wengi japo tunatoka sehemu tofauti na gharama zinatofautiana ila itatupa mwongozo.
Haya mkuuHiyo hela ni ndogo Bora kanywee bia
Pole sanaNitaleta mchanganuo wote soon nilikuwa safari bukoba ndo nipo ferry hapa busisi narudi mwanza. But niligonga mtu sengerema bana daaa so ninamsala polisi
Mkuu Tunaomba huo mchanganuoWe endelea kumwagilia moyo. Ila fainali uzeeni
Safi sanaKesho nasign out mil 10 imekataView attachment 2318421
Million 10 ni hela nyingi sana kwa hatua za awali za ujenzi.Maajabu haya,yaani hiyo ramani ndo umejenga Boma hadi kupaua kwa mil.10??????
Zimeingia bati ngapi?
Kila nyumba imejengwa kwa standards hizo hapa Tanzania??10M haitoshi mkuu, fanya ifike 20M.
Msingi(Standand)+ Fundi= 3M
Boma hadi kwenye lenta+ Fundi= 3M.
Hapo bado Mbao+ Bati+Fundi[emoji1787][emoji1787]
nikiona mbao tu namwazia dumuziKesho nasign out mil 10 imekataView attachment 2318421
Hii inaonesha vyumba ni vidogo sana, ee!!!!Kesho nasign out mil 10 imekataView attachment 2318421
Nipo dar kikazi mkuu nikirudi nitakutsftsHolly Star niko hapa chadema ukiwa hewani nitasogea asee