Poor Brain
JF-Expert Member
- Jul 5, 2019
- 19,644
- 40,546
Daaah nyie mna utani mjueLaki 4 mbona anafanya biashara na anaishi good kabisa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Daaah nyie mna utani mjueLaki 4 mbona anafanya biashara na anaishi good kabisa
Laki 4 ni pesa nzuri tu mkuuDaaah nyie mna utani mjue
Tafuta sehemu nzuri centreJinsia :Me
Mkoa:Kagera
Miaka:28
Umenikumbusha mbali sana hii biashara ione kwa mwenzako nilimuweka Dogo muha mara kuku na mishkak inabaki hadi ina chacha, gas inaisha kila wiki faida inakuwa ya kununulia gas, mara kodi.nunua kabati la aluminium la chips 200000
Mafuta lita tano 30000
Viazi kilo 20 ni 20000
meza na viti 100000
Karai la kukaanfa chips na sahani na tomato na chil sauce 50000
Yai trey 10000
Anza kazi
Pesa hiyo umempa bonge la ideaTafuta sehemu nzuri centre
Anza kuwekea watu macover ya simu na protector
Protector za kawaida jumla ni sh mia.tano
Mteja mmoja bei chini Sana utamuwekea kwa elfu 5.
Cover nazo unatafuta za Mia nane jumla .utawauzia elfu 5
Kwa ushauri zaidi nicheki saa 5 usiku nikiwa free.hapa Niko busy
Hili swali muhim sana.Mkoa wa Kagera wilaya gani?
Hakika Kagera napajua vizuri nitampa ushauri muruaHili swali muhim sana.
Ushauri kwa muangaza unaweza usimsaidie mziba.
Haupo serious ujueTafuta sehemu nzuri centre
Anza kuwekea watu macover ya simu na protector
Protector za kawaida jumla ni sh mia.tano
Mteja mmoja bei chini Sana utamuwekea kwa elfu 5.
Cover nazo unatafuta za Mia nane jumla .utawauzia elfu 5
Kwa ushauri zaidi nicheki saa 5 usiku nikiwa free.hapa Niko busy
Kwa bar atajichanganyaUngekuwa dar ungefungua jenge au ningekuunganisha uagize ndizi mikoani uuze dar.
Huko labda ufungue ka pub tu kadogo uuze pombe, ila hakikisha wewe siyo mnywa pombe
Ungekua ktk mkoa wa viwanda ningekushauri jambo LA kufanya?Wakuu nimefukuzwa kazi
Niko na mtaji wa Laki nne na nusu (450,000/-) naombeni ushauri nifaye nini na hiyo hela
Hii nasema mimi kwa experience yangu.....Madam wangu... Laki nne anafanya biashara gani et
DuuuhNenda maeneo ya Kariakoo, Tafuta sehemu moja jirani na DDC mitaa ya Msimbazi, vuta kiti ukae, tafuta mhudumu mmoja, Mwambie akupatie Mbuzi choma nusu, Ndizi nane aweke na kachumbari, agiza na bia zako nne za baridi, Piga taratibu, Enjoy Life! Afya ni MTAJI.
Kwa hili wazi akulipe tuHii nasema mimi kwa experience yangu.....
View attachment 3167914
Hivi vidude unavijua?? Vinaitwa visheti watoto wanaviita vibolo.
Ukivipika kilo tano ni vya elf 50, kilo moja inatoa vibolo 100.
Mahitaji ya kilo tano ni ngano kg 5, amira 300, nazi 1, mafuta lita 1.5 sukari kilo 1 na robo.
Mtaji hauzidi hata elf 30, na ukitaka kufaidi pesa yake nunua ngano ya mfuko, mfuko wa ngano ni elf 40.
Wasama laki nnae haitoshi 🤸🤸🤸 naomba laki mie nkanywe bia, nakuinbox my yas namba
Uza BangiWakuu nimefukuzwa kazi
Niko na mtaji wa Laki nne na nusu (450,000/-) naombeni ushauri nifaye nini na hiyo hela
Animxx by yas kabisa.....Kwa hili wazi akulipe tu
Ila huko kumix kwenye nyashi hebu elezea Kwa kirefi😄
Unatka faida ya mia mbili kwa siku wewe😅Hakuna pesa isiyofanya biashara
Hata elfu 10 unafanya biashara
😄😄Ku mix kwenye nyashiAnimxx by yas kabisa.....