Nina milioni tano, naweza pata kiwanja upande huu wa Dar es Salaam?

Nina milioni tano, naweza pata kiwanja upande huu wa Dar es Salaam?

Mlolongo

JF-Expert Member
Joined
Jul 4, 2019
Posts
3,483
Reaction score
6,257
Mfukoni (actually ni kwenye account ya TigoPesa) nina milioni tano taslimu.

Natafuta kiwanja upande wa kuanzia Ubungo kwenda Goba, Salasala, Tegeta, Madale, hadi Bunju.

Lakin pia Ubungo kwenda Kimara pande zote, Mbezi huko msakuzi, hadi Kibamba, Kiluvya.

Kifupi tu nalenga maeneo ambayo ni rahisi kuja na kurudi Ubungo.

Naweza kupata wakuu, kwa bajeti yangu na maeneo nilotaja?
 
Labda Kibamba au Kiluvya Ila kilometa za kutosha kutoka barabarani. Maeneo mengi sasa ni 9m kwenda mbele, kuna jamaa nilikuwa nae Madale juzi kaniambia 15mil min. 20x20, Goba kuelekea Mbezi nako ni shida kwa sasa.

Kiwanja hukosi, Ila km ngapi kutoka barabara kuu?
 
Mfukoni (actually ni kwenye account ya TigoPesa) nina milioni tano taslimu.

Natafuta kiwanja upande wa kuanzia Ubungo kwenda Goba, Salasala, Tegeta, Madale, hadi Bunju.

Lakin pia Ubungo kwenda Kimara pande zote, Mbezi huko msakuzi, hadi kibamba, Kiluvya.

Kifupi tu nalenga maeneo ambayo ni rahisi kuja na kurudi Ubungo.

Naweza kupata wakuu, kwa bajeti yangu na maeneo nilotaja?
Ongeza laki 5 hapo nikupe kiwanja maeneo ya kifuru hapa
 
Wewe hiyo Hela nenda zako mvuti ndani Ndani Huko Bado shamba unapata ekari nzima,
Tena Kuna viwanja tele njia ya Kuanzia Chanika mwisho kwenda mvuti,mbande kisewe to mbagala
Njia ni mkeka tu na Bado kunaonekana ni shamba Sana pande hizo,kafanye utafiti!
 
Wewe hiyo Hela nenda zako mvuti ndani Ndani Huko Bado shamba unapata ekari nzima,
Tena Kuna viwanja tele njia ya Kuanzia Chanika mwisho kwenda mvuti,mbande kisewe to mbagala
Njia ni mkeka tu na Bado kunaonekana ni shamba Sana pande hizo,kafanye utafiti!

Kweli kabisa kwa hiyo pesa mvuti ndani kidogo anapata akari nzima
 
Kuna kiwanja kinauzwa wilaya ya ilala Kitonga.. ( tayari kina msingi)
Tayari Kuna shimo la choo lililojengewa.
Vyumba vitatu, sitting room na dyninmg room na choo Cha ndani..
Kuna ramani ya umeme...
Msingi kozi nane kutoka chini full nondo na cement.
Urefu Ni futi 50 kwa 45.
Bei 4m
0784312904
 
Back
Top Bottom