Monetary doctor
JF-Expert Member
- Oct 20, 2022
- 3,711
- 6,762
Nasubiri nipate chochote kitu.....
Good luck 👍 mtoa mada
Good luck 👍 mtoa mada
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😄😄Ku mix kwenye nyashiAnimxx by yas kabisa.....
Nenda wilaya ya karagwe kanunu mikungu ya ndizi peleka bukoba Mjini anza na laki 250000 lakimbili na nusuJinsia :Me
Mkoa:Kagera
Miaka:28
Safi aanze kwa kujieleza hayo na mimi nitamswalika maswali baada ya hapo, anaweza kuanza biashara, lakini hatuwezi kuanza kumpa wazo la biasharaWewe binafsi huna idea yoyote nini cha kufanya? Tuache uvivu wa kufikiri. Tazama fursa za kiuchumi ulipo kisha urudi hapa ukitaja wewe ni nani,una ujuzi gani,upo sehemu yenye fursa zipi,commitment yako ikoje kwa maana ya muda usimamizi na ufuatiliaji kisha urudi jukwaani upate ushauri.
Ungekuwa dar ungefungua jenge au ningekuunganisha uagize ndizi mikoani uuze dar.
Huko labda ufungue ka pub tu kadogo uuze pombe, ila hakikisha wewe siyo mnywa pombe
Pesa ya kodi itatoka wapi?Ungekuwa dar ungefungua jenge au ningekuunganisha uagize ndizi mikoani uuze dar.
Huko labda ufungue ka pub tu kadogo uuze pombe, ila hakikisha wewe siyo mnywa pombe
Madamu hii biashara per day unakusanta ngapi..?Hii nasema mimi kwa experience yangu.....
View attachment 3167914
Hivi vidude unavijua?? Vinaitwa visheti watoto wanaviita vibolo.
Ukivipika kilo tano ni vya elf 50, kilo moja inatoa vibolo 100.
Mahitaji ya kilo tano ni ngano kg 5, amira tatu ni 300, nazi 1, mafuta lita 1.5-2 sukari kilo 1 na robo.
Mtaji hauzidi hata elf 30, na ukitaka kufaidi pesa yake nunua ngano ya mfuko, mfuko wa ngano ni elf 40.
Wasema laki nne haitoshi 🤸🤸🤸 naomba laki mie nkanywe bia, nakuinbox my yas namba
Kuna watu wanasema siko serious eti.sijui wananionaje? Aya wanichukulie hivi hiviPesa hiyo umempa bonge la idea
Kwanini dear? Usinichukulie. Poa ohoooHaupo serious ujue
Uko mkoa gani?Wakuu nimefukuzwa kazi
Niko na mtaji wa Laki nne na nusu (450,000/-) naombeni ushauri nifaye nini na hiyo hela
Laki nne nyingi sana.mi nilianza na sifuriTafuta kazi kwenye masaiti uongeze mtaji, laki nne ni ndogo sana endapo mambo yakikuanzia vibaya.
Mkuu hi biashara numefanya hapa ofisini kwangu kuna mdDa alileta hvo vitu..Kwanini dear? Usinichukulie. Poa ohooo
Kirahisi hivoo😃😃😃😃😃Au nunua computer 250000
Frem ongea na mwenyewe lipia hata miezi miwili..100000
Nunu external ijaze movie 100000
Tafuta posters za movie bandika ukutani
Anza kazi