spinderella
JF-Expert Member
- Jul 24, 2016
- 1,393
- 1,905
I beg to differ. Kwa kuitoa ndio atakuwa amekosa hekima na busara. Maisha ya huyo mtoto hayapo hatarini. Mtoto amnyonyeshe na mimba ailee na wala hana haja yakumuachisha mpaka atakapo kataa mwenyewe.Kwa hekima na busara ili kuokoa maisha ya huyo mtoto,nenda katoe,no way through,huyo mtoto bado mdogo sana.Mwenyezi Mungu ndie mjuzi zaidi.
Pamoja daimaI beg to differ. Kwa kuitoa ndio atakuwa amekosa hekima na busara. Maisha ya huyo mtoto hayapo hatarini. Mtoto amnyonyeshe na mimba ailee na wala hana haja yakumuachisha mpaka atakapo kataa mwenyewe. Watu huwa wananyonyesha twins, triplets, quadriplets and so forth bila ya shida yoyote.
Yani wewe utakuwa na matatizo siyo bure kabisa,hebu nenda katafute chanzo cha allergies ni nini,na kuna allergy mbalimbali zinazosababishwa na vitu mbalimbali,nenda basi hata Google upate nadharia mbalimbali kuhusu kipi bora formula au maziwa ya ng'ombe au uliza hata dr yoyote akuambie.Miss Natafuta mwambie huyo The secretary, ye anadhani maziwa ya kopo ndio salama zaidi kuliko ya ng'ombe na anasahau kuwa suala la Allergy hutegemeana na mwili wa mtu alivyoumbwa, anakesha kukaririshwa tu badala ya kufanya analysis binafsi ...! Ukiondoa changamoto ya u fake hayo hayo maziwa ya kopo muandaaji akikosea kuyachanganya tu kwa kuoanisha na kipimo cha Maji na Milk powder tayari yanakua hayana ubora !!
Ok. Naachana naye. Atakuwa ana shida flani hivi. Thanks DearYani huyu achana naye anakurupuka atakuwa na msongo wa mawazo.
Wewe ni mjinga tu na namsikitikia mwanamke mwenzangu kwa kuzaa Toto jinga lenye majivuno na dharau juu ya viumbe wengine , twende PM ukanionyeshe iyo elimu unayolingia kuwa inakupa akili nami nikuonyeshe yangu mbwa wewe, tena ni bora ukaachana na mimi kabisaa maana utanisababishia Ban
Mkuu achana nae uyo binti anayejiita Jolie atakupotezea muda tu na kukusababishia ban, yaani ukiona mwanamke ana majivuno kama uyo basi ujue kichwani mwake hakuna kitu achana nae, kwa elimu gani sasa aliyonayo anayotaka kumtikisa kila mtu!!
KUNA WATU HUMU NDANI MNAJIFANYA KAMA KUZAA MMEZAA NYIE TU WENGINE WAMEZAA MATUFE HAYALELEWI, USIDHARAU HATA SIKU MOJA ELIMU YA MTAANI NDIYO IMETUKUZA MIMI NA WENGINE NA KUNA WAKATI TUNA i- Apply kwenye maisha ya watoto wetu! Ni Chaguo la mtoa post kuchukua ushauri unaomfaa kutokana na anayoyapitia mwanae na si vinginevyo!
Napenda kujibu kwa fact,hebu na wewe tupe fact ya mtaani kwako huko kubemendwa kuna kuwaje,na hayo maziwa mnayosema yanakuwa yamechafuka ,yanachafukaje labda.Sijaumbuka na siongozwi na akili fupi fupi ulichotakiwa ni kujibu hoja na si ku paste article za watengenezaji
google inabeba kila kitu secretary hata hii post ya jf kwenye google ipo
Usimnyonyeshe tena ndo Maana anaharishaNanyonyesha, na hadi hivi leo sijawahi kumpa mtoto chochote kile tofauti na maziwa yangu mwenyewe, tatizo saivi naona anaharisha
Wataalam wa nini?Wataalamu hutuambia hivyo, ila kuepuka hofu ya kuhusisha maziwa anayonyonya mtoto na hali yake ya kiafya namshauri aache tu kumnyonyesha! itampa amani na itamjenga zaidi kisaikolojia kumuhudumia mwanae bila kumnyonyesha, mimi pia wanangu wamefungama hivyo hivyo ila niliambiwa niendelee kumnyonyesha mtoto vi homa homa havikwisha kuharisha n.k sasa nilikua namnyonyesha mwanangu saikolojia yangu ikawa inaniambia kama namsababishia mwanangu matatizo, au nampa sumu mwanangu, nikawa najilaumu sana mtoto akimaliza kunyonya na baadae akaharisha mavi yenye mtelezoo yaani ilikua inaniuma sana mama yangu alipokuja aliniambia niache kumnyonyesha akaanza kunipangia na kunielekeza diet ya mtoto na tukaanza kumpa maziwa ya ng'ombe taratiibu mambo yakaanza kubadirika na mpaka sasa yuko vzr kabisa
Wih nani aliwambiaga kuna kitu kinaitwa kuchacha maziwaDuh umewahi kuachia acha kumnyonyesha mwanao maana maziwa yashachacha Ndio maana anaharisha