mbu wa dengue
JF-Expert Member
- Jun 2, 2014
- 8,860
- 11,554
Ni maji ya kunywa au ya kuogea?Na hayo maji anayachukua wapi?Kuna jamaa
Siku hizi anauza maji yapo kwenye dumu la lita 3 I think
Anauza 1,000
Anapitisha kila duka asubuhi
Jioni anapita kukusanya madumu yake na hela ..
Ana uhakika wa maisha
☑️☑️☑️☑️☑️ Tunawazarau wale jamaa kuwaona vile Ila niliwahi kaa na jamaa mmoja nyumba ya kupanga kazi yake ndio hio anauza mishikaki ilala stand pale sokoni…mmoja 300 anaingiza faida 30k kwa siku na mwisho wake sa 7 mchana tu kashamaliza…Wazo la bure.
Nenda kachonge kale kajiko kadogo hivi ka kuchomea mishkaki.
After that nenda machinjioni, nunua kichwa.
Kicharange vizuri hukoai japo kilo 4 au 5 (sina uhakika hapo).
Nenda sokoni, nunua viungo mbalimbali. Njoo marinade hyo nyama. Kisha nunua zile vimbao vya mshkaki.
Ikifika jioni, tunga hyo nyama kwenye hzo vimidenge, nenda sehem yenye mkusanyiko kama stendi hivi.
Panga vimishkaki vyako. Uza 200 vitatu jero.
Hakikisha una kasufuria kadogo ambako unapikia pilipili humo ndani so kanakua kanachemka kwa pembeni.
Usisahau ka taa ka sola ka kuning'iniza hapo kwa juu. Kama hela imebaki nunua ka redio ka bluetooth af ueke flash inayosema mishkaki mitamu 200 mitatu jero.
I got a feeling utapata zaidi ya 2000 ya faida na huo mtaji utakua bado umebaki.
Biashara ikichangamka ongeza mishkaki ya mapumbu ya ng'ombe, mmoja jero.
Ahahahahah hataweza ananaibuWazo la bure.
Nenda kachonge kale kajiko kadogo hivi ka kuchomea mishkaki.
After that nenda machinjioni, nunua kichwa.
Kicharange vizuri hukoai japo kilo 4 au 5 (sina uhakika hapo).
Nenda sokoni, nunua viungo mbalimbali. Njoo marinade hyo nyama. Kisha nunua zile vimbao vya mshkaki.
Ikifika jioni, tunga hyo nyama kwenye hzo vimidenge, nenda sehem yenye mkusanyiko kama stendi hivi.
Panga vimishkaki vyako. Uza 200 vitatu jero.
Hakikisha una kasufuria kadogo ambako unapikia pilipili humo ndani so kanakua kanachemka kwa pembeni.
Usisahau ka taa ka sola ka kuning'iniza hapo kwa juu. Kama hela imebaki nunua ka redio ka bluetooth af ueke flash inayosema mishkaki mitamu 200 mitatu jero.
I got a feeling utapata zaidi ya 2000 ya faida na huo mtaji utakua bado umebaki.
Biashara ikichangamka ongeza mishkaki ya mapumbu ya ng'ombe, mmoja jero.
Ni maji ya kunywa au ya kuogea?Na hayo maji anayachukua wapi?
Sent from my SM-C7000 using JamiiForums mobile app
Gawa nusu huo mtaji, nusu nyengine weka backup yako, nenda Gongolamboto alfajiri kanunue utumbo kwa 3,500 kilo. Kitunda kilo 5,000.dar es salaam ,kitunda(ilala v)
Mkuu mtaji wake ukoje?Uza mifuko, kama upo sehemu iliyochangamka kama sokoni kariakoo. Unanunua kwa jumla unazengeazengea wanunuaji unakata nyuma yao wakinunua bidhaa unawasogezea mifuko. Ya 300,500,1000.
Mim nlianza na 2000. Hiyo ni dazeni moja mifuko midogo size ya mwisho.Kwa bei ya kawaida ni kama 150 kila mfuko mmoja ,wewe unauza kwa 200 au mia tatu.unapata faida unaenda kununua ya aina tofauti na size tofauti,ya 300,500,1000,1500,2000 wewe tu kulingana na ubavu wako na soko ulivyoona linaenda.Mkuu mtaji wake ukoje?
Tusaidie hata sisi Wengine tuko singida piALAKI 1 ni mtaji mkubwa sana japo nimepitia comments zote na sijaona reply ya kumsaidia mtoa uzi.
Angekuwa Singida ningempa ramani. Anunue bundle la waya wa kuku (chicken wire mesh) ya size 1*6 au ¾ af nimwelekeze pa kwenda. Japo n ishu ya msimu lkn ingempa zaidi ya 10k kwa siku.