Kalaga Baho Nongwa
JF-Expert Member
- Sep 27, 2020
- 9,953
- 23,150
Chukua katoni nne za viatu mwaga chini uzaWakuu nimefukuzwa kazi
Niko na mtaji wa Laki nne na nusu (450,000/-) naombeni ushauri nifaye nini na hiyo hela
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Chukua katoni nne za viatu mwaga chini uzaWakuu nimefukuzwa kazi
Niko na mtaji wa Laki nne na nusu (450,000/-) naombeni ushauri nifaye nini na hiyo hela
Acha uoga kijana laki nne na nusu ni nyingi mno .watu tumeanza na mavuzi tuMadam nipo seriously...
Wee biashara ya laki nne kama unashauri afanye sawa alafu alete mrejesho hapa..
Maana nakumbuka nilikua na pesa zaidi ya hiyo kipindi hicho na ni mfatiliaj sana wa nyuzi kule jukwaa la biashara..
Mkuu ipo hvi ukitaka kufanya biashara ili ujue pesa hiyo inatosha au laa ingia mzigoni ndo utajua ujui mkuu...
Naposema jamaa ajichange basi namaanisha kama anataka kufanya afanye alafy ataleta mrejesho hapa..
Usiingie katika biashara kwa ku test et fulani mbona alifanya hivi na mi ngoja nijaribu...
Biashara hata kama unaanza mdogo mdgo sio kwa laki 4..
Wakuu kuweni serious
Tena yebo yebo hiziChukua katoni nne za viatu mwaga chini uza
Jumla ghali Sana kiatu kikali. 6500Chukua katoni nne za viatu mwaga chini uza
Kwahiyo ndugu Hawa jamaa wanaochoma mahindi huku mtaani mitaji yao ilianzia milioni ?Madam nipo seriously...
Wee biashara ya laki nne kama unashauri afanye sawa alafu alete mrejesho hapa..
Maana nakumbuka nilikua na pesa zaidi ya hiyo kipindi hicho na ni mfatiliaj sana wa nyuzi kule jukwaa la biashara..
Mkuu ipo hvi ukitaka kufanya biashara ili ujue pesa hiyo inatosha au laa ingia mzigoni ndo utajua ujui mkuu...
Naposema jamaa ajichange basi namaanisha kama anataka kufanya afanye alafy ataleta mrejesho hapa..
Usiingie katika biashara kwa ku test et fulani mbona alifanya hivi na mi ngoja nijaribu...
Biashara hata kama unaanza mdogo mdgo sio kwa laki 4..
Wakuu kuweni serious
Miss acha kumpa moyo kijanawa watu hapo.... Hakuna kitu kama hicho..Acha uoga kijana laki nne na nusu ni nyingi mno .watu tumeanza na mavuzi tu
Daaah ndo mana nasema hampo seriously. Nyie...Kwahiyo ndugu Hawa jamaa wanaochoma mahindi huku mtaani mitaji yao ilianzia milioni ?
Naomba nimfundishe dada yangu jamaniHii nasema mimi kwa experience yangu.....
View attachment 3167914
Hivi vidude unavijua?? Vinaitwa visheti watoto wanaviita vibolo.
Ukivipika kilo tano ni vya elf 50, kilo moja inatoa vibolo 100.
Mahitaji ya kilo tano ni ngano kg 5, amira tatu ni 300, nazi 1, mafuta lita 1.5-2 sukari kilo 1 na robo.
Mtaji hauzidi hata elf 30, na ukitaka kufaidi pesa yake nunua ngano ya mfuko, mfuko wa ngano ni elf 40.
Wasema laki nne haitoshi 🤸🤸🤸 naomba laki mie nkanywe bia, nakuinbox my yas namba
Kipo mdogo wangu .aminiMiss acha kumpa moyo kijanawa watu hapo.... Hakuna kitu kama hicho..
Miss kuna kitu nataka tuwekane sawa....Kipo mdogo wangu .amini
U seriously kwenye niniDaaah ndo mana nasema hampo seriously. Nyie...
Mdogo wangu yaani Achana na laki nne na nusu laki mbili Tu hapo anatoboaMiss kuna kitu nataka tuwekane sawa....
Mimi mwenyewe mfanya biashara kuna mambo yanafanywa na mtu ila ukifatilia deep unajua undani wa kile anachofanya..
Naposema apambane na vibarua apate kama M1 hivi namaanisha na atanishukuru kuna vitu sio vya kusema ukurupuke tu mkuu
Mavuzi ulikuwa unayafanya nn sokoni? Isije ikawa tunanyoa na kutupa kumbe helaAcha uoga kijana laki nne na nusu ni nyingi mno .watu tumeanza na mavuzi tu
Kwenye biashara anU seriously kwenye nini
Daaah mkuu ..Mdogo wangu yaani Achana na laki nne na nusu laki mbili Tu hapo anatoboa