Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii barabara ya mbezi kinyerezi katikatiKifuru unamaanisha Mbezi mwisho?
Nielekeze tafadhali
Boda buku jero. Unaingilia madukani upande wa kwa sumayeKiluvya maeneo gani mdada...
Umbali gani kutoka Morogoro road, au upande gani kama unatokea Kibamba
Mfukoni (actually ni kwenye account ya TigoPesa) nina milioni tano taslimu.
Natafuta kiwanja upande wa kuanzia Ubungo kwenda Goba, Salasala, Tegeta, Madale, hadi Bunju.
Lakin pia Ubungo kwenda Kimara pande zote, Mbezi huko msakuzi, hadi kibamba, Kiluvya.
Kifupi tu nalenga maeneo ambayo ni rahisi kuja na kurudi Ubungo.
Naweza kupata wakuu, kwa bajeti yangu na maeneo nilotaja?
Unapata mkuuMfukoni (actually ni kwenye account ya TigoPesa) nina milioni tano taslimu.
Natafuta kiwanja upande wa kuanzia Ubungo kwenda Goba, Salasala, Tegeta, Madale, hadi Bunju.
Lakin pia Ubungo kwenda Kimara pande zote, Mbezi huko msakuzi, hadi kibamba, Kiluvya.
Kifupi tu nalenga maeneo ambayo ni rahisi kuja na kurudi Ubungo.
Naweza kupata wakuu, kwa bajeti yangu na maeneo nilotaja?
Nipigie 0766961129Mfukoni (actually ni kwenye account ya TigoPesa) nina milioni tano taslimu.
Natafuta kiwanja upande wa kuanzia Ubungo kwenda Goba, Salasala, Tegeta, Madale, hadi Bunju.
Lakin pia Ubungo kwenda Kimara pande zote, Mbezi huko msakuzi, hadi kibamba, Kiluvya.
Kifupi tu nalenga maeneo ambayo ni rahisi kuja na kurudi Ubungo.
Naweza kupata wakuu, kwa bajeti yangu na maeneo nilotaja?
Kifuru unamaanisha Mbezi mwisho?
Nielekeze tafadhali
Kiluvya kipo kama unahitajiMfukoni (actually ni kwenye account ya TigoPesa) nina milioni tano taslimu.
Natafuta kiwanja upande wa kuanzia Ubungo kwenda Goba, Salasala, Tegeta, Madale, hadi Bunju.
Lakin pia Ubungo kwenda Kimara pande zote, Mbezi huko msakuzi, hadi kibamba, Kiluvya.
Kifupi tu nalenga maeneo ambayo ni rahisi kuja na kurudi Ubungo.
Naweza kupata wakuu, kwa bajeti yangu na maeneo nilotaja?
Uongo huuKuna kiwanja kinauzwa wilaya ya ilala Kitonga.. ( tayari kina msingi)
Tayari Kuna shimo la choo lililojengewa.
Vyumba vitatu, sitting room na dyninmg room na choo Cha ndani..
Kuna ramani ya umeme...
Msingi kozi nane kutoka chini full nondo na cement.
Urefu Ni futi 50 kwa 45.
Bei 4m
0784312904
Ukubwa gani?Ongezea M1 Njoo nkupe kiwanja kikubwa kiluvya ambacho hakina longolongo
Yaani aweke million 5 leo baada ya miaka 5 apate 20Million?Hiyo pesa huku kwetu unapata shamba ekari 5 baada ya miaka 10 utauza 20m uamuzi ni wako tu mkuu hii Tanzania ni kubwa mnoo si lazima mjazane DSM.
Mkuu, kwanini unamwambia jamaa taarifa ya kiwanja chake ni uongo?Uongo huu