Nina milioni tano, naweza pata kiwanja upande huu wa Dar es Salaam?

Nina milioni tano, naweza pata kiwanja upande huu wa Dar es Salaam?

Ongezea M1 Njoo nkupe kiwanja kikubwa kiluvya ambacho hakina longolongo
Kiluvya maeneo gani mdada...
Umbali gani kutoka Morogoro road, au upande gani kama unatokea Kibamba
 
Njoo kitonga wilaya ya ilala nakuuzia kiwanja ukubwa 88*45 kwa mil 4
 
Mfukoni (actually ni kwenye account ya TigoPesa) nina milioni tano taslimu.

Natafuta kiwanja upande wa kuanzia Ubungo kwenda Goba, Salasala, Tegeta, Madale, hadi Bunju.

Lakin pia Ubungo kwenda Kimara pande zote, Mbezi huko msakuzi, hadi kibamba, Kiluvya.

Kifupi tu nalenga maeneo ambayo ni rahisi kuja na kurudi Ubungo.

Naweza kupata wakuu, kwa bajeti yangu na maeneo nilotaja?

Kuna kiwanja Mpiji Magoe-Mbezi

Bei atleast 6ml
 
Mfukoni (actually ni kwenye account ya TigoPesa) nina milioni tano taslimu.

Natafuta kiwanja upande wa kuanzia Ubungo kwenda Goba, Salasala, Tegeta, Madale, hadi Bunju.

Lakin pia Ubungo kwenda Kimara pande zote, Mbezi huko msakuzi, hadi kibamba, Kiluvya.

Kifupi tu nalenga maeneo ambayo ni rahisi kuja na kurudi Ubungo.

Naweza kupata wakuu, kwa bajeti yangu na maeneo nilotaja?
Unapata mkuu
 
Mfukoni (actually ni kwenye account ya TigoPesa) nina milioni tano taslimu.

Natafuta kiwanja upande wa kuanzia Ubungo kwenda Goba, Salasala, Tegeta, Madale, hadi Bunju.

Lakin pia Ubungo kwenda Kimara pande zote, Mbezi huko msakuzi, hadi kibamba, Kiluvya.

Kifupi tu nalenga maeneo ambayo ni rahisi kuja na kurudi Ubungo.

Naweza kupata wakuu, kwa bajeti yangu na maeneo nilotaja?
Nipigie 0766961129
 
Kwanini usichukue chanika au mvuti ,ni Bei nzuri tu
 
Mfukoni (actually ni kwenye account ya TigoPesa) nina milioni tano taslimu.

Natafuta kiwanja upande wa kuanzia Ubungo kwenda Goba, Salasala, Tegeta, Madale, hadi Bunju.

Lakin pia Ubungo kwenda Kimara pande zote, Mbezi huko msakuzi, hadi kibamba, Kiluvya.

Kifupi tu nalenga maeneo ambayo ni rahisi kuja na kurudi Ubungo.

Naweza kupata wakuu, kwa bajeti yangu na maeneo nilotaja?
Kiluvya kipo kama unahitaji
 
Kuna kiwanja kinauzwa wilaya ya ilala Kitonga.. ( tayari kina msingi)
Tayari Kuna shimo la choo lililojengewa.
Vyumba vitatu, sitting room na dyninmg room na choo Cha ndani..
Kuna ramani ya umeme...
Msingi kozi nane kutoka chini full nondo na cement.
Urefu Ni futi 50 kwa 45.
Bei 4m
0784312904
Uongo huu
 
Hiyo pesa huku kwetu unapata shamba ekari 5 baada ya miaka 10 utauza 20m uamuzi ni wako tu mkuu hii Tanzania ni kubwa mnoo si lazima mjazane DSM.
Yaani aweke million 5 leo baada ya miaka 5 apate 20Million?
Mbona tuhela tudogo sana?
At least ingekuwa million 50 kwenda juu.
 
Back
Top Bottom