Nina mtaji wa laki nne na nusu, naombeni ushauri nifaye nini?

Nina mtaji wa laki nne na nusu, naombeni ushauri nifaye nini?

nunua kabati la aluminium la chips 200000

Mafuta lita tano 30000
Viazi kilo 20 ni 20000
meza na viti 100000
Karai la kukaanfa chips na sahani na tomato na chil sauce 50000

Yai trey 10000


Anza kazi
😕 Ii kitu kama ndo unajitafta huna location ya uhakika usijalibu kabisa
Utanyonyoka Ako kahela had ushangar
Kwa uwo mtaj don't try this
 
We ni mmoja ya wale wenye frem kinondoni, frem kuuubwa full vioo full ac ndani umeeka vijora nane, kodi milioni na yako yanakuendea.

Hapa lazma tushindwe kuelewana kwaheri bana size yako kina mo...
Madam nipo seriously...
Wee biashara ya laki nne kama unashauri afanye sawa alafu alete mrejesho hapa..

Maana nakumbuka nilikua na pesa zaidi ya hiyo kipindi hicho na ni mfatiliaj sana wa nyuzi kule jukwaa la biashara..

Mkuu ipo hvi ukitaka kufanya biashara ili ujue pesa hiyo inatosha au laa ingia mzigoni ndo utajua ujui mkuu...

Naposema jamaa ajichange basi namaanisha kama anataka kufanya afanye alafy ataleta mrejesho hapa..

Usiingie katika biashara kwa ku test et fulani mbona alifanya hivi na mi ngoja nijaribu...
Biashara hata kama unaanza mdogo mdgo sio kwa laki 4..

Wakuu kuweni serious
 
Back
Top Bottom