Nina milioni 100 naombeni wazo la biashara

Nina milioni 100 naombeni wazo la biashara

Habari zenu ndugu zangu wana JF I hope wote mko salama kwa majina naitwa Fadhili. I think this might sound stupid kwa baadhi ya watu lakini point ni kwamba ninao mtaji wa shillingi million 100 lakini sijuwi ni business gani ambayo itakuwa na revenue nzuri.

Najua kuna watu wengi ambao wana business ideas lakini mtaji ikawa ndo kikwazo kama una wazo lolote la kibiashara na upo Dar es salam unaweza niandikia ama una weza acha namba yako ya what'sup mimi nitakupigia. mtaji ni 100 million tsh. Karibu kwa Business idea

N.B: kwa atakae( watakao) bahatika ku leta wazo nduri watakuwa wamepata ajira moja kwa moja. sichagui jinsia. i'm very serious about this. karibuni
Ukiona mawazo huku tabu nenda dstv tizama kipindi cha lion's den alafu beba li idea anza kufanya kazi
 
Habari zenu ndugu zangu wana JF I hope wote mko salama kwa majina naitwa Fadhili. I think this might sound stupid kwa baadhi ya watu lakini point ni kwamba ninao mtaji wa shillingi million 100 lakini sijuwi ni business gani ambayo itakuwa na revenue nzuri.

Najua kuna watu wengi ambao wana business ideas lakini mtaji ikawa ndo kikwazo kama una wazo lolote la kibiashara na upo Dar es salam unaweza niandikia ama una weza acha namba yako ya what'sup mimi nitakupigia. mtaji ni 100 million tsh. Karibu kwa Business idea

N.B: kwa atakae( watakao) bahatika ku leta wazo nduri watakuwa wamepata ajira moja kwa moja. sichagui jinsia. i'm very serious about this. karibuni
Jenga Kanisa hiyo ndio biashara inayolipa kwa sasa.
 
Habari zenu ndugu zangu wana JF I hope wote mko salama kwa majina naitwa Fadhili. I think this might sound stupid kwa baadhi ya watu lakini point ni kwamba ninao mtaji wa shillingi million 100 lakini sijuwi ni business gani ambayo itakuwa na revenue nzuri.

Najua kuna watu wengi ambao wana business ideas lakini mtaji ikawa ndo kikwazo kama una wazo lolote la kibiashara na upo Dar es salam unaweza niandikia ama una weza acha namba yako ya what'sup mimi nitakupigia. mtaji ni 100 million tsh. Karibu kwa Business idea

N.B: kwa atakae( watakao) bahatika ku leta wazo nduri watakuwa wamepata ajira moja kwa moja. sichagui jinsia. i'm very serious about this. karibuni
Sasa hizo pesa wewe ulizipataje?, Vile ulivyozipata km ni kwa njia ya Biashara si ungeendelea na Biashara au shughuli hiyo?!!.
 
Habari zenu ndugu zangu wana JF I hope wote mko salama kwa majina naitwa Fadhili. I think this might sound stupid kwa baadhi ya watu lakini point ni kwamba ninao mtaji wa shillingi million 100 lakini sijuwi ni business gani ambayo itakuwa na revenue nzuri.

Najua kuna watu wengi ambao wana business ideas lakini mtaji ikawa ndo kikwazo kama una wazo lolote la kibiashara na upo Dar es salam unaweza niandikia ama una weza acha namba yako ya what'sup mimi nitakupigia. mtaji ni 100 million tsh. Karibu kwa Business idea

N.B: kwa atakae( watakao) bahatika ku leta wazo nduri watakuwa wamepata ajira moja kwa moja. sichagui jinsia. i'm very serious about this. karibuni
Kuna watu ni makoniman japo si kila mtu unaweza kumchukulia kama threat.
Ila my advice to you, "Dont make tail" for youre safeft dunia imebadilika..
Chukua ideas za wachangiaji kadri utakavyokuwa umevutiwa naye, make move,
"Do not make tail"
"Do not make tail"
"Do not make tail"

Log off.
 
Anzisha ZAHANATI mkuu.,
Kupitia hela yako hyo unaweza kuanzisha ZAHANATI kwa mtaji wa 50ml. Zahanat ya kisasa kabisa.Miezi mitano tu ushazoeleka ambapo utakua na uwezo wa kukusanya 15milion.Ukilipa wafanyakaz unabakiwa zako na 10mil.

Project anzisha kampuni ya clearing...Tafuta connection ujue sehem ya kupeleka mzigo wako.Mathalani Ngozi ya ng'ombe inanunulika sana uarabuni huko...
Hz ni biashara ambazo kwa mtaji ulio nao huchelewi kurudisha hela yako kwa mda mfup
mkuu una uzoefu wa jinsi ya kuanzisha clearing agent companies,mtaji ni kiasi gani na utaratibu wake ukoje
 
Asante sana ndugu naisi mtaji wangu ni mdogo kuanzisha kitu kikubwa kama hicho. Au we unasemaje?
Kwenye hii biashara hiyo pesa itaishia kwenye gharama ya kununua hiace 3 tu za kubebea wafanyakazi,bado hujanunua roli la kubebea wacheza mziki,bado hujakodi ofisi,bado mishahara ya wafanyakazi
 
Wekeza pesa yako kwenye nafaka mkuu inabidi ikughalimu utembelee mikoa tofauti hata minne uangalie Kati ya vitu hivi viwili mchele/mahindi them fanta survey na mashambani upate heka zako za kutosha uwe una kodi na kulima kazi yako itakua ni kulima uko au kununua mazao na kuja....

Kuuza dar na sehem tofaut tofaut hii biashara inawatoa watu wengi sana na inalipa biashara ya kilimo&nafaka haijawahi kumfelisha mtu kama ukipata soko zuri.
 
nmepita nmeon nikusaidie kutoa wazo mm nnauzoefu na vfaa vya simu japo sin mtaji ila vnalipa sana. na nzir kam from china to tz vioo na tach ni pesa nzur askuambie mtu mjini mafund weng cz hela ipo kila kiumbe hakikos cm kama hutojali ntafute tuwekez hapo nna idia nzur ktk hii busness ntafute 0693084050
 
Kwa Dar hapa biashara ni mbili tu ammbazo hazina stress kiivyo kwa upeo wangu

1.bar...kama unavyoona sasa hivi kila kona kuna bar nzur ambayo ukiweka mtaji wa 50m mpk 70m hii kuanzia matengenezo,kodi ya eneo na mtaji pamoja na matangazo ndan ya ya miez 3 pesa yako imesharud na faida juu

2.lodge hapa unaweza kukodi nyumba ila vizuri uwe na eneo lako maana lodge ikiwa sehemu nzur na parking ya kubwa wateja ni wengi ila mazingira yawe safi muda wote maana kuna watu wanakaa 1hr na kuondoka hicho chumba kimoja kinaweza kutumiwa hata mara 3 kwa siku ila muhimu ni usafi uwe na machine za kufulia na madawa ya kuoshea vyoo muda wote bei ya chumba iwe 30k kiwe na ac na tv ndan lodge uwe una uza vinywaj vya aina zote

nimewasilisha nakutakia kila la kheri ukifanikiwa usiache kunikumbuka[emoji119][emoji119]

habari yako ndugu nime soma kwa makini your message kwenye thread yangu naona hili wazo la lodge liko fresh sana. una mtu yoyote ambaye anafanya hii biashara? au ndugu wala rafiki? au mwenyewe una experience nayo? kama una experience kidogo hivi kwa mtaji wa 200M unaweza kamilisha kila kitu( ujenzi na kila kitu ndani?
 
Back
Top Bottom