Nina Milioni 270 TShs, Nifanye Biashara Gani?

Nina Milioni 270 TShs, Nifanye Biashara Gani?

Acha kutuzingua wewe. Wenye pesa hawatangazagi kwenye mitandao.....

acha kuwa na mawzo ya kimasikini ukazani vitu haviwezekani hii jf kila mtu yuko huru kuomba ushauri wowote hata kampeni za uraisi watu wanapiga humu sembuse huyu dada kuomba ushauri,kama jf unadhan fb kwa wanuka mikojo soo tafuta sehemu nyingine.hawa watoto wa sekondari inabidi kuwapiga limit kuja huku home of great thinkers ni kero tupu mods anzishen qualification za kuwa members wa jf at least watu wawe na experience ya forums nyingine kwanza tena ikiwezekana muwape na induction on how they are supposed to be herein
 
For serious business partnership,,...just PM me
 
Ha ha ha,

Mkuu kuna hela naifukuzia mahali, nikiipata nitakucheki basi vile viwanja vya kule kigamboni.
Nilikua interested navyo sana, but mipanga ya hela ndio haijakaa sawa.

Back to the topic, huyu dada labda anazo mkuu. Maana kuna wenye hela hizo ambazo ni kawaida yao kuzishika, hawa wanakua wazoefu.

But kuna wale ambao wa"wamezipiga" za ghafla mahali, so inakua ngumu kufanya maamuzi kwa ghafla.

tatizo ana jicontradict mwanzo alisema hana idea ya bizness yeyote,lakini alivyomjibu Yericko Nyerere akasema kwamba ana apartments mbezi beach na tigo&m-pesa na other bizness!!
 
Last edited by a moderator:
Milioni 270 .....!! Nunua uchawi tuuu tumroge mkuu wa kaya maana kazidi ujanja ujanja saaaana.
 
acha kuwa na mawzo ya kimasikini ukazani vitu haviwezekani hii jf kila mtu yuko huru kuomba ushauri wowote hata kampeni za uraisi watu wanapiga humu sembuse huyu dada kuomba ushauri,kama jf unadhan fb kwa wanuka mikojo soo tafuta sehemu nyingine.hawa watoto wa sekondari inabidi kuwapiga limit kuja huku home of great thinkers ni kero tupu mods anzishen qualification za kuwa members wa jf at least watu wawe na experience ya forums nyingine kwanza tena ikiwezekana muwape na induction on how they are supposed to be herein

ahsante sana mheshimiwa,,...unajua mtu mwenye fikra finyu na uduni wa hali na mawazo hua wanakua na chuki sana kwa alie jaaliwa kidogo huona chuki ndo njia pekee ya faraja kwake badala ya kupambana na maisha na kujipanga wao hukalia majungu tu,,....ahsante mkubwa,,....pamoja saaana acha waendelee kutukana wako huru after all yangu yanazidi kuninyookea,,.....yaan wanaume wakiwa na sifa ya majungu ni zaidi ya aibu katika jamii,,....bravoo mheshimmiwa
 
tatizo ana jicontradict mwanzo alisema hana idea ya bizness yeyote,lakini alivyomjibu Yericko Nyerere akasema kwamba ana apartments mbezi beach na tigo&m-pesa na other bizness!!

Duh,
Basi atakua anatuzuga. Maana hizo apartments ni investment tosha, labda ndio style ya "DONT STOP TILL YOU GET ENOUGH"
 
Salaams Wapendwa wangu,,....!!

Poleni kwa majukum na mikiki mikiki ya hapa na pale katika jitihada za kutafuta rizki,,...!!

Sina mengi ila nahitaji ushauri wenu wenye busara,,....!!

Mimi ni mwanamke mwenye umri kati ya miaka (20-30),,...sina uzoefu sana wa biashara ila nimeajiriwa kwenye kampuni flani ya Wafaransa+Wataliano ni Sharing Company,,...!!

Katika harakati za kutafuta Pesa nina kiasi kidogo cha Milioni 270 za KITANZANIA yakwangu Binafsi ambayo nafikiria nii ingize kwenye Biashara huku nikiwa naendelea kupiga kazi kama kawaida,,...!!

Sasa naombeni mnishauri nifanye biashara gani ambayo itamudu kiasi icho cha pesa na kunii ingizia faida,,...??

N.B. Sina uzoefu katika Biashara
ahsanteni,,....Eid Njema,,...!!

Usiingie au usiingizwe kwenye biashara yoyote ambayo hauna wakati wa kuisimamia mwenyewe.

Fedha zako nunuwa nyumba iliyotayari au flats (zipo kibao tayari) unakuwa na hati miliki yako na unaiokodisha maraa baada ya kuinunuwa au unayoinunuwa unakuta tayari imeshakodishwa unaanza kuingiza fedha immediately, kumbuka nyumba Dar Es Salaam watu wanalipa kodi in advance hauna kuumiza kichwa wala kuumiza akili.

