Cassnzoba
JF-Expert Member
- Feb 26, 2022
- 3,661
- 6,913
Wewe ungeweza??chukua laki 3 au 2 nunua mayai Bei yajumla then uza
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe ungeweza??chukua laki 3 au 2 nunua mayai Bei yajumla then uza
Hawajui biasharaKuna watu wanasema siko serious eti.sijui wananionaje? Aya wanichukulie hivi hivi
Kila mtu ana simu halafuHawajui biashara
Hizi simu Zina hitaji service na urembo wa covers kijana anayekomaa kwenye hizi harakati anatoboa
Kwa mtaji kama huo nlichukua hekari moja nkalima mpunga, nkapata gunia 18 za mpunga, mwaka uliofuata nkaongeza hekali mbili zikawa tatu...sasa naishi paspo stressWakuu nimefukuzwa kazi
Niko na mtaji wa Laki nne na nusu (450,000/-) naombeni ushauri nifaye nini na hiyo hela
Nilifanya biashara ya kuuza U-Fresh kwa kununua carton mbili zilikuwa zinauza 4,500 nadhani kama sijasahau kwa carton. Nauza moja mia mbili ikiwa imeganda zilikuwa zinapendwa sana mtaani.Ety eeeh...
Kumbe ujajua bado wewe
Hawajui biashara
Hizi simu Zina hitaji service na urembo wa covers kijana anayekomaa kwenye hizi harakati anatoboa
Daaah kuna watu mna utani na biashara seriouslyNilifanya biashara ya kuuza U-Fresh kwa kununua carton mbili zilikuwa zinauza 4,500 nadhani kama sijasahau kwa carton. Nauza moja mia mbili ikiwa imeganda zilikuwa zinapendwa sana mtaani.
Biashara hata kwa buku kumi unafanya.
Mfano hizi cover za simu ndogo jumla ni 900 tuseme na usafiri Hadi ngara 1200Hawajui biashara
Hizi simu Zina hitaji service na urembo wa covers kijana anayekomaa kwenye hizi harakati anatoboa
Daah poor brain si hesabu hiyo hapo juu....Madamu hii biashara per day unakusanta ngapi..?
Ni kweli sema ukitaka faida unatengeneza mwenyewe .ila watoto wa shule wanazipenda kweli.ilakwenye caton faida haizidi 1500Nilifanya biashara ya kuuza U-Fresh kwa kununua carton mbili zilikuwa zinauza 4,500 nadhani kama sijasahau kwa carton. Nauza moja mia mbili ikiwa imeganda zilikuwa zinapendwa sana mtaani.
Biashara hata kwa buku kumi unafanya.
Inaelekea WA kishua huyoDaah poor brain si hesabu hiyo hapo juu....
Wewe utakuwa WA kishua .Daaah kuna watu mna utani na biashara seriously
Kuna watu mnapenda kukatisha tamaa kinyama mi ndo maana nkiwa na jambo langu sitakagi ushauri, acha nifanye nikwame nijifunze nilipokoseaDaaah kuna watu mna utani na biashara seriously
Kabisa bila mtaji milion kumi frem yenye ac hafanyi biashara huyuInaelekea WA kishua huyo
Sio mbaya kama kweli umejizatiti kufanya biashara na ikutoe, na ndio maana nikasema hata elfu kumi unaweza kuanzia nayo biashara.Ni kweli sema ukitaka faida unatengeneza mwenyewe .ila watoto wa shule wanazipenda kweli.ilakwenye caton faida haizidi 1500
Sijakupinga dear .nimejazia Tu pointSio mbaya kama kweli umejizatiti kufanya biashara na ikutoe, na ndio maana nikasema hata elfu kumi unaweza kuanzia nayo biashara.
Hapana mkuu ila naongea kitu seriousl...Wewe utakuwa WA kishua .
Njoo nikusukie odds 2 tu za uhakika😄,baada ya dk 90 unaondoka na laki tisa yako swaaaaafi kabisa.Wakuu nimefukuzwa kazi
Niko na mtaji wa Laki nne na nusu (450,000/-) naombeni ushauri nifaye nini na hiyo hela