Binadamu wa sasa wana mbwembwe nyingi sana. Nyumba ni kitu ambacho hupaswi kujitutumua sana. Kujilisha upepo tuuUnataka vyumba vikubwa umekuwa Tembo!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Binadamu wa sasa wana mbwembwe nyingi sana. Nyumba ni kitu ambacho hupaswi kujitutumua sana. Kujilisha upepo tuuUnataka vyumba vikubwa umekuwa Tembo!
Actually ni kanyumba ka kupangisha nishaamua nitaishi kwenye nyumba ndogndogo za kupangisha yangu nitajenga baadae sana. Ukijenga nyumba ya kuoshi sasa hivi ni utaahira. Nimeamua kuwekeza kwenye nyumba and kipato changu sio kikubwaBinadamu wa sasa wana mbwembwe nyingi sana. Nyumba ni kitu ambacho hupaswi kujitutumua sana. Kujilisha upepo tuu
Unaweza nipatia ramani ya hii pleaseHadi sasa ukiondoa hii nyumba ninazo zingine 5 zipo zimebakia kupauliwa ila ni za kawaida na ndogo appartment tu room na sebule ila mita 4.5 room mita 5 sebule na jiko hapohapo1
Mwanza hiyo hiyo?Hadi sasa ukiondoa hii nyumba ninazo zingine 5 zipo zimebakia kupauliwa ila ni za kawaida na ndogo appartment tu room na sebule ila mita 4.5 room mita 5 sebule na jiko hapohapo1
Chadema kwa mangi ndo huwa naingilia napanda juuHolly Star niko hapa chadema ukiwa hewani nitasogea asee
Vyumba ni 3.5m ila master ina 4.5Hii inaonesha vyumba ni vidogo sana, ee!!!!
3 vyote self haina dinning na public toiVyumba vingapi hii?
3 vyote self haina dinning na public toi
Kina kipindi niliacha kusndikamkuu mbona kuhuleta mchanganuo toka mwaka jana nazan nyumb imeisha tayar
Online upo ila mchanguo hadi leo hola,ama kweli za kuambiwa changanyaka na zako[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kina kipindi niliacha kusndika
Basi wakubws nitauleta kesho naona mmenikomalia sanaOnline upo ila mchanguo hadi leo hola,ama kweli za kuambiwa changanyaka na zako[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Fanya hivo boss,uliahidi.Basi wakubws nitauleta kesho naona mmenikomalia sana
We jamaa mimi mpaka nilisubscribe huu uzi kusubiri mchanganuo lakini ukapotea.Basi wakubws nitauleta kesho naona mmenikomalia sana
naona kesho ishapita au ni kesho ten hahhahaBasi wakubws nitauleta kesho naona mmenikomalia sana
We jamaa au umezama kwenye submarine titan??Basi wakubws nitauleta kesho naona mmenikomalia sana
huyu jamaa muongo muongo sana.Basi wakubws nitauleta kesho naona mmenikomalia sana