Na nyumba Tanzania bado zinapanda bei kila siku. million 270 ukinunuwa asset ya nyumba baada ya miaka mitano utakuwa unahesabu hiyo asset million 500 na miaka hiyo mitano umeshakula kodi isiyopunguwa million 6 kwa mwaka.

Usidaganyike na biashara za wabongo ambazo wewe mweyewe huna nafasi ya kuisimamia kwa 120%.
 
Thanks guys...........wenye chuki mpambane sio majungu
 
Mimi naona biz ya nyumba(kupangisha) ndio nzuri tena kwa dar es salaam..tena makalio ya kienyeji niwe nasimamia maana najua kudai vibaya mnoo. Au invest katika ardhi.
 
Usiingie au usiingizwe kwenye biashara yoyote ambayo hauna wakati wa kuisimamia mwenyewe.

Fedha zako nunuwa nyumba iliyotayari au flats (zipo kibao tayari) unakuwa na hati miliki yako na unaiokodisha maraa baada ya kuinunuwa au unayoinunuwa unakuta tayari imeshakodishwa unaanza kuingiza fedha immediately, kumbuka nyumba Dar Es Salaam watu wanalipa kodi in advance hauna kuumiza kichwa wala kuumiza akili.

Na nyumba Tanzania bado zinapanda bei kila siku. million 270 ukinunuwa asset ya nyumba baada ya miaka mitano utakuwa unahesabu hiyo asset million 500 na miaka hiyo mitano umeshakula kodi isiyopunguwa million 6 kwa mwaka.

Usidaganyike na biashara za wabongo ambazo wewe mweyewe huna nafasi ya kuisimamia kwa 120%.

asante sana mydear naheshim mawazo yako ubarikiwe sanaaa
 
Biashara nzuri jenga nyumba za wapangaji,pangisha hutajuta kamwe maana nyumba bado itakuwa yako.
 
Milioni 270 ni nyingi kwa pesa yetu ya madafu na inaweza kukutoa kimaisha kabisa lakini umefanya jambo la maana kulileta huku na kusema wazi kuwa hauna idea na biashara, kitu cha kufanya usikurupuke kwa kuwa unapesa ndio ufanye biashara jiangalie mwenyewe kama akili yako na saikolojia yako inakuruhusu kufanya biashara, kama inakwambia bado endelea kuzitunza hata kwa fixed account ili usizichezee, endelea kutulia huku unatafuta wazo sahihi la biashara ukilipata fanya tathmini ya gharama zake kuanzia uanzishwaji,uzalishwaji,uzalishaji fanya mchanganuo wa kutosha kuhusu hayo ukiona biashara ulioifikiria inakufaa ndio anza kugusa pesa zako vinginevyo pesa haina adabu ukianza kutoa milioni moja ,mbili , tatu haitachukua muda yote itakuwa imeisha
 
usikurupuke

weka bank as fixed uwe unakula faida kila baada ya miezi 3

huku unaplan mipango yako taratibu na kufanya research taratibu tumia hata mwaka

kufanya research na marketing intelligence ya biashara moja mpaka nyingine

hivyo unavyofanya ndio mwanzo wa kutapeliwa

mil 270 ni nyingi sana ukizizalisha kwa umakini na utaalamu wa hali ya juu na ni ndogo sana zikiamua kupeperuka
so akili kumkichwa

eid njema...
 
ahsante sana mheshimiwa,,...unajua mtu mwenye fikra finyu na uduni wa hali na mawazo hua wanakua na chuki sana kwa alie jaaliwa kidogo huona chuki ndo njia pekee ya faraja kwake badala ya kupambana na maisha na kujipanga wao hukalia majungu tu,,....ahsante mkubwa,,....pamoja saaana acha waendelee kutukana wako huru after all yangu yanazidi kuninyookea,,.....yaan wanaume wakiwa na sifa ya majungu ni zaidi ya aibu katika jamii,,....bravoo mheshimmiwa

wanauzi sana watoto hawa wanawatafutia tu watu bani na iddi haijaisha mbona simple sana si lazima umkwaze mtu ukiona huna cha kuchangia kaa tu pembeni hulazimishwi watu kama nahisi walizaliwa jumamosi yan weekend ndo maana akili zao zipo finyu pia walianza kutka makalio kwaiyo walichelewa kuona mwanga wa dunia
 
wekeza kwenye nyumba nafikiri haina stress hamna ufatiliaji, biashara nyingine ngumu sana labda uwe mchaga/mpemba
 
Biashara nzuri jenga nyumba za wapangaji,pangisha hutajuta kamwe maana nyumba bado itakuwa yako.

Tena mienasema walaa asijenge, maana anaweza kumaliza hiyo pesa na nyumba haijaaisha, bongo hata mafundi wajenzi ni wizi ma contractor wengine wizi. Bora alipie gharama ya juu kidogo kununuwa nyumba au flats zilizokuwa tayari na anaanza kuingiza mkwanja immediately.

cc. Marnah
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom