Nina milioni 45, nifanye biashara ipi kati ya hizi?

Nina milioni 45, nifanye biashara ipi kati ya hizi?

Hongera kwa mawazo mazuri...lakini kwa maisha ya sasa kuna biashara itakubidi uzizike!...things changed alot!..hizi mishe za real estate sidhan kama kwa hapa kwetu zinalipa tena! Au mie sielewi!
Kwwmba ajenge nyumba kwa mfano atumie 50m..then apangishe kila mwezk kwa 300k!...wakati kuna biashara nyingine zinazolipa zaidi!!... Au mie nafikiri kinyume nyume!...
Mkuu ninajua real estate imekuwa ngumu na wazo langu hapo limezingatia hali ya sasa.

Pamoja na mazingira ya sasa unadhani wafanyakazi ambao bado familia ndogo au wameanza kazi wa mashirika mabenk,makampuni makubwa, wakuu wa idara au halmashauri za serikali wanakaa wapi?

Au ata watumishi wenye uwezo na umri lakini wanaishi mbali na familia wanaishi wapi?

Kilichotokea wafanyakazi niliowataja wameacha kupangishia vimada na kurudi kwa familia zao na kukwepa majumba ya kulipa laki tano nne sita ndio maana nikasema sio mijumba mikubwa apartment ambazo hazifiki Million 50, ninachokiongea millioni 50 ni aparment tatu.

Pamoja na hali ya sasa wafanyakazi wa sehemu kama TRA,PSSF,CRDB,TANRAOD,NMN,NSSF, wakuu wa idara halmashauri au kwa RAS, Medical Doctors,makampuni makubwa, kwenye hiyo mikoa unadhani wanakaa kwenye nyumba za elfu hamsini? hapana wanaishi kwenye apartment au myumba za laki mbili au zaidi.

Ata wewe kama unapata reasonablle income, umeelimika,una familia ndogo huwezi kukaa nyumba ya 50,000.00 labda kama ulichukua mkopo wa gari ukabakiwa na mshahara wa laki mbili na nusu. [emoji16][emoji16][emoji16] just joking.

Whatever challenge, what matters is your business model and customer target.



Sent using Jamii Forums mobile app
 
True m50 kusubiria faida ya laki 3 per month plus changamoto za wapangaji kulipa ni bora nijenge frem kumi angalau.Ila real estate ni biashara nzuri kwa kustaafia,na sio mwenye speed ya usakaji
Mkuu ukiwa na kiwanja na good site plan 50 unajenga apartment tatu za vyumba viwili na sitting room utakazopangisha laki mbili au zaidi kila moja.

Nikwambie kitu mkuu mimi najua real estate haina return ya haraka sana lakini my ideas is

i. Jifunze maarifa ya biashara na jinsi ya kufanya kazi

ii. Ukipata nafasi wekeza kwenye biashara na nunua kiwanja kwenye potential area.

iii.Ukipata nafasi tanua biashara na jenga nyumba ndogo kwani nyumba kubwa zinatumia pesa nyingi ambazo hazirudi kwa kodi, lakini ndogo ni nora pia nyumba unapokwama kwenye maisha ndio kitu pekee kwenye maisha kitakacjokustiri fall back, BTW nyumba is long term investmest ambayo inaongezeka value in term of year.

Iv. Ukiwa una nyumba ata moja hasa sehemu unayotarajia kuishi maisha yako wewe focus kwenye biashara tuu ukipenda nunua kiwanja kiache tuu

Usipokuwa makini pesa zote zinaweza kuisha kabisa ukiwa huna pa kulala

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kaka Mmh naomba kuuliza Mpunga wapi elfu 36
Mkuu hongera kwanza. Biashara zote hizo pasua kichwa. Nunua mpunga weka s tore. Mfano mpunga wakati wa kiangazi huwa ni kati ya elf 30 hadi 36 kwa ginia hapo ni july uweke store hado october hadi april then uuzekati ya miezi hiyo bei ya gunia la mpunga hupanda hadi elf 90. Nafikiri faida shilingi itazaa shilingi

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Namba 4 hapo m 20 nunua canter ndogo zile za tone 3 za mchanga sterring kamatia mwwnyewe,m 10 fungua kihardware cha kimtindo karibu na maeneo utakayokua unapark canter cha kuanzia kuisoma biashara,m 10 ipige fixing account,m 5 iweke kama akiba kwa adjust yoyote

Sent using Jamii Forums mobile app
Ukiweka 10m fixed akaunt riba Yake kwa mwezi inakua sh ngap mkuu?


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu ukiwa na kiwanja na good site plan 50 unajenga apartment tatu za vyumba viwili na sitting room utakazopangisha laki mbili au zaidi kila moja.

Nikwambie kitu mkuu mimi najua real estate haina return ya haraka sana lakini my ideas is

i. Jifunze maarifa ya biashara na jinsi ya kufanya kazi

ii. Ukipata nafasi wekeza kwenye biashara na nunua kiwanja kwenye potential area.

iii.Ukipata nafasi tanua biashara na jenga nyumba ndogo kwani nyumba kubwa zinatumia pesa nyingi ambazo hazirudi kwa kodi, lakini ndogo ni nora pia nyumba unapokwama kwenye maisha ndio kitu pekee kwenye maisha kitakacjokustiri fall back, BTW nyumba is long term investmest ambayo inaongezeka value in term of year.

Iv. Ukiwa una nyumba ata moja hasa sehemu unayotarajia kuishi maisha yako wewe focus kwenye biashara tuu ukipenda nunua kiwanja kiache tuu

Usipokuwa makini pesa zote zinaweza kuisha kabisa ukiwa huna pa kulala

Sent using Jamii Forums mobile app
True real estates ni kama life backup maana hatuna garantii ya kesho yetu hasa ukwamapo kimaisha uongo familia haifi njaa hata mtu akili utulia wakati ukisaka miundombinu mingine unamwachia wife aangalie familia kupitia houses
 
Tunis akili yako
Wasalamu,kwa kuuza daladala zangu mbili sababu ya usumbufu wa kissing garage,plus mkopo nawezapata kama m45 nipo na mawazo kama matano hivi,ushauri muhimu ili nisiangamie maana pesa ikishapotea hairudi unabaki na majuto na maradhi ya moyo tu.

1.Nitafute eneo nijenge frem za kupangisha hapa takula hadi uzeeni shida utapata kodi itakayokusaidia kula na sio kukua haraka kibiashara lkn ni ya uhakika yaani ufi njaa.Mungu akijalia wawezazifungulia biashara zako kadri utakavyo na maisha yakaenda.

2.Ninunue trekta mpya zero kilometer katu sitonunua chombo cha moto used nchini tena kwa hasara nilizopata za kushinda garage kuliko kushinda barabarani.Trekta ni tegemeo ni johndeer,Massey,case,deutz ukitanguliza 45 anakupa inayobaki na riba ndani ya mwaka kwa mnyama deer miaka miwili yaani,zinauzwa kati ya 55m hadi 65m plus jembe.Niingie pori nikachane mbuga nalimia watu nami nalima yangu mazao tegemeo ni karanga,alizeti,mtama,mhogo,viazi,mahindi,mpunga nategemea kulima ekari 500 kwenda juu mashine Yangu nguvu yangu nasimamia mwenyewe iwe jua au mvua ni kula mbuga tu.

3.Nimpe muhindi 45m anipe tata marcopolo ya mkopo zero kilometa nikae mlangoni nipige ndefu sio daladala yaani ruti za nje ya mji nauli isiyo chini ya elf 15 yaani kupakia kwa foleni mfano moro ifakara,mbagala kusini,kambi popote.

4.Niagize fuso mnyama au scania kipisi nikae mwenyewe naenda shamba kununua mizigo mixer mfano viazi chips,ndizi,miwa,nyanya,vitunguu,ngombe,mbuzi,nk chochote kiuzwacho sokoni nakujauza bei ya jumla narudi shamba tena kwa kusomba mizigo ya duka kurudi shamba.

5.Nifungue kiwanda cha kusaga chupa na mifuko ya plastic kisha nauza viwandani.

6.Ninunue shamba nipande miti niendelee na umasikini wangu nisubirie miaka 10 hadi 15 niwe milionea baada ya kuvuna miti.

Naombeni idea kwa kuangalia risk,faida,mda,usalama wa fedha,uhakika wa kuishi, stress,nk
unatafuta wakumlaumu baadaye
 
Mkuu ninajua real estate imekuwa ngumu na wazo langu hapo limezingatia hali ya sasa.

Pamoja na mazingira ya sasa unadhani wafanyakazi ambao bado familia ndogo au wameanza kazi wa mashirika mabenk,makampuni makubwa, wakuu wa idara au halmashauri za serikali wanakaa wapi?

Au ata watumishi wenye uwezo na umri lakini wanaishi mbali na familia wanaishi wapi?

