Nina milioni 100 naweza jenga motel yenye room 20, swimming pool , na vifaa vyake vyote?

Nina milioni 100 naweza jenga motel yenye room 20, swimming pool , na vifaa vyake vyote?

Kwa motel unaweza maana huwa zinajengwa kama darasa na kukatwa vyumba. Hizi mara nyingi huwa kando ya barabara kwaajili ya wasafiri na huwa na parking kubwa
 
Bwana mbere weng hum hata kibanda hawana,halaf jf sio sehem ya kuomba ushaur wa maendeleo,humu kuna watu masikin na wenye wivu wa ajab..si unaona comments zao?..100mil ni hela nying kwa ambao tunafaham hayo mambo na ambao tushajenga hzi nyumba,askutishe mtu,hvyo ulivyotaja unaweza vipunguza kwa idad ila lengo lako likatimia..i built 4 apartments za mteja wangu kwa 100mil ila not furnished.ila askukatishe mtu tamaa,nna mjengo wa 24mil ukiuona huwez amin,na bado nashusha mwingne,usiwaskie hawa wapumbav wa jf.maskin hawa wazee wa kukatisha watu tamaa
Na kwa kuongezea, hata hao wanaotaka tuwaone kama ni wajenzi au wenye taaluma ya ujenzi hawajawahi kujenga hata banda la kuku!!!

Inawezekana ni kweli wana moja ya taaluma zinazohusiana na ujenzi lakini wanazo kwenye makaratasi tu huku cost estimation zao zikiwa ni zile walizokuwa wanafanya vyuoni kwa kutumia complex projects zenye lots of administrative and logistic needs na hivyo kuongeza gharama ambazo private client hawezi kuwa nazo.

U
 
Na kwa kuongezea, hata hao wanaotaka tuwaone kama ni wajenzi au wenye taaluma ya ujenzi hawajawahi kujenga hata banda la kuku!!!

Inawezekana ni kweli wana moja ya taaluma zinazohusiana na ujenzi lakini wanazo kwenye makaratasi tu huku cost estimation zao zikiwa ni zile walizokuwa wanafanya vyuoni kwa kutumia complex projects zenye lots of administrative and logistic needs na hivyo kuongeza gharama ambazo private client hawezi kuwa nazo.

U
Mi pia nimejenga mkuu ninakoishi na nilisimamia mwenyewe na niliibiwa ibiwa mtu akiniambia 100ml haitoshi completely nashanga sana
 
nimejenga nyumba room 4 self ...imekula zaid ml 60...hyo 100 yako bora uwahi kula kuliko iliwe na mafundi
Inategemea mkuu mimi pia Nina nyumba na nimesimamamia mwenyewe wakati wa ujenzi
3room zote self
Publc Toilet
Jiko
Stoo
Fence kubwa na ni nyumba ya kisasa almost 40ml to 45. Na nilibaini kuibiwa sana na mafundi pamoja na kwamba nilisimamia kucha
 
Bwana mbere weng hum hata kibanda hawana,halaf jf sio sehem ya kuomba ushaur wa maendeleo,humu kuna watu masikin na wenye wivu wa ajab..si unaona comments zao?..100mil ni hela nying kwa ambao tunafaham hayo mambo na ambao tushajenga hzi nyumba,askutishe mtu,hvyo ulivyotaja unaweza vipunguza kwa idad ila lengo lako likatimia..i built 4 apartments za mteja wangu kwa 100mil ila not furnished.ila askukatishe mtu tamaa,nna mjengo wa 24mil ukiuona huwez amin,na bado nashusha mwingne,usiwaskie hawa wapumbav wa jf.maskin hawa wazee wa kukatisha watu tamaa
Una ushauri mzuri. Ila punguza kidogo kumdanganya jamaa.
 
Swimming pool pekeyake ni 50 mil Tshs
 
mbere

Cha kwanza kufanya Tafuta ramani yako au mwelezee mtu akucholee ramani ya iyo motel unayotaka

Pili mtafute engineer mpige hesabu ya matofali yanayotakiwa ....Jumla ya kujenga iyo motel unayotaka.. na ghalama ya mafundi na vibali vya ujenzi

Tatu.. Utakuwa umepata Jibu kama inatosha au..........................

Nne... Ata simple lodge unaweza jenga na Pesa itakayobaki ukafanyia mambo mengine

Tano: sio lazima iwe dar kuna sehemu kama iramba-singida.... wekeza sehemu ambayo unaweza ukatumia cost ndogo lakini unapiga hesabu iyo sehemu inaweza kuja kuwa kubwa kimaendeleo
Sio atafute injinia wapige hesabu .inabidi atafute Qs ndio wapige hesabu ya gharama za ujenzi wakati huo architect akiwa ameshaandaa michoro yote
 
Sijakuelewa mkuu wangu utahira wangu uko wapi hapo? Wewe ndo umeandika figure tofauti na yangu sasa sijui nani taahira
Mimi nitakuandalia design ya mchoro wa motel simple na landscaping kwa na pia nitakupigia gharama zote za ujenzi kuanzia msingi hadi finishing ili kuendana na budget yako ya mil 100.lakini swimming pool halitakuwepo .
Njoo pm au weka namba yako nikutafute
 
Back
Top Bottom