Nina mtaji wa laki moja. Je nifanye nini ili niwe napata angalau elfu mbili kwa siku?

What a great idea,fuata Hilo wazo mkuu
 
Habarini wana jf.

Nimepata mtaji laki moja.je nifanyej ili nipate elfu mbili mpk elfu tano per day.

@everyone
Mkaa unalipa tafuta Chaka nunua miti choma mjini hapa Nusu kisado buku kisado kikijaa buku 2 ndoo ndogo buku 5/6 inategemea na ukubwa na ndoo kubwa buku 10

Sasa changamoto ni Chaka lipi? Tafuta mtaani kuna watu wanauza miti yao nunua nenda kachome mkaa

Bei ya mti mtaani haizidi 30 to 40k

Tafuta eneo changanyikeni huko mtaani uswahili huko hawatumik gesi baada ya kupata gunia zako kadhaa za mkaa paki hapo na makopo yako ya kupimia mkaa I'm telling you kwa siku utalaza 50k mpaka 100k
 
Anzisha mikopo kwa riba. Utawakamata sana wamama wa marejesho..
Bila bondi x3 ya mkopo usitoe hela.

Uzuri wa hii biashara huwa wanaitana wenyewe

No need of marketing
Hii haileti faida 2000 kwa siku. Na kufilisika ni nje nje. Purchasing power imeshuka sana. Maana Ili umpe mtu laki anatakiwa aje na mali inayozidi 150k _300k. Sasa mpaka upate mteja lazima utaona rangi zote
 
Hii haileti faida 2000 kwa siku. Na kufilisika ni nje nje. Purchasing power imeshuka sana. Maana Ili umpe mtu laki anatakiwa aje na mali inayozidi 150k _300k. Sasa mpaka upate mteja lazima utaona rangi zote
You are not in the Fìeld Dr. Luis!
Keep calm and Learn from elders
 

Kuna jamaa
Siku hizi anauza maji yapo kwenye dumu la lita 3 I think
Anauza 1,000
Anapitisha kila duka asubuhi
Jioni anapita kukusanya madumu yake na hela ..
Ana uhakika wa maisha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…