Teflonomicss
Senior Member
- Apr 13, 2020
- 146
- 171
huyu jamaa sio ushaur anatafuta unachokitafuta ni mtu wa ku support huu upumbavu unao fanya....Hiii formula niliiitumia sana lkn nikajikuta napoteza mademu wazuri
Nikumchoma moto tuuuhuyu jamaa sio ushaur anatafuta unachokitafuta ni mtu wa ku support huu upumbavu unao fanya....
okay lemme support endelea kua exploited mkuu endelea kuhudumia tuu good things take time
ila ungekua karib na mimi makofi yangekuhusu maana una uhanangwa uliochangamka [emoji57]
Vipi hali hii ni mpaka kwenye huduma za viungo vya uzazi au viungo vyenyewe vinashirikiana kwa dhati?Poleni na tozo za miamala
Mie nina mpenzi mpya kabisa ila tatizo nisipomtafuta mie baasi ujue ndio siku imepita hivyo... Nikimwambia ' Nakupenda' anajibu ahsante.
Nikimpigia simu anasema ana kazi atanitafuta baadae baasi hiyo baadae mpaka mie nimtafute. Nikimtumia msg anajibu inshort sana yaaani naandika maelezo marefu yeye anajibu sawa au asante.
Ila nikimpelekea zawadi anapokea sana nimeisha poteza kama elfu 30 hivi.
Kwa maisha ya Sasa acha kabisa kujidanganya Kuna binti wa peke yako na mwanaume kuwa na binti mmoja ni uchumi wa Kati tu unasumbua, Ila ukiwa Kama na watatu kuendelea no stress za kijingajinga.Inaweza kuwa kwel
eh hio ni case nyingine mzee,, hapo ni mzinguaji hafai kua mama wa wanao, tafuta mbinu za kumwachaNdo niwekeze mwaka mzima kwel ujue inakatisha tamaa sana yaaan
Kuna kipind nikazuga naumwa hata kuulizia kuwa naendele aje hakuna
Mpe hela 30k bado ndogo sana
Em kesho mpe laki weka yakutolea na ya serikali
- Kwanza acha kuamini unae mpenzi, chukulia kwamba bado unamsomesha binti na yeye bado hajakuelewa.
- Achana na mambo ya kumuadikia maelezo marefu. Yaelekea huyo binti anapenda chat fupi fupi, hivyo maelezo marefu yanamchosha tu.
- Elfu 30 hujaipoteza bali umewekeza. Usisite kuwekeza zaidi😀 Ukianza kuwaza hiyo pesa umepoteza ujue na binti utampoteza kweli.
- Hizo zawadi za kama elfu 30 ni za makopo ya juisi ya ukwaju? Hebu badili aina ya zawadi jombaa.
Sisi tukusaidieje labda??Poleni na tozo za miamala
Mimi nina mpenzi mpya kabisa ila tatizo nisipomtafuta mie baasi ujue ndio siku imepita hivyo. Nikimwambia 'Nakupenda' anajibu ahsante.
Nikimpigia simu anasema ana kazi atanitafuta baadae baasi hiyo baadae mpaka mie nimtafute. Nikimtumia msg anajibu inshort sana yaaani naandika maelezo marefu yeye anajibu sawa au asante.
Ila nikimpelekea zawadi anapokea sana nimeisha poteza kama elfu 30 hivi.
Mwaka mzima we unatumaga meseji tu..., hata hayati JPM alisema ukiona anazingua unapiga chini unatafuta mwengine sio kujikalisha unatuma tuma vimeseji tu!Tabia za wanawake wazuri hizo, kifupi anakupa wakati wa kukupima, je una fit vizuri kama mwanaume, kikubwa acha papara, kama unapenda kuchat sana tafuta marafiki zako wa kike wengine chat nao hivyo, yeye mpe nafasi, kaa nae kwa mwaka mzima halafu mwambie unataka muishi kama mme na mke, akikubali sawa akisema bado, piga chini!! tafuta mwingine!!
Ni dawa hio nin chalyanguKila siku lazma nimtumie msg 3
Yani karibia 300K unasema hajala sana hela mzee baba unajua hio ni kodi ya miezi 6 kwa chumba chenye umeme na maji uswahilini?Bora ya wewe mi ndio Tangu mwezi wa tatu amekula 290k. na Text ananinibu kifupi nashukuru nimeshindwa kabla hajala sana Hela zangu.