mwaura Tesha
Member
- Oct 18, 2014
- 48
- 22
Usimnyonyeshe Tena yule mwenzake mpe vyakula pain kama uji wa kishe ya mtoto ndizi za kusonga mtori na nk
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
zaa hamna shida yoyoteHabar zenu wana jf!! Samahani sana kwa usumbufu, naombeni msaada wenu nifanyeje mwenzenu yamenikuta nipo njia panda sina cha kufanya.
Mwanangu bado mdogo miezi minne tu sasa na tayari nina ujauzito. Mtoto kashaanza kuhara kila siku na anazidi kunyong'onyea tuu. Hospitali walimpima hana tatizo, je nifanyeje? Nawaombeni sana mnisaidie ili niokoe afya ya mwanangu.
Najua kuna watu watanitukana ila yote sawa nastahili, ushari wako ni muhimu.
Asanteni.
Mtoto wa miezi minne ampe hivyo?mi naona angeendelea tu kunyonyesha akifikisha miezi sita ndo amwanzishie hivyo vitu.Jitahidi kumtengenezea balanced diet, protein ni muhimu sana katika umri huo kwani ndio anajenga mwili na kinga ya mwili vyakula vya wanga na mboga mboga na matunda, ikiwezekana blend matunda mpe puree au smooth anywe.
kwa kunyonyesha.Mtoto wa miezi minne ampe hivyo?mi naona angeendelea tu kunyonyesha akifikisha miezi sita ndo amwanzishie hivyo vitu.
Kuharisha si tatizo.. nende spitali kampe kinga.. jamii ya chanjo.. mtto anakua kuharisha jumla ya uzima. mtto mdgo mavi yake yankua kama ayo.. hana mavi magumu.Nanyonyesha, na hadi hivi leo sijawahi kumpa mtoto chochote kile tofauti na maziwa yangu mwenyewe, tatizo saivi naona anaharisha
Kitu muhimu hapo ni kumuachisha nyonyo, alafu zingatia mlo kamili kwa mtoto. Mtoto akisha nyonya miezi 3 huyo kasha vuka vikwazo we relax [emoji1] [emoji1]Habar zenu wana jf!! Samahani sana kwa usumbufu, naombeni msaada wenu nifanyeje mwenzenu yamenikuta nipo njia panda sina cha kufanya.
Mwanangu bado mdogo miezi minne tu sasa na tayari nina ujauzito. Mtoto kashaanza kuhara kila siku na anazidi kunyong'onyea tuu. Hospitali walimpima hana tatizo, je nifanyeje? Nawaombeni sana mnisaidie ili niokoe afya ya mwanangu.
Najua kuna watu watanitukana ila yote sawa nastahili, ushari wako ni muhimu.
Asanteni.