Bei gani hichi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bei gani hichi?
Mbopo ???Unapata nenda madale ndani ndani unapata 20 kwa 25 kwa 3m ila uwah kukijengea ukuta kuna wavamizi kibao utakuta kimeuziwa mwingine au kimechukuliwa
Nimenunua hapo ekari moja kwa bei chee sana
Hatua moja huanzisha nyingine....me pia nimenunua viwanja na mashamba maeneo mbali mbali na bado sijaanza kujenga ila nimepanda miti na huwa nna kawaida ya kufanya site visit kila baada ya mwezi au miezi miwili na kila nlipo chukua kiwanja au shamba kuna wenyeji wangu wanaokua wananisaidia kufanya usaf na kunyeshea ...Unanunua kiwanja una mil 5, utajenga na nn au utaweka tent uishi humo?
Kibaha kongowe sehemu moja wanapaita vikuge kule 500sq inaanzia 1.2m up to 1.5mLeta bei zake mkuuu
Hapo nlikua namfafanulia huyo jamaa anayeuliza ukubwa kwa sqBei gani hichi?
Umbali gani toka main road?Kibaha kongowe sehemu moja wanapaita vikuge kule 500sq inaanzia 1.2m up to 1.5m
Sent using Jamii Forums mobile app
Wee ndio muuzaji?
Hapana boss ukienda maeneo hayo ukiuliza utapewa muongozoWee ndio muuzaji?
Nilipata kiwanja cha heka moja kijijini kwetu kwa 2.5, kuna walionicheka kuwa nimeliwa.
Wengi wakisema Heka wanamaanisha Acres ambayo ndo hzo 4000+ sq wengi hawajui kuna ukubwa ambao ni Hecta ambao ni 10000sqHeka? Au unamaanisha ekari? Maana hilo neno kwenye vipimo vya hesabu haliko kabisa! Labda kama unamaanisha hekta ambayo ni sawa na ekari mbili na nusu!
Goba sehemu gani?Umepata...?
Goba kipo
Kwa bedui STENDI pale paleGoba sehemu gani?
Boko Magereza kumekucha huko utapata, ukisogea Kinondo kwa Ridhiwani pale unang'oa eneo kubwa tuMfukoni (actually ni kwenye account ya TigoPesa) nina milioni tano taslimu.
Natafuta kiwanja upande wa kuanzia Ubungo kwenda Goba, Salasala, Tegeta, Madale, hadi Bunju.
Lakin pia Ubungo kwenda Kimara pande zote, Mbezi huko msakuzi, hadi kibamba, Kiluvya.
Kifupi tu nalenga maeneo ambayo ni rahisi kuja na kurudi Ubungo.
Naweza kupata wakuu, kwa bajeti yangu na maeneo nilotaja?
Njoo brother nikupeleke ukione hiki changuBoko Magereza kumekucha huko utapata, ukisogea Kinondo kwa Ridhiwani pale unang'oa eneo kubwa tu
Uko Kinondo?Njoo brother nikupeleke ukione hiki changu
Kina ukubwa gani?Kwa bedui STENDI pale pale
Hakiko mbali