Kilichotokea wafanyakazi niliowataja wameacha kupangishia vimada na kurudi kwa familia zao na kukwepa majumba ya kulipa laki tano nne sita ndio maana nikasema sio mijumba mikubwa apartment ambazo hazifiki Million 50, ninachokiongea millioni 50 ni aparment tatu.

Pamoja na hali ya sasa wafanyakazi wa sehemu kama TRA,PSSF,CRDB,TANRAOD,NMN,NSSF, wakuu wa idara halmashauri au kwa RAS, Medical Doctors,makampuni makubwa, kwenye hiyo mikoa unadhani wanakaa kwenye nyumba za elfu hamsini? hapana wanaishi kwenye apartment au myumba za laki mbili au zaidi.

Ata wewe kama unapata reasonablle income, umeelimika,una familia ndogo huwezi kukaa nyumba ya 50,000.00 labda kama ulichukua mkopo wa gari ukabakiwa na mshahara wa laki mbili na nusu. [emoji16][emoji16][emoji16] just joking.

Whatever challenge, what matters is your business model and customer target.



Sent using Jamii Forums mobile app


Nimekuelewa sana mkuu! Point yangu ni hii . nimekupangisha ww unanipa 1.8m kwa 6mths!...ni bora nifungue kiwanda nisage unga hyo 1.8 naweza ipata kwa tons chache sana za mahindi tena mapema tu!
Haijalishi nampngisha boss gan lakini thaman ya pesa ndo naiona hairidhishi!..
 
Wasalamu,kwa kuuza daladala zangu mbili sababu ya usumbufu wa kissing garage,plus mkopo nawezapata kama m45 nipo na mawazo kama matano hivi,ushauri muhimu ili nisiangamie maana pesa ikishapotea hairudi unabaki na majuto na maradhi ya moyo tu.

1.Nitafute eneo nijenge frem za kupangisha hapa takula hadi uzeeni shida utapata kodi itakayokusaidia kula na sio kukua haraka kibiashara lkn ni ya uhakika yaani ufi njaa.Mungu akijalia wawezazifungulia biashara zako kadri utakavyo na maisha yakaenda.

2.Ninunue trekta mpya zero kilometer katu sitonunua chombo cha moto used nchini tena kwa hasara nilizopata za kushinda garage kuliko kushinda barabarani.Trekta ni tegemeo ni johndeer,Massey,case,deutz ukitanguliza 45 anakupa inayobaki na riba ndani ya mwaka kwa mnyama deer miaka miwili yaani,zinauzwa kati ya 55m hadi 65m plus jembe.Niingie pori nikachane mbuga nalimia watu nami nalima yangu mazao tegemeo ni karanga,alizeti,mtama,mhogo,viazi,mahindi,mpunga nategemea kulima ekari 500 kwenda juu mashine Yangu nguvu yangu nasimamia mwenyewe iwe jua au mvua ni kula mbuga tu.

3.Nimpe muhindi 45m anipe tata marcopolo ya mkopo zero kilometa nikae mlangoni nipige ndefu sio daladala yaani ruti za nje ya mji nauli isiyo chini ya elf 15 yaani kupakia kwa foleni mfano moro ifakara,mbagala kusini,kambi popote.

4.Niagize fuso mnyama au scania kipisi nikae mwenyewe naenda shamba kununua mizigo mixer mfano viazi chips,ndizi,miwa,nyanya,vitunguu,ngombe,mbuzi,nk chochote kiuzwacho sokoni nakujauza bei ya jumla narudi shamba tena kwa kusomba mizigo ya duka kurudi shamba.

5.Nifungue kiwanda cha kusaga chupa na mifuko ya plastic kisha nauza viwandani.

6.Ninunue shamba nipande miti niendelee na umasikini wangu nisubirie miaka 10 hadi 15 niwe milionea baada ya kuvuna miti.

Naombeni idea kwa kuangalia risk,faida,mda,usalama wa fedha,uhakika wa kuishi, stress,nk
Kama huna ajira rasmi, option 2 ndo nzuri zaidi. Ila mpe muhinde 35 baki na 10 then tafuta eneo la heka 10-20 uanze kulima mwenyewe na kulimia watu ili upate hela ya muhindi asap
 
Kama huna ajira rasmi, option 2 ndo nzuri zaidi. Ila mpe muhinde 35 baki na 10 then tafuta eneo la heka 10-20 uanze kulima mwenyewe na kulimia watu ili upate hela ya muhindi asap


Sorry ww umewah kulima?
 
