mbu wa dengue
JF-Expert Member
- Jun 2, 2014
- 8,860
- 11,554
Biashara ya bar ni wachache wanaopata faida na hata hao wanaopata faida inakuwa sio ya kudumu.nime kuelewa boss wangu. kuna jamaa kaniambia biashara ya bar haina faida
Sijuwi wewe boss wangu una experience na hiyo biashara?
Sababu ni kwamba biashara ya bar inakwenda kwa kutegemea umaarufu na promotions za mara kwa mara.
Kwa mfano ukianzisha bar kwa miezi 6 au 12 ya mwanzo ukifanya promotions utawaona wateja wengi wanakuja na utavimba kichwa,lakini ikitokea mwingine kaanzisha bar mpya walevi wote wanakuhama na kwenda chimbo jipya unabaki peke yako