20*20Kina ukubwa gani?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
20*20Kina ukubwa gani?
Mfukoni (actually ni kwenye account ya TigoPesa) nina milioni tano taslimu.
Natafuta kiwanja upande wa kuanzia Ubungo kwenda Goba, Salasala, Tegeta, Madale, hadi Bunju.
Lakin pia Ubungo kwenda Kimara pande zote, Mbezi huko msakuzi, hadi kibamba, Kiluvya.
Kifupi tu nalenga maeneo ambayo ni rahisi kuja na kurudi Ubungo.
Naweza kupata wakuu, kwa bajeti yangu na maeneo nilotaja?
Yeye mwenyewe mlolongoOngezea M1 Njoo nkupe kiwanja kikubwa kiluvya ambacho hakina longolongo
Hii ni zanzibar kiongozi?Njoo king’azi upate eneo kubwa mita 18 kwa 17 bei 4,800,000 lipo sehemu nzuri sana piga simu 0652788410
Utapataa mbezi malamba mawiliMfukoni (actually ni kwenye account ya TigoPesa) nina milioni tano taslimu.
Natafuta kiwanja upande wa kuanzia Ubungo kwenda Goba, Salasala, Tegeta, Madale, hadi Bunju.
Lakin pia Ubungo kwenda Kimara pande zote, Mbezi huko msakuzi, hadi kibamba, Kiluvya.
Kifupi tu nalenga maeneo ambayo ni rahisi kuja na kurudi Ubungo.
Naweza kupata wakuu, kwa bajeti yangu na maeneo nilotaja?
Hii ni zanzibar kiongozi?
Badirisha storiMfukoni (actually ni kwenye account ya TigoPesa) nina milioni tano taslimu.
Natafuta kiwanja upande wa kuanzia Ubungo kwenda Goba, Salasala, Tegeta, Madale, hadi Bunju.
Lakin pia Ubungo kwenda Kimara pande zote, Mbezi huko msakuzi, hadi kibamba, Kiluvya.
Kifupi tu nalenga maeneo ambayo ni rahisi kuja na kurudi Ubungo.
Naweza kupata wakuu, kwa bajeti yangu na maeneo nilotaja?
Kipo milion 15 unayo hapa njia 4nahitaji kiwanja goba mwenye kuuza
Njia nne sehemu gan,