klinbritetz
Senior Member
- Sep 23, 2020
- 160
- 125
VUNJA BEI: KUANDAA HESABU ZA KODI za makampuni; USAJILI WA MAKAMPUNI dakika za mwisho hizi..!!
0788104228
0788104228
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu fanya biashara ya kununua na kuuza mazao.Asante sana ndugu naisi mtaji wangu ni mdogo kuanzisha kitu kikubwa kama hicho. Au we unasemaje?
Hii biashara n nzur Ila kimbembe n ukifkaMkuu fanya biashara ya kununua na kuuza mazao.
tenga.milioni 10 mpaka 20 tu nakwambia huo mtaji utakupeleka mbali sana. Hii biashara ukubali kabisa kuishi nje ya Dar kwa muda.
kumbuka haitakiwi kuweka hela yoote kwenye biashara. Ikitokea loss usije ukaumia mazima.
biashara ya mazao imewatoa wengi sana kwa muda mfupi sana.
Zipo nyingine hazihitaji Dalali.Hii biashara n nzur Ila kimbembe n ukifka
Sokon kuna ule mchezo bila dalali
Hauwez kuuza yani
Kero yake n hii tu
Anzisha ZAHANATI mkuu.,Habari zenu ndugu zangu wana JF I hope wote mko salama kwa majina naitwa Fadhili. I think this might sound stupid kwa baadhi ya watu lakini point ni kwamba ninao mtaji wa shillingi million 100 lakini sijuwi ni business gani ambayo itakuwa na revenue nzuri. najuwa kuna watu wengi ambao wana business ideas lakini mtaji ikawa ndo kikwazo. kama una wazo lolote la kibiashara na upo dar es salam unaweza niandikia ama una weza acha namba yako ya what'sup mimi nitakupigia. mtaji ni 100 million tsh. Karibu kwa Business idea
N.B: kwa atakae( watakao) bahatika ku leta wazo nduri watakuwa wamepata ajira moja kwa moja. sichagui jinsia. i'm very serious about this. karibuni
Mzeya mie nina kiwanja changu prome location vipi tuingie ubia tujenge apaftments tule hela tuuHabari zenu ndugu zangu wana JF I hope wote mko salama kwa majina naitwa Fadhili. I think this might sound stupid kwa baadhi ya watu lakini point ni kwamba ninao mtaji wa shillingi million 100 lakini sijuwi ni business gani ambayo itakuwa na revenue nzuri. najuwa kuna watu wengi ambao wana business ideas lakini mtaji ikawa ndo kikwazo. kama una wazo lolote la kibiashara na upo dar es salam unaweza niandikia ama una weza acha namba yako ya what'sup mimi nitakupigia. mtaji ni 100 million tsh. Karibu kwa Business idea
N.B: kwa atakae( watakao) bahatika ku leta wazo nduri watakuwa wamepata ajira moja kwa moja. sichagui jinsia. i'm very serious about this. karibuni
mkuu hii safi sana, ila tafuta dereva mwenye akili timamu alafu mzoefu, Inshallah utapata.Chukua eicha ya mbagala utege pale kawe kwa mwamposa.
yani nyie ni Auditors au imekaaje hiiVUNJA BEI: KUANDAA HESABU ZA KODI za makampuni; USAJILI WA MAKAMPUNI dakika za mwisho hizi..!!
0788104228
kwaiyo mkuu unataka uachane na kusajili laini za simuNjo uwekeze iringa.
1. Biashara ya hardware
2. Biashara ya spare
Nk.
Nicheki Kwa wasap 0747236497
Tunaweza andaa business plan nzuri na tukafikia malengo,
I have mental . But I miss cash.
Let me share my knowledge with you
Qnet nini hahaha0769335637 come on , ule raha mjini ,haihitaji mamilioni yote hayo ,inahitaji milioni 15-20 then utapiga zaidi ya hiyo 100 m after 1year
biashara huria, kipimo ni kaziyani nyie ni Auditors au imekaaje hii
hii ndiyo athari ya kila mwanafunzi kusoma habari za zwangedababiashara huria, kipimo ni kazi
U have mental🤣🤣🤣🤣🤣Njo uwekeze iringa.
1. Biashara ya hardware
2. Biashara ya spare
Nk.
Nicheki Kwa wasap 0747236497
Tunaweza andaa business plan nzuri na tukafikia malengo,
I have mental . But I miss cash.
Let me share my knowledge with you
Hiyo milionj 100 uliipataje?Habari zenu ndugu zangu wana JF I hope wote mko salama kwa majina naitwa Fadhili. I think this might sound stupid kwa baadhi ya watu lakini point ni kwamba ninao mtaji wa shillingi million 100 lakini sijuwi ni business gani ambayo itakuwa na revenue nzuri.
Najua kuna watu wengi ambao wana business ideas lakini mtaji ikawa ndo kikwazo kama una wazo lolote la kibiashara na upo Dar es salam unaweza niandikia ama una weza acha namba yako ya what'sup mimi nitakupigia. mtaji ni 100 million tsh. Karibu kwa Business idea
N.B: kwa atakae( watakao) bahatika ku leta wazo nduri watakuwa wamepata ajira moja kwa moja. sichagui jinsia. i'm very serious about this. karibuni
Dah mshikaji ana mental ? Shida hizi [emoji3][emoji3][emoji24]U have mental[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]