Mkuu Njoo kanda ya Ziwa nkupeleke visiwani, mfano Ghana, Siza, Giziba, Izinga... Nunua mafuta ya jumla kwa iyoo helaa tumia milioni 20tu utapataa mpaka Lita elfu 12, milioni kumi iliyobaki ni kuandaa eneo la kuweka matenki jenereta na mashine za kupimia mafuta, milioni tano ubakize km backup....kwa msimu mmoja unaweza kuuza mpk lita 50k.....lita unaweza kuinunua tsh 1850 kule wanauza mpaka 2300..
Usisahau kutafuta Mganga huu ni ushauri ambao wengi awatakupa ila ni muhimu, pesa ulindwa na kudhibitiwa....
Sent using
Jamii Forums mobile app