fogoh2
JF-Expert Member
- Apr 13, 2017
- 5,305
- 5,355
Wilaya ya ilala ndio wapi ,hizo futi ndio mita ngapi kwa ngapiKuna kiwanja kinauzwa wilaya ya ilala Kitonga.. ( tayari kina msingi)
Tayari Kuna shimo la choo lililojengewa.
Vyumba vitatu, sitting room na dyninmg room na choo Cha ndani..
Kuna ramani ya umeme...
Msingi kozi nane kutoka chini full nondo na cement.
Urefu Ni futi 50 kwa 45.
Bei 4m
0784312904