Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,107
- 160,001
Wakuu hebu nipeni ushauri wa biashara nimepata hizo pesa hapo juu millioni 80 lakini kila nikichekecha biashara ya kufanya ilipe nakua sioni sasa nimeiona niweke hapa ili nipate mawazo nijue pa kuanzia.Mimi naishi mkoa wa Dar-es-salaam
Nimecheka sana hiyo Avatar yako.
110m bado unarudi kwenye ajira tena mkuu?
Nunua zile screen kubwa za matangazo kama zile za palm beach moja unaweza pata kwa usd 14000 ukiwa nazo tatu moja town nyingine mlimani city nyingine stand au airport
Makampuni yote ya simu unakula vichwa
Benki zote wala vichwa
Makampuni ya bia n.k
fanya biashara ya mbao just 30 milions inatosha na faida yake ni maradufu. me nikipata 10 millions nitakua nimeaga umaskini coz nimefanya utafiti wa hiyo biashara na nimejiridhisha kuwa ni mzuri sana
Hiyo kamari ikoje koje mtaji wake kiasi gani na faida yake kiasi gani?
Wakuu hebu nipeni ushauri wa biashara nimepata hizo pesa hapo juu millioni 80 lakini kila nikichekecha biashara ya kufanya ilipe nakua sioni sasa nimeiona niweke hapa ili nipate mawazo nijue pa kuanzia.Mimi naishi mkoa wa Dar-es-salaam
Wakuu hebu nipeni ushauri wa biashara nimepata hizo pesa hapo juu millioni 80 lakini kila nikichekecha biashara ya kufanya ilipe nakua sioni sasa nimeiona niweke hapa ili nipate mawazo nijue pa kuanzia.Mimi naishi mkoa wa Dar-es-salaam
Subayi, una haki ya kufikiri unacho fikiria lakini naweza kukuapia mbele ya miungu yote kuwa at the moment crane zenye tani 20 ni nyingi sana, hivyo kazi za kugombania! Na zenye tani 25 sio nyingi sana lakini kazi zipo na hazipumziki! lakini kuanzia tani 30 kwenda juu ni chache na kazi ni nyingi mno mno! Mara iringa, mbeya, dar kwenyewe, tanga, mtwara nk! kazi ni nyingi sana!
Kwa upande fulani nipo kwenye hilo eneo la kibiashara hivyo nafahamu! Kazi zipo nyingi sana, na hata ukitaka kuuza wateja ni wengi mno mno!
Hizi heavy equipment....haziozi, na hata zikiharibika zinatengenezeka na spea zipo! Na kwakuwa ni biashara yako utakuwa unafuatilia kila kitu na hasa service zake!
Pia mkuu, embu fanya risech kidgo...jifanye una kazi ya tani 30, kwa siku tatu na utanataka crane.....ukiipata kwa haraka...mshukuru mungu....vinginevyo utasubir kidgo....na bei yake utakuja kutoa ushuhuda hapa!
Wakuu hebu nipeni ushauri wa biashara nimepata hizo pesa hapo juu millioni 80 lakini kila nikichekecha biashara ya kufanya ilipe nakua sioni sasa nimeiona niweke hapa ili nipate mawazo nijue pa kuanzia.Mimi naishi mkoa wa Dar-es-salaam
Nunua zile screen kubwa za matangazo kama zile za palm beach moja unaweza pata kwa usd 14000 ukiwa nazo tatu moja town nyingine mlimani city nyingine stand au airport
Makampuni yote ya simu unakula vichwa
Benki zote wala vichwa
Makampuni ya bia n.k
Hizi pesa kweli haziji kwenye vichwa vyenye mawazo kibao ya biashara!
Ningekuwa mimi nisingejenga hiyo Guest House, kwa sababu hesabu ya harakaharaka hiyo guest ya 80M ni vyumba kama kumi tu (Guest ya Kawaida sana Mkoani), hapo bado utakuwa unadaiwa pesa ya furniture na mambo mengine! Ukiwa unapangisha 20K kila chumba, say una bahati ya location kila siku vikajaa vyumba saba utakuwa na 140K kwa siku, ondoa 50K ya gharama unabakiza faida ya 90K, mwisho wa mwezi una faida ya 2.7M pekeyake! Itakuchukua miaka kama mitatu kurejesha gharama za ujenzi ndiyo uanze kula faida..hapo nadhani utakuwa unajiandalia mazingira ya kustaafu, obviously baada ya miaka hiyo mitatu guest itakuwa imechoka na kuchuja, Guest nzuri zaidi zitakuwa zimejengwa maeneo hayo na soko lako litashuka!! Sisi wakomaaji wa mjini tukizikamata 50tu basi ntolee, lazima ilale 20M kila mwezi FAIDA! Nina project zangu mbili ziko kwenye vitabu zinahitaji kama 300M na 700M respectively hizo hazina ushindani wowote bongo, ni suala la muda tu, dadeki!
Lakini kwa wewe mkuu ambaye nadhani haujawahi kufanya biashara ya namna yoyote ile ujue unaweza kupoteza kiasi kikubwa cha fedha katika kujifunza biashara, ukija kukomaa mtaji umepungua sana, na kama kazi ndiyo ulishaacha ni lazima ufulie vibaya. NAUNGA MKONO HOJA YAKO YA KUJENGA NYUMBA NA KUREJEA KUAJIRIWA!
Dunia inamaajabu watu wanapesa shida idea, mi nina mi idea kibao Pesa ndio shidaa