Kama huna ajira rasmi, option 2 ndo nzuri zaidi. Ila mpe muhinde 35 baki na 10 then tafuta eneo la heka 10-20 uanze kulima mwenyewe na kulimia watu ili upate hela ya muhindi asap
Ukute hujawahi kuwa hata na kabustani ka maua ...Kiliko sio easy kama unavyofikiri... Mwaka Juzi nimepata hasara ya maharage huko Morogoro Sina hata hamu .

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ukute hujawahi kuwa hata na kabustani ka maua ...Kiliko sio easy kama unavyofikiri... Mwaka Juzi nimepata hasara ya maharage huko Morogoro Sina hata hamu .

Sent using Jamii Forums mobile app
Ndo maana anaddevisfy kipato chake, analima yy na analimia watu. hela ya kulimia watu anamlipa muhind na yy anaendelea kufanya kilimo chake
 
Kama huna ajira rasmi, option 2 ndo nzuri zaidi. Ila mpe muhinde 35 baki na 10 then tafuta eneo la heka 10-20 uanze kulima mwenyewe na kulimia watu ili upate hela ya muhindi asap
Wazo nalo 35 muhindi,10 navuta poweriller hp 10 plus waterpump,mipira,na sprinkler zake 5 hivi zile raingun zitupazo maji upana mita 50 kwa degree 360 nikalima nyanya,vitunguu,kabechi,bamia,viazi napeleka sokoni huku tata nimelikatia bima kubwa linapiga ruti ya nje ya mji yaani asubui nachukua hesabu kabla alijaondoka likiondoka linarudi kesho Mchana navuta tena hesabu naziweka fixed kwa mwaka mzima nachanga za tata na za shamba sitotoboa kweli?
 
Ah ah
Hiyo pesa 45m ukiweka benki ya biashara kama fixed deposite kila mwezi unapewa 480,000 riba wakati unasubiria paka pale mazingira ya biashara ikae vizuri nchini, lasivyo uwezekano wa kupoteza mtaji ukiwa unaanza biashara mpya nimkubwa sana kipindi hiki cha JPM, labda kama unaendeleza biashara ulio kua nao....lakini jambo muhimu kipindi hiki sio faida ila ni kulinda mtaji wako

Sent using Jamii Forums mobile app
duh we mwalimu nini hebu nioneshe hiyo bank yenye riba ya asilimia 120 kwa mwaka nami nikaweke laki yangu.....hiyo asilimia 10 ni kwa mwaka mzee ukiigawa kwa mwezi ni chini ya hapo haizidi hata buku 30 kwa mwezi
 
Wazo nalo 35 muhindi,10 navuta poweriller hp 10 plus waterpump,mipira,na sprinkler zake 5 hivi zile raingun zitupazo maji upana mita 50 kwa degree 360 nikalima nyanya,vitunguu,kabechi,bamia,viazi napeleka sokoni huku tata nimelikatia bima kubwa linapiga ruti ya nje ya mji yaani asubui nachukua hesabu kabla alijaondoka likiondoka linarudi kesho Mchana navuta tena hesabu naziweka fixed kwa mwaka mzima nachanga za tata na za shamba sitotoboa kweli?
Ndugu mi naona una idea nzuri sana kikubwa ni implementation any of those idea can work out....na wanauchumi wanasema uaiweke mayai yote kwenye trei moja...kama ukiweza ivunja kama ulivyofanya hapo na kuamua kujitoa mhanga ni wewe tu ...wish you luck
 
Ndugu mi naona una idea nzuri sana kikubwa ni implementation any of those idea can work out....na wanauchumi wanasema uaiweke mayai yote kwenye trei moja...kama ukiweza ivunja kama ulivyofanya hapo na kuamua kujitoa mhanga ni wewe tu ...wish you luck
Changamoto ni kupata Dereva makin anayejitambua kujua hii ni ofisi maana akifanya kosa tu barabarani tajiri ndo utoboka,mfano kubeba magendo,au vitu haramu,rejea ya wenye malori yao kubebeshewa wahamiaji haramu kisha Dereva kakimbia
 
Aisee..nimeanza connect dots...dingi analalamila nw kuwa alikua anapewa hela nov..lakini had jan hii hawajamwekea faida yake[emoji848]! Wamemhadaa eti wamebadilisha muda wataweka jan mwishon! Duh bas hali sio hal..kumbe had mabenk yanakosa hela?[emoji56][emoji56][emoji56][emoji56]
Hahahaha,kitu Cha kuahidiwa na mbongo Mimi huwa siku zote sikiamini.
Ukitegemea mtego huo huo mmoja utaaibika tu mbeleni.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom