Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani man City anacheza kila sikuBeti game za Mancity ..unaweka yote
What a great idea,fuata Hilo wazo mkuuWazo la bure.
Nenda kachonge kale kajiko kadogo hivi ka kuchomea mishkaki.
After that nenda machinjioni, nunua kichwa.
Kicharange vizuri hukoai japo kilo 4 au 5 (sina uhakika hapo).
Nenda sokoni, nunua viungo mbalimbali. Njoo marinade hyo nyama. Kisha nunua zile vimbao vya mshkaki.
Ikifika jioni, tunga hyo nyama kwenye hzo vimidenge, nenda sehem yenye mkusanyiko kama stendi hivi.
Panga vimishkaki vyako. Uza 200 vitatu jero.
Hakikisha una kasufuria kadogo ambako unapikia pilipili humo ndani so kanakua kanachemka kwa pembeni.
Usisahau ka taa ka sola ka kuning'iniza hapo kwa juu. Kama hela imebaki nunua ka redio ka bluetooth af ueke flash inayosema mishkaki mitamu 200 mitatu jero.
I got a feeling utapata zaidi ya 2000 ya faida na huo mtaji utakua bado umebaki.
Biashara ikichangamka ongeza mishkaki ya mapumbu ya ng'ombe, mmoja jero.
Mfano game ya Nottingham in faida ya 21000÷7=3000 daily👨🏭Kwani man City anacheza kila siku
Fungua genge la matunda.Habarini wana jf.
Nimepata mtaji laki moja.je nifanyej ili nipate elfu mbili mpk elfu tano per day.
@everyone
😄😄
Mkaa unalipa tafuta Chaka nunua miti choma mjini hapa Nusu kisado buku kisado kikijaa buku 2 ndoo ndogo buku 5/6 inategemea na ukubwa na ndoo kubwa buku 10Habarini wana jf.
Nimepata mtaji laki moja.je nifanyej ili nipate elfu mbili mpk elfu tano per day.
@everyone
Sasa elfu mbili kwa siku na ww utakuwa unatumia sh ngapiHabarini wana jf.
Nimepata mtaji laki moja.je nifanyej ili nipate elfu mbili mpk elfu tano per day.
@everyone
Jimix kwenye ma ubanda utapata idea.Habarini wana jf.
Nimepata mtaji laki moja.je nifanyej ili nipate elfu mbili mpk elfu tano per day.
@everyone
Hivi nawezaje kufungua danguro? Nina vyumba vinne vipo waziFungua danguro
Hii haileti faida 2000 kwa siku. Na kufilisika ni nje nje. Purchasing power imeshuka sana. Maana Ili umpe mtu laki anatakiwa aje na mali inayozidi 150k _300k. Sasa mpaka upate mteja lazima utaona rangi zoteAnzisha mikopo kwa riba. Utawakamata sana wamama wa marejesho..
Bila bondi x3 ya mkopo usitoe hela.
Uzuri wa hii biashara huwa wanaitana wenyewe
No need of marketing
You are not in the Fìeld Dr. Luis!Hii haileti faida 2000 kwa siku. Na kufilisika ni nje nje. Purchasing power imeshuka sana. Maana Ili umpe mtu laki anatakiwa aje na mali inayozidi 150k _300k. Sasa mpaka upate mteja lazima utaona rangi zote
😳Njoo hapa kwenye hii Bar yenye mademu nikushauri.
Vyumba viko maeneo gani mkuu nikusukie mpango?Hivi nawezaje kufungua danguro? Nina vyumba vinne vipo wazi
tabata Mwanachi near cheers PubVyumba viko maeneo gani mkuu nikusukie mpango?
Mkuu kama uko dsm cha kwanza ondoa aibu ingia kariakoo kuna biashara nyingi ndogo ndogo unaweza kufanya
Kuna hii mikanda ya wanaume inayouzwa 3000, ambayo wamachinga wengi wanaitembeza sana k.koo ... ukifika ulizia chimbo wanaponunua kwa jumla, coz kwa jumla wananunua mkanda mmoja 1000, ukiweza kuuza hata mikanda mitano kwa siku hapo hapo k.koo hukosi 10000
Kuna nyingine ya kuzungusha maji ya kunywa na hiz soft drinks zingine .. pia unaweza kuifanya pia
Kwa mtazamo wangu hiz ni biashara nyepesi unazoweza kuanza nazo kama utakua dsm ...kama uko mkoani kwakweli ntashindwa kukushauri coz kila mkoa unatofautiana kwenye